Ok …Nifah!Wengi kuna kitu hamjaelewa, wengine wote sijawapa maelezo haya ila wewe ndugu yangu ngoja nikwambie…
Wakati hii post imewekwa, muda ambao sisi wa mwanzo tunachangia hakukuwa na maelezo hayo ya ziada. Maelezo hayo yaliwekwa baadae.
Huyu jaji ni mtunga mashairi mazuri sana. A very good poet.Msafiri bwana eti "the court is not your mother "
Unaandika kama mke mwenza wa huyo Nancy au mtu unayetegemea kumrithi. Umekurupuka kuweka bandiko ambalo ulidhani wote tutalimeza kavu kavu kwa sababu tu ni kitu unachoita hukumu. Lakini inaelekea haumjui Fundi Mchundo maana umeingia humu kwa lengo moja tu nalo ni la kumchafua Nancy. Sio rahisi kihivyo humu JF ambamo wako ambao hawapendi uonevu wa aina yeyote.Nancy anapost andiko mwenyewe, Halafu anajijibu mwenyewe kwa majina ya fundi Mchundo mara Bibi titi, ukitaka kujua Mwanasheria wake Diana anadanganya, soma post za utetezi, ni Diana mtupu.
Lakini Ushahidi woote wa kesi ulienda Mahakamani na mahakama ikajiridhisha wewe Nancy ni mwizi, na ulishawishi mpka Mtoto wako ashiriki dhambi ya mauaji, yaani mali tu ndo uue, Nancy hutabaki salama
Sio Jaji. Ni Hakimu.Huyu jaji ni mtunga mashairi mazuri sana. A very good poet.
Kudai mali za kampuni ni kipengele, unless uwe share holder.Mke hajasema hataki Mali, ukisoma Ile hukumu inasema Ile ni matrimonial court, Mali ambazo inaweza kuzigawanya ni Mali za wanandoa, zilizochumwa pamoja.....kinachoonekana Mosha ametengeneza mazingira kuwa hamna Mali ya wanandoa, Mali zilizoorodheshwa ni zake binafsi kabla ya ndoa, alizonunua wakati wa ndoa baada ya kuuza Mali zake za kabla ya ndoa na Mali za kampuni zenye madeni.
Utaona mwishoni hukumu inarecommend mke anaweza kufungua madai mahakama ya madai kudai mgao wa Mali za kampuni.
Hukumu hii inahusu talaka na mgawanyo wa Mali za ndoa.
libeva kwanini ni zero brain?Wanawake wa kirangi ni zero brain
Unakuta kahonga Serengeti boi na kula nae bata mpaka mzigo unakaribia kuishaNimeshangaa hapo, tena kwa muda wote aliokua anaiba pesa ktk kampuni, si angesepaa kimya kimya tyuuh.
Alikuwa ni Zaidi ya mchafu kashafanya uchafu mwingi sana, huyu dada alikuwa anatembea na wafanyakazi wake wa Supermarket, huyu Dada wakati wa uchaguzi wakati Mume wake anahangaika kupata kura kwa ajili Ya maisha Ya Familia na wana Moshi yeye kaenda kufanya mapenzi na Mwanaume kwenye Gari tena mcheza Mpira yani mwanamke hafai hata kidogo alikuwa anatembea na rafiki wa Mume wake ambaye ana kituo cha Mafuta Pia yani ni haifai kabisaHuyo Nancy ni tapeli kwanza hajawahi kuwa muhasibu miaka 20, Mfanyabiashara huyo alimpa biashara yake ubungo ya beurauDechange, Nancy Akapata mwanaume mkongo wakafilisi duka loote mnakumbuka jamani au mmesahau, Akapelekwa headquarter ndiyo akawa anaiba kwa kwenda mbele na wafanyakazi wanajua akatolewa toka 2017.
Akapewa maduka ya delina Supermarket yaliyokuwa kwenye vituo vya Mafuta, Akawa halipi kodi, PUMA wakamfukuza na mpaka leo anadaiwa Milioni 70 ya kodi, Mtaji wote kachukua Mitimingi ambaye ni Mpenzi wake ni mganga amekuwa naye zaidi ya miaka 5 na staff wote wanajua sio siri na hata mama yake Nancy anajua ndugu zake Nancy wanajua.
