DOKEZO Mahakama yavunja ndoa ya Davis Mosha na mkewe aliyeishi naye miaka 28, anyimwa mali. Mosha adai kuibiwa $ milioni 1.4 na jaribio la kupewa sumu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
[emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]watu wa jf
 
Mmhhh ...
 
Davis alikuwa bwege kwa huyu Nancy Hadi watu wakawa wanasema kalogwa
Aliwahi kuja ofisini na huyo Nancy,mabinti wakawa wanamwonea wivu kupata mume kijana na tajiri,na anavyojua kunata Sasa[emoji108]
Usilolijua ni usiku wa kiza.
Theuro butterfly kwenye Moja na mbili za Mjini
 
Balaaa
 
28yrs ni mingi sanaa
 
Unajua mimi sijui kizungu kihivyo ila mwanzo sikujua kama ndo hukumu ya mahakama brooo...imekaa kienyeji sana
Nashukuru wenzetu mmeliona hilo
 
Wewe ni zero brain
 
Yani huyu mganga ni kumbafu kweli kweli yani nyumba kajengewa na mwanamke kwa kuiba hela kwa mosha halafu anajitapa kuwa nyumba kajenga mwenyewe...!
 
"pesa nzuri ni yako, zingine zote zina malipo" Kama baba yako hakukufundisha hili dunia itakufunza.
 
Mke wa davis mosha kapewa nyumba na magari? Mnawaacha makapuku kisa hamkuwaoa. Mke wa mosha na ndoa yake bado kaachwa mtupu sembuse hao mnaowazalisha mijanaume mishenziii
Kwahiyo lengo la kuolewa ni ili uje upewe nyumba na gari? Kupewa sio vibya, lakini isiwe ndio motive ya kutaka ndoa na mtu.., kama unataka nyumba na gari kiuhakika fanya kazi upate pesa ukanunue gari lako..
 
Kama kweli basi Nancy ni jasiri sana unalalaje na mganga kwa mfano?yaan witch doctor unalala naye haki hii dunia ina mengi.
 
Kama kweli basi Nancy ni jasiri sana unalalaje na mganga kwa mfano?yaan witch doctor unalala naye haki hii dunia ina mengi.
Tatizo la Nancy yeye na Mama yake walikuwa wanapenda mambo ya uganga, uchawi nk, ndo Maana Hata baba yake Nancy alikufa kwa umalaya wa mama yake na uganga.
Sasa Nancy Ile Hali ya uchawi bado anayo na anapenda Sana, So alimtafuta Mganga kwa ajili ya kupewa Dawa ya kuua au ya kumroga, so yeye alitembea na Mganga kwa ajili ya Hongo ya kuua, alihakikishiwa na Mganga atamtoa Mosha Busha NK....
Sasa Kama so uchawi Ni nini ujasiri Hadi wa Kukabidhi Hadi ofisi, Nancy alipata Tamaa ya kuua, kwa kutumia uganga kwa Tamaa ya mali.
 
Mkuu una uhakika na hili ilicho andika...!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…