DOKEZO Mahakama yavunja ndoa ya Davis Mosha na mkewe aliyeishi naye miaka 28, anyimwa mali. Mosha adai kuibiwa $ milioni 1.4 na jaribio la kupewa sumu

DOKEZO Mahakama yavunja ndoa ya Davis Mosha na mkewe aliyeishi naye miaka 28, anyimwa mali. Mosha adai kuibiwa $ milioni 1.4 na jaribio la kupewa sumu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
The institution of marriage is going to die in the next 20 years.haya ni madhara ya ubepari na ubinafsi.wanawake wameamka na wanaume wamekuwa macho.

teknolojia ikifika mahali ambapo mwanaume/mwanamke unaweza kununua watoto wa kwako mwenyewe bila mwenza tena kwa bei stahimilivu ndoa zitakufa rasmi duniani.
 
Halafu utasikia wasio na akili wanamuita huyo mwanamke mdangaji. Mwanamke ameshiriki kwenye biashara zake miaka 20 sio mchezo, tena kitengo ambacho ni uti wa mgongo wa biashara.

Kuachana kupo lakini apewe stahiki zake.
Stahiki kama nimekufa na tulikuwa kwenye ndoa hapo sawa anastahili,lkni sijui kama tuna Sheria strong zinazompa haki divorcee
 
Anaweza akawepo kwenye biashara zake kama mfanyakazi.

Unamuajiri mke wako ama mume wako kama staff wa kampuni. Analipwa posho na mshahara na kampuni kama staff wengine.

Halafu hiyo kampuni iwe kakukuta nayo kabla hujamuoa imeshaanza haina jina lako kama mmiliki , ina jina la mama yako ama majina ya watu wengine.

Matajiri wengi wa kisasa ni wajanja sana, wana akili nyingi na wanajua umafia
Hivi hizi grounds mnatokaga nazo wapi sijui jina la mama sijui la baba sijui watu wengine.
Mali za mtu mahakamani ndioz hutajwa. Hmna chizi anafungua kesi kudai mali zisizomuhusu, wala mahakamani hakuna kesi inayohusu mali zisizokua zimeorodheshwa kwa majina ya pande zote mbili.
Ukifika mahakamani mali zinatajwa zile zinazohusu tu. Hivo ukiona mtu kashinda au hajagawa mali ww unazozifahamu basi ujue hizo mali hazihusishi zote unazojua. Pili, huyo mwana mama. Inawezekana kuna makosa yamemkosesha mali, inawezekana, hakuwepo wakati wa kuchuma mali on subject, inawezekana davis ana grounds zakutoweza kugawa mali zake. Na grounds hizo zipo hapo.hana mali yoyote kwa jina lake. Maali nyingi ni za kampuni, ni ngamia tu wapo chini yake tena kama private property, mali nyingi alizichuma kabla ya ndoa, na mwanamama huyo kabeba kitita cha kutosha zaidi ya usd milioni 750, Pia aliwekeza mali kivyake mwanamama huyo na davis hakuwa na haja ya kuzifatilia.
Dada kayakanyaga kukubali Kuhusu mitomingi, yaani grounds zote davis hatakiwi kumpa mali huyo dada. Sasa muache oooh kaandika majina mama. Hamna mali ya mama yako itakuja mahakamni kama kielezo ni mali yako.
 
Mengi nusu apate ugonjwa kisa ile kesi ya mwanzo sembuse Mosha tajiri wa kawaida sana ..

Tambua dunia inampa mwanamke kipaumbele huko Marekani watu kesi zinawasumbua ,kama akikata rufaa utaelewa ngoja tuone .
Na hayo mambo yakuwapendelea wanawake ata kama wao ndo chanzo cha tatizo ndo maana uku afrika watu wameamua kuchukua sheria mkononi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The institution of marriage is going to die in the next 20 years.haya ni madhara ya ubepari na ubinafsi.wanawake wameamka na wanaume wamekuwa macho.

teknolojia ikifika mahali ambapo mwanaume/mwanamke unaweza kununua watoto wa kwako mwenyewe bila mwenza tena kwa bei stahimilivu ndoa zitakufa rasmi duniani.
Uko sahihi kabisa.Mungu akuiumba ndoa.Ndoa ni mambo ya binadamu kama alivyoanzisha Dini,Pesa na vingine.Mambo aliyoanzisha Mungu yako vile vile ila aliyoanzisha binadamu kila siku ni changamoto mpya zinaibuka.Kuna wafia dini ambao hawataki kuelewa ila muda utawaelewesha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu utasikia wasio na akili wanamuita huyo mwanamke mdangaji. Mwanamke ameshiriki kwenye biashara zake miaka 20 sio mchezo, tena kitengo ambacho ni uti wa mgongo wa biashara.

Kuachana kupo lakini apewe stahiki zake.

Wanamuita mdangaji sababu ni mwizi huyo mwanamke. Hata mbele ya jaji ameshindwa kupinga hoja za mumewe kwamba yeye ni mwizi. Na hela alizoiba zimetajwa
 

Attachments

  • Screenshot_20240223-075857_Firefox.jpg
    Screenshot_20240223-075857_Firefox.jpg
    148.3 KB · Views: 24
Halafu utasikia wasio na akili wanamuita huyo mwanamke mdangaji. Mwanamke ameshiriki kwenye biashara zake miaka 20 sio mchezo, tena kitengo ambacho ni uti wa mgongo wa biashara.

Kuachana kupo lakini apewe stahiki zake.
Huyo ni mdangaji tu yani mali zangu anataka tugawane ili akazifanyie umalaya hamna cha zaidi ni tamaa na umalaya tu hapo
Me ningekuwa huyo Mosha na mwanamke akashinda kesi kwenye rufaa
Siwezi kumuacha salama
 
Mfanyabiashara Davis Mosha ameacha na mke wake wa ndoa aliyeishi naye kwa miaka 28 amekwenda kufoji nyaraka za kampuni hukumu imetolewa mke hajapewa urithi hata pini.

Masikini ya Mungu Huyu Mkewe ndiye alikuwa muhasibu wa kampuni zote za huyu mfanyabiashara kwa miaka 20.

Majaji wetu hukumu kama hizi ni za ukandamizaji, mawakili tunaomba msaidie kama hii hukumu ni halali na mahakama zetu zinatoa haki nimeona uonevu mtupu humu Pesa imenunua haki.

Je hii ni sawa?

View attachment 2912748View attachment 2912749View attachment 2912750View attachment 2912751View attachment 2912752View attachment 2912753View attachment 2912754View attachment 2912755View attachment 2912756View attachment 2912757View attachment 2912758View attachment 2912759View attachment 2912760View attachment 2912761View attachment 2912762View attachment 2912763View attachment 2912764View attachment 2912765View attachment 2912766View attachment 2912767View attachment 2912768
Wanawake watafute pesa zao binafsi
 
Back
Top Bottom