Na Ndio mipango ya kuua ikaanza na mtoto wao mkubwa anajua mipango ilivyokuwa Hao Mama yake Nancy, Mitimingi walimuonyesha Mtoto mkubwa kuwa baba yake Ana mtoto nje Mali zitachukuliwa, walivyo matahira wakamwambia Mtoto wa kwanza wa kiume Ni bora baba yako afe tubaki na Mali, wafanyakazi wanajua Sana Kila kitu, Mtoto wa kiume aliwadharau Kuanzia Siku Hiyo.
Hata jinsi aliiba na kuagiza pombe south Africa na alikuwa amemtumia dereva anaitwa Nico na pombe hiyo alikuja kuzulumiwa na ATU wa tegeta, alikuwa akipeleka Kwenye magodown walipokuwa wakishare Bwana, Huyo Nancy ni mbwa, Hatujui kama amemuacha Mangi salama alikuwa mchafu kuliko.
Na kurithiwa Tiyari wala sio kificho, tena na soon mambo yataenda, Nani amchafue jua Nancy ndo Mwanamke pekee anayedhalaulika na watoto wake woote, walianglia Umalaya wake, upumbavu wake live, Nancy Ni mchafu TU Ni Mbwa TU,. .Fundi Mchundo kila mtu anajua Ni area ya Technician, labda Mbwa ndo asijue Lakini siye twajua NancyUnaandika kama mke mwenza wa huyo Nancy au mtu unayetegemea kumrithi. Umekurupuka kuweka bandiko ambalo ulidhani wote tutalimeza kavu kavu kwa sababu tu ni kitu unachoita hukumu. Lakini inaelekea haumjui Fundi Mchundo maana umeingia humu kwa lengo moja tu nalo ni la kumchafua Nancy. Sio rahisi kihivyo humu JF ambamo wako ambao hawapendi uonevu wa aina yeyote.
Amandla...
Nimemkumbuka Boma ye, alikuwa mshikaji wa Mosha, angekuwa hai, angemtia moyo mshikaji wake angemwambia usiwaze sana hata mimi nilishapitia divorce mambelez kabla ya kuja downtown.Mwanamke mpumbavu sana ,unaiba mali za mmeo unazipeleka wapi? Safi sana Mosha funga huyo Mwizi.
Yule wa kituo Cha mafuta pale KCMC Ni Mpenzi wake mpaka leo, anakengine pale Moshi kalevii, kakilewa kanatamba ohhh Nancy amenitumia ya kunywa, mwanamke mchafu sanaAlikuwa ni Zaidi ya mchafu kashafanya uchafu mwingi sana, huyu dada alikuwa anatembea na wafanyakazi wake wa Supermarket, huyu Dada wakati wa uchaguzi wakati Mume wake anahangaika kupata kura kwa ajili Ya maisha Ya Familia na wana Moshi yeye kaenda kufanya mapenzi na Mwanaume kwenye Gari tena mcheza Mpira yani mwanamke hafai hata kidogo alikuwa anatembea na rafiki wa Mume wake ambaye ana kituo cha Mafuta Pia yani ni haifai kabisa
What??kiingereza cha kisheria sio grammatical imekaa vizuri inaeleweka angalia content za hukumu isome vizuri yote haina upendeleo:
kweli kuna watu tunawaona kwa nje, kumbe ndani ya nyumba zao hali si shwari. Ni kama maisha tunayoyaona mitandaoni.Aisee kweli usilolijua usiku wa giza!kabla sijaoa kila nikiwaona davis mosha na mkewe pale mbezi beach kkkt nikawa nawatamania maisha yao!dah kumbe ndani kulikua kunafukuta!ndo maana mwamba siku hizi yupo rafu rafu, na anakuja church mwenyewe!aisee ndoa hizi wanaume tunavumilia mengi sana!
Uchambue Nini bana wewe Halafu wewe ni Nancy tumekujua Embu jitulize bana unatuchosha yani kuziangua uzingue Halafu uje utafute Huruma Humu acha upuuzi wewe nakwambiaje ulimwengu utukufundishaWhat??
Wewe unaona hiyo lugha imenyooka?
Nikianza kuichambua hapa hiyo hukumu, huyo mwandishi halatı hapati hata C. Ni C- na kurudi chini.
Kaachiwa,pesa mbongo mchezoNa Yule mke wa Billionaire Msuya Leo hukumu imekwendaje?
walikuwa washikaji sana. Alafu ex wife wa Lemutuz baada ya Lemutuz kusonga mbele akawa anawatumia kina Mange kumchafua jamaaMosha na Lemutuz ni vidume haswa..Lebebez alikua mshauri wa Mosha alimshauri ukiamua kuachana na Mwanamke ukijiridhisha na makosa yake usije kurudi nyuma hata kidogo..Sema wamekula bata sana aisee nikikumbuka unawaona na ile Lamboghin yao ujue mwenye Bar atatajirika siku iyo..
