Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Wasije tu wakaifuta rombo maana ntalia sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mahakama Kuu Kanda ya Arusha imesimamisha utekelezaji wa amri iliyokuwa imetolewa na Serikali kupitia tangazo la Serikali namba 673 ya 2024 la kufuta vijiji, kata na vitongoji pamoja na kusitisha tangazo la kuwataka Wananchi kuhama katika Wilaya la Ngorongoro.
Umuamuzi huo umetolewa leo August 22,2024 mbele ya Jaji Mwenda wa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha katika kesi namba 59630 ya mwaka 2024 kufuatia maombi yaliyopelekwa Mahakamani na Mpeleka maombi Isaya Ole Posi ya kuiomba ipime na kutazama kama amri ile ilikuwa halali au la hasha au kama ilitolewa na Mtu mwenye Mamlaka ya kisheria kufanya hivyo.
Wakili wa kujitegemea Peter Njau akimuwakilisha Mteja wake Isaya Ole posi amesema Mteja wake alikuwa Mwathirika wa kuondolewa katika eneo hilo jambo ambalo aliamua kwenda Mahakamani kupinga kitendo hicho.
MBWA WAMEANZA KUBWEKA
###Maria Sarungi Tsehai###
🚨 TAHADHARI ‼️🚨
Hii kesi haieleweki ilifunguliwa lini na nani - isije ikawa danganya toto wamaasai warudi kwao alafu wiki ijayo tutasikia Feleshi huko mahakama ya Rufaa katupilia mbali maamuzi ya Mahakama Kuu ya Arusha!
Kuweni makini ndugu zetu
Tunachotaka sheria IFUTWE!
#StopMaasaiEviction
Mahakama Kuu Kanda ya Arusha imesimamisha utekelezaji wa amri iliyokuwa imetolewa na Serikali kupitia tangazo la Serikali namba 673 ya 2024 la kufuta vijiji, kata na vitongoji pamoja na kusitisha tangazo la kuwataka Wananchi kuhama katika Wilaya la Ngorongoro.
Umuamuzi huo umetolewa