DOKEZO Mahakama yavunja ndoa ya Davis Mosha na mkewe aliyeishi naye miaka 28, anyimwa mali. Mosha adai kuibiwa $ milioni 1.4 na jaribio la kupewa sumu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Pia inashangaza inakuwaje anakop pesa zote hizo? Basi collateral ni mali za mumewe au akafoji kwa mali za mume.
Yaani anakopa pesa nyingi hivyo kwa kutumia collateral za kampuni na still zikiingia anahamishia akaunti yake binafsi anazila

Sio kukopa walao afanyie biashara za kampuni ya Delina,NO!

Dada ana moyo wa serious JAMBAZI kabisa

Mimi binafsi mwanaume na bandidu ila siwezi fanya hivyo kabisa
 
Unaamini vipi kama alichosema ni kweli.

Mosha ni katili. Ametunga uongo mwingi na kwasababu anapesa mnaamini kila anachosema.

Na kama kweli mke ameiba mimi nampongeza maana amemnyanyasa sana dada wa watu.
Umesoma hukumu?

Mwanamke amekili hayo makosa mbele ya vyombo vya sheria unataka tuamini hisia za mleta mada na zako?
Kama ametunga uongo mwanamke apeleke ushahidi wa ukweli halisi atapata haki yake siyo kuja kulia mitandaoni kutafuta huruma au kuchafuana.
 
Alikuwa mke na mfanyakazi sasa amemwibia boss wake ambae pia ni mumewe, kilichoendelea baada ya wizi hadi ndoa kuvunjika ndo hakijawekwa wazi
 
Huyo dada kakopa millioni 500,000,000 benki na bado akahamisha dollar 1.4 millioni kutoka akaunti ya kampuni. Bila kusahau wakati anaondoka nyumbani alipotea na dollar 750,000,000. Mbona pesa nyingi hivyo?. Ingekuwa mwingine angeondoka kimya kimya.
Mitimingi limemfaudu sana huyu dada!
 
Safi sana.

Kinachowaponza wanawake wengi ni tamaa.
 
Wewe ni mkewe D Mosha?
Karibu jukwaani
 
Ndoa zina mengi sana. Imagine mkeo ana kiserengeti boy kinamgeuza. Utaweza vumilia kweli ?

Mandela alieweza wasamehe makaburu waliomfunga jela miaka 40. Ila alishindwa msamehe mke wake winnie mandela
Hahaaaaa hata kwenye Biblia imeandikwa, tutawasamehe wake zetu na ndoa kutovunjika ILa kwa uzinzi tu. Kama ukimfumania, Mungu karuhusu on the spot kuachana naye.
 
Jeff benzon , Bill Gate, aliko dangote, Sir isack Newton, Yesu, Elon mask wote hao wamekaa mbali kabisa na mambo ya ndoa.

Ila wewe jumanne mwakitobe wa huko Namtumbo , unaeshindia mihogo na kachumbari , unakaza fuvu na kufunga ndoa[emoji12]
Hahaaaaa, acha kututisha wewe japo nimecheka sana hilo Jina la Jumanne Mwakitobe. Sisi wanyaki hakuna mtu anayeitwa Jumanne Mwakitobe.
 
mnakurupuka kuchangia bila kusoma hiyo hukumu between the lines, kwanza demu ndio aliandika kuwa anataka kusepa na kwamba amechoka, pili kwakuwa alikuwa analiwa na mganga wa kienyeji akaona huyo ndio wa maana zaidi kuliko mumewe baada ya kuona kachemka akataka kurudisha majeshi kumbe too late, kimsingi hizi ndoa za wenye hela kuna matatizo makubwa sana, na kwakweli sijui wanawake huwa wanatakaga nini mpaka sasa sijawaelewa kabisaaaa.
 

Waganga wa kienyeji huwa wanajua sana kucheza na saikolojia za wanawake.

Mganga kamdanganya kama anamsaidia matatizo yake.. then akaanza kumtiaaaa. Mwanamke anaiba hela anampa mganga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…