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Nimejifunza kuna wanawake wanapenda shida. Ukiwapa raha kupitiliza ni matatizo wanasahau walipotoka. Aisee Mosha alivumilia mengi sana. Huyu Mwanamke hajajiharibia yeye tu kajiharibia hadi kwa watoto wake. Wanasema majuto ni mjukuuu atakuja kujua alipoharibu baadae sana. Maana najua mpaka sasa anaamini akienda kudai mgawanyo wa mali ili atamkomoa mumewe. Haya mambo nimeyaona kwenye familia nyingi za wenye hela. Ushauri wangu mapenzi hayalazimishwi. Ukiona mmeshindwana bora muachane. Na pia kwa wanawake mlio katika ndoa: Ni vigumu sana kupata mwanaume anaeweza kukuhudumia na wa kuishi nae bila shida ndogo ndogo kwa karne hii. Kwa hio ukiolewa tulia na jishushe. Mwanaume anaemtesa mke wake anaejishusha ni yule ambaye mke wake amemzidi kila kitu. (mwanaume mwenye inferiority complex)Mfanyabiashara Davis Mosha ameacha na mke wake wa ndoa aliyeishi naye kwa miaka 28 amekwenda kufoji nyaraka za kampuni hukumu imetolewa mke hajapewa urithi hata pini.
Masikini ya Mungu Huyu Mkewe ndiye alikuwa muhasibu wa kampuni zote za huyu mfanyabiashara kwa miaka 20.
Majaji wetu hukumu kama hizi ni za ukandamizaji, mawakili tunaomba msaidie kama hii hukumu ni halali na mahakama zetu zinatoa haki nimeona uonevu mtupu humu Pesa imenunua haki.
Je hii ni sawa?
==========
MAAMUZI YA MAHAKAMA
- Ndoa kati mlalamikaji na mlalamikiwa imevunjwa na talaka imetoka.
- Hakuna mali zilizopatikana kwa pamoja kwenye ndoa.
- Uangalizi wa mtoto Daniela Davis Mosha unakuwa chini ya mlalamikaji(Baba)
- Mdaiwa anapewa ruhusa ya kuwa na mtoto kipindi cha likizo na siku yenye nafasi kwa mtoto
- Mdaiwa amekatazwa kutumia jina la mlalamikaji Davis Mosha na amerejeshewa majina yake ya awali
- Kila mmoja atabeba gharama za kesi
View attachment 2912748View attachment 2912749View attachment 2912750View attachment 2912751View attachment 2912752View attachment 2912753View attachment 2912754View attachment 2912755View attachment 2912756View attachment 2912757View attachment 2912758View attachment 2912759View attachment 2912760View attachment 2912761View attachment 2912762View attachment 2912763View attachment 2912764View attachment 2912765View attachment 2912766View attachment 2912767View attachment 2912768
Kumsemea ovyo mwanamke mwenzako ni haki yako. Na hata ukimtukana unavyofanya pia ni haki yako. Lakini kutegemea wote tutakuunga mkono sio haki yao.Na kurithiwa Tiyari wala sio kificho, tena na soon mambo yataenda, Nani amchafue jua Nancy ndo Mwanamke pekee anayedhalaulika na watoto wake woote, walianglia Umalaya wake, upumbavu wake live, Nancy Ni mchafu TU Ni Mbwa TU,. .Fundi Mchundo kila mtu anajua Ni area ya Technician, labda Mbwa ndo asijue Lakini siye twajua Nancy
Davis hata hayupo rafu zile Nywele ni style aliyoamua kuiweka! Sema tu Davis ana Moyo sana maana aliishi na Jini ndani yani Yule mwanamke amesomeshwa na Davis yeye na ndugu zake wote Halafu Leo analeta habari za kutaka Mali hapa Mali zipi sasa! Wewe mtu alikutwa kibaha huko na ndala akasomeshwa mpaka chuo ifm Halafu Leo analeta ujinga hapa huyu Baba wa watu kavumilia Mengi Jamani ni hamjui tukweli kuna watu tunawaona kwa nje, kumbe ndani ya nyumba zao hali si shwari. Ni kama maisha tunayoyaona mitandaoni.