Mahakama yazuia Vijiji vya Ngorongoro Kufutwa
Watu wanapaswa kuelewa kuwa uwekezaji unaofanywa kwenye maeneo hayo ambayo wamasai wanayapigania ni Kwa ajili ya masrahi mapana ya nchi.

Hivyo hawana budi kuondoka,kilichofanyika hapa kwa huyo muombaji wa kusitisha agiza la serikali ni sawa na kutangulia safari ya mbali Kwa baiskeli ya mbao lazima tutakupita tu sisi wa nyuma tutakapo Anza safari na baiskeli zetu za chuma
Upuuzi!
 
Kimeumana
 

Attachments

  • IMG-20240822-WA0013.jpg
    IMG-20240822-WA0013.jpg
    113.4 KB · Views: 1
  • IMG-20240822-WA0012.jpg
    IMG-20240822-WA0012.jpg
    82.3 KB · Views: 1
Mahakama Kuu Kanda ya Arusha imesimamisha utekelezaji wa amri iliyokuwa imetolewa na Serikali kupitia tangazo la Serikali namba 673 ya 2024 la kufuta vijiji, kata na vitongoji pamoja na kusitisha tangazo la kuwataka Wananchi kuhama katika Wilaya la Ngorongoro.

Umuamuzi huo umetolewa leo August 22,2024 mbele ya Jaji Mwenda wa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha katika kesi namba 59630 ya mwaka 2024 kufuatia maombi yaliyopelekwa Mahakamani na Mpeleka maombi Isaya Ole Posi ya kuiomba ipime na kutazama kama amri ile ilikuwa halali au la hasha au kama ilitolewa na Mtu mwenye Mamlaka ya kisheria kufanya hivyo.

Wakili wa kujitegemea Peter Njau akimuwakilisha Mteja wake Isaya Ole posi amesema Mteja wake alikuwa Mwathirika wa kuondolewa katika eneo hilo jambo ambalo aliamua kwenda Mahakamani kupinga kitendo hicho.

MBWA WAMEANZA KUBWEKA

=============
###Maria Sarungi Tsehai###
🚨 TAHADHARI ‼️🚨
Hii kesi haieleweki ilifunguliwa lini na nani - isije ikawa danganya toto wamaasai warudi kwao alafu wiki ijayo tutasikia Feleshi huko mahakama ya Rufaa katupilia mbali maamuzi ya Mahakama Kuu ya Arusha!
Kuweni makini ndugu zetu
Tunachotaka sheria IFUTWE!
#StopMaasaiEviction
================
 
Mahakama Kuu Kanda ya Arusha imesimamisha utekelezaji wa amri iliyokuwa imetolewa na Serikali kupitia tangazo la Serikali namba 673 ya 2024 la kufuta vijiji, kata na vitongoji pamoja na kusitisha tangazo la kuwataka Wananchi kuhama katika Wilaya la Ngorongoro.

Umuamuzi huo umetolewa leo August 22,2024 mbele ya Jaji Mwenda wa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha katika kesi namba 59630 ya mwaka 2024 kufuatia maombi yaliyopelekwa Mahakamani na Mpeleka maombi Isaya Ole Posi ya kuiomba ipime na kutazama kama amri ile ilikuwa halali au la hasha au kama ilitolewa na Mtu mwenye Mamlaka ya kisheria kufanya hivyo.

Wakili wa kujitegemea Peter Njau akimuwakilisha Mteja wake Isaya Ole posi amesema Mteja wake alikuwa Mwathirika wa kuondolewa katika eneo hilo jambo ambalo aliamua kwenda Mahakamani kupinga kitendo hicho.

MBWA WAMEANZA KUBWEKA

=============
###Maria Sarungi Tsehai###
🚨 TAHADHARI ‼️🚨
Hii kesi haieleweki ilifunguliwa lini na nani - isije ikawa danganya toto wamaasai warudi kwao alafu wiki ijayo tutasikia Feleshi huko mahakama ya Rufaa katupilia mbali maamuzi ya Mahakama Kuu ya Arusha!
Kuweni makini ndugu zetu
Tunachotaka sheria IFUTWE!
#StopMaasaiEviction
===================
Kwani Kesi ikon wapi ?
Mahakama gani imeendesha shauri hilo?
Mbona tunajidanganya kiasi hiki?
Kizazi hiki cha Karnes ya 21 kweli mnapelekesha mambo kijinga kiasi hiki?
Au ndyo kusema mbwa wameanza kutafuna mifupa?
Au ndo kutupumbaza?
Au ndo kusema Kuona Aibu tuipakae kama kesi?
Bado kuna maswali mengi........
Maasai wetu wanachotaka ni haki na haki tunayoitaka ni Raisi wa Tanzania Aseme yeye kwa mdomo wake mwenyewe kama alivoanzisha Mateso ya ndugu haetu hata kuwanyima huduma zote,
 
Hapa ndio tutajua kama nchi ina mihimili mitatu au ni mmoja tu na matawi yake. This move is good.
 
Nani haijui?
ISAYA OLE POSI....
Huyu Hii kesi ni ya lini?
Sisi tupo huku tunamsubiri Samia aje atuambie mwenyewe kwakuwa ndyo mkuu wa mwisho kusema Ndyo au hapana, Huyu Isaya Ole Posi wamemtia wapi na kesi hii iliendeshwa lini?
 
Huku habari jioni hii zikisema kwamba mkazi wa Ngorongoro Isaya Ole Posi amepata zuio mahakamani la KUZUIA WAMASAI wasiondolewe ngorongoro mpaka kesi ya msingi itakaposikilizwa, mkazi huyo amekana kufungua kesi na pia amekana kumfahamu wakili Njau ambae ndie wakili aliefungua kesi hiyo.

Isaya ameenda mbali na kusema atachukua HATUA kali kwakuwa jina lake limetumika bila idhini yake . Alipoulizwa haoni jambo hili ni jema sababu wameshinda na kupata zuio alisema haijalishi, hajafungua kesi yoyote na Hana kesi yoyote mahakamani.

Mapema wakili Peter Njau akizungumza na waandishi wa habari nje ya mahakama kuu ya Arusha, alisema mteja wake alimwagiza kufungua kesi hiyo, na wakati wa kesi mawakili wa serikali walikuwepo na judge Mwenda alitoa amri hiyo mbele ya pande zote mbili. Kesi itakuja Tena mahakamani tarehe 26 September kusikiliza hoja za mkazi huyo Isaya Ole Posi ambae amekana kabisa kufungua kesi hiyo.
 
Serikali ya Madam Tippu Tippu inahaha utadhani Kuku mwenye kideli. Hivi kweli unataka kusema Njau ameidanganya mahakama ?​
 
Back
Top Bottom