KingCobra95
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,249
- 5,863
Stahiki kama nimekufa na tulikuwa kwenye ndoa hapo sawa anastahili,lkni sijui kama tuna Sheria strong zinazompa haki divorceeHalafu utasikia wasio na akili wanamuita huyo mwanamke mdangaji. Mwanamke ameshiriki kwenye biashara zake miaka 20 sio mchezo, tena kitengo ambacho ni uti wa mgongo wa biashara.
Kuachana kupo lakini apewe stahiki zake.
Hivi hizi grounds mnatokaga nazo wapi sijui jina la mama sijui la baba sijui watu wengine.Anaweza akawepo kwenye biashara zake kama mfanyakazi.
Unamuajiri mke wako ama mume wako kama staff wa kampuni. Analipwa posho na mshahara na kampuni kama staff wengine.
Halafu hiyo kampuni iwe kakukuta nayo kabla hujamuoa imeshaanza haina jina lako kama mmiliki , ina jina la mama yako ama majina ya watu wengine.
Matajiri wengi wa kisasa ni wajanja sana, wana akili nyingi na wanajua umafia
HakimiYule Mchezaji wa Mpira anaitwa nani vile?
Stahiki zake aliziiba. Akaambiwa akasimamie maduka .. soma kesi hyo umepewa hapo.Halafu utasikia wasio na akili wanamuita huyo mwanamke mdangaji. Mwanamke ameshiriki kwenye biashara zake miaka 20 sio mchezo, tena kitengo ambacho ni uti wa mgongo wa biashara.
Kuachana kupo lakini apewe stahiki zake.
Stahiki zipi ?Halafu utasikia wasio na akili wanamuita huyo mwanamke mdangaji. Mwanamke ameshiriki kwenye biashara zake miaka 20 sio mchezo, tena kitengo ambacho ni uti wa mgongo wa biashara.
Kuachana kupo lakini apewe stahiki zake.
Na hayo mambo yakuwapendelea wanawake ata kama wao ndo chanzo cha tatizo ndo maana uku afrika watu wameamua kuchukua sheria mkononi.Mengi nusu apate ugonjwa kisa ile kesi ya mwanzo sembuse Mosha tajiri wa kawaida sana ..
Tambua dunia inampa mwanamke kipaumbele huko Marekani watu kesi zinawasumbua ,kama akikata rufaa utaelewa ngoja tuone .
Tusikilize Pande Zote Mbili
Uko sahihi kabisa.Mungu akuiumba ndoa.Ndoa ni mambo ya binadamu kama alivyoanzisha Dini,Pesa na vingine.Mambo aliyoanzisha Mungu yako vile vile ila aliyoanzisha binadamu kila siku ni changamoto mpya zinaibuka.Kuna wafia dini ambao hawataki kuelewa ila muda utawaelewesha.The institution of marriage is going to die in the next 20 years.haya ni madhara ya ubepari na ubinafsi.wanawake wameamka na wanaume wamekuwa macho.
teknolojia ikifika mahali ambapo mwanaume/mwanamke unaweza kununua watoto wa kwako mwenyewe bila mwenza tena kwa bei stahimilivu ndoa zitakufa rasmi duniani.
Halafu utasikia wasio na akili wanamuita huyo mwanamke mdangaji. Mwanamke ameshiriki kwenye biashara zake miaka 20 sio mchezo, tena kitengo ambacho ni uti wa mgongo wa biashara.
Kuachana kupo lakini apewe stahiki zake.
Huyo ni mdangaji tu yani mali zangu anataka tugawane ili akazifanyie umalaya hamna cha zaidi ni tamaa na umalaya tu hapoHalafu utasikia wasio na akili wanamuita huyo mwanamke mdangaji. Mwanamke ameshiriki kwenye biashara zake miaka 20 sio mchezo, tena kitengo ambacho ni uti wa mgongo wa biashara.
Kuachana kupo lakini apewe stahiki zake.
Wanawake watafute pesa zao binafsiMfanyabiashara Davis Mosha ameacha na mke wake wa ndoa aliyeishi naye kwa miaka 28 amekwenda kufoji nyaraka za kampuni hukumu imetolewa mke hajapewa urithi hata pini.
Masikini ya Mungu Huyu Mkewe ndiye alikuwa muhasibu wa kampuni zote za huyu mfanyabiashara kwa miaka 20.
Majaji wetu hukumu kama hizi ni za ukandamizaji, mawakili tunaomba msaidie kama hii hukumu ni halali na mahakama zetu zinatoa haki nimeona uonevu mtupu humu Pesa imenunua haki.
Je hii ni sawa?
View attachment 2912748View attachment 2912749View attachment 2912750View attachment 2912751View attachment 2912752View attachment 2912753View attachment 2912754View attachment 2912755View attachment 2912756View attachment 2912757View attachment 2912758View attachment 2912759View attachment 2912760View attachment 2912761View attachment 2912762View attachment 2912763View attachment 2912764View attachment 2912765View attachment 2912766View attachment 2912767View attachment 2912768
unafanya kama ya Bw. Hamisi wa Geza Ulole, unatia kiberiti mbwa huyo , majivu tunazikia MkurangaSiwezi kumuacha salama