gentleman πNa mwezake Tlaatlaah
Mapato ya mahakama ni madogo kujiendesha hivyo mwisho wa siku ni watumwa wa executive wingmahakama ni muhimili unaojitegemea, je hili litazingatiwa?
Unafurahia Mahakama kuchezewa kijinga namna hii.gentleman π
hivi kweli mmeelewa hayo maelezo ya mahakama ndrugu zango, hata mshangilie kwamba ati mahali Fulani kuna ushindi?
halafu wengine ni wanasheria kabisa dah π€£
nimefurahishwa sana mnaposema mahakama za Tanzania ni huru, na huo uhuru uwe hivyo hivyo na hata baada ya uamuzi utakao toka muda usio kua mrefu ujao, sawa, ndrugu zango ee π
wanaofurahia uamuzi wa mahakama wako bayana, mie nafurahia haki kutendeka tu kwa mujibu wa sheria πUnafurahia Mahakama kuchezewa kijinga namna hii.
Hao nduli wenye kutaka ardhi zetu hua hawakati tamaa na wamejaa hila na hadaa sana. Kwa kawaida wana washirika nchini na serikalini. Ndio maana 2025 lazima tupate kiongozi aina ya magufuli kuongoza nchi. Vinginevyo muelekeo wa ubeberu kote ni kumiliki ardhi ya afrika yote na waafrika kurudi kwenye ukoloni mkongwe upya.Mahakama Kuu Kanda ya Arusha imesimamisha utekelezaji wa amri iliyokuwa imetolewa na Serikali kupitia tangazo la Serikali namba 673 ya 2024 la kufuta vijiji, kata na vitongoji pamoja na kusitisha tangazo la kuwataka Wananchi kuhama katika Wilaya la Ngorongoro.
Umuamuzi huo umetolewa leo August 22,2024 mbele ya Jaji Mwenda wa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha katika kesi namba 59630 ya mwaka 2024 kufuatia maombi yaliyopelekwa Mahakamani na Mpeleka maombi Isaya Ole Posi ya kuiomba ipime na kutazama kama amri ile ilikuwa halali au la hasha au kama ilitolewa na Mtu mwenye Mamlaka ya kisheria kufanya hivyo.
Wakili wa kujitegemea Peter Njau akimuwakilisha Mteja wake Isaya Ole posi amesema Mteja wake alikuwa Mwathirika wa kuondolewa katika eneo hilo jambo ambalo aliamua kwenda Mahakamani kupinga kitendo hicho.
MBWA WAMEANZA KUBWEKA
Updates
Akiongea kwenye Maria Space,
Isaya Ole Posi mkazi wa Ngorongoro aliyetajwa kwenye kesi hii kama alifungua kesi Mahakama Kuu Kanda ya Arusha amekanusha kuwa alipeleka maombi hayo
=============
###Maria Sarungi Tsehai###
π¨ TAHADHARI βΌοΈπ¨
Hii kesi haieleweki ilifunguliwa lini na nani - isije ikawa danganya toto wamaasai warudi kwao alafu wiki ijayo tutasikia Feleshi huko mahakama ya Rufaa katupilia mbali maamuzi ya Mahakama Kuu ya Arusha!
Kuweni makini ndugu zetu
Tunachotaka sheria IFUTWE!
#StopMaasaiEviction
===================
Haya sasa twende kazi....Kumbe mnatujaribu eee, mmewasha moto tukauongezea kuni Sasa mnajigeuzaa as of sio wahusikaWaliotoka sio Masai? Mtatoka tuu
View: https://twitter.com/TZMsemajiMkuu/status/1826692106213261437?t=8B8sfIBz-9k1uPAmHg2ogQ&s=19
Mbona kama season inayoanzia katikati na kumaliza mwanzoni. Ngoja tuoneMahakama Kuu Kanda ya Arusha imesimamisha utekelezaji wa amri iliyokuwa imetolewa na Serikali kupitia tangazo la Serikali namba 673 ya 2024 la kufuta vijiji, kata na vitongoji pamoja na kusitisha tangazo la kuwataka Wananchi kuhama katika Wilaya la Ngorongoro.
Umuamuzi huo umetolewa leo August 22,2024 mbele ya Jaji Mwenda wa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha katika kesi namba 59630 ya mwaka 2024 kufuatia maombi yaliyopelekwa Mahakamani na Mpeleka maombi Isaya Ole Posi ya kuiomba ipime na kutazama kama amri ile ilikuwa halali au la hasha au kama ilitolewa na Mtu mwenye Mamlaka ya kisheria kufanya hivyo.
Wakili wa kujitegemea Peter Njau akimuwakilisha Mteja wake Isaya Ole posi amesema Mteja wake alikuwa Mwathirika wa kuondolewa katika eneo hilo jambo ambalo aliamua kwenda Mahakamani kupinga kitendo hicho.
MBWA WAMEANZA KUBWEKA
Updates
Akiongea kwenye Maria Space,
Isaya Ole Posi mkazi wa Ngorongoro aliyetajwa kwenye kesi hii kama alifungua kesi Mahakama Kuu Kanda ya Arusha amekanusha kuwa alipeleka maombi hayo
=============
###Maria Sarungi Tsehai###
π¨ TAHADHARI βΌοΈπ¨
Hii kesi haieleweki ilifunguliwa lini na nani - isije ikawa danganya toto wamaasai warudi kwao alafu wiki ijayo tutasikia Feleshi huko mahakama ya Rufaa katupilia mbali maamuzi ya Mahakama Kuu ya Arusha!
Kuweni makini ndugu zetu
Tunachotaka sheria IFUTWE!
#StopMaasaiEviction
===================