Tunaijua hiyo.....
Kwahiyo sisi siio watu tulioko Ngorongoro kwa maana hiyo?
Sheria za Nchi hii tunaifahamu, mamlaka ya kutufutia vijiji na kata pamoja na huduma zetu Mmezitoa wapi,
Mnasema Tumehama kwa hiari, saw, ambao hatukuwa na hiarinya kuondoka mmetuoma Vinyago sio
Kwahiyo sisi siio watu tulioko Ngorongoro kwa maana hiyo?
Sheria za Nchi hii tunaifahamu, mamlaka ya kutufutia vijiji na kata pamoja na huduma zetu Mmezitoa wapi,
Mnasema Tumehama kwa hiari, saw, ambao hatukuwa na hiarinya kuondoka mmetuoma Vinyago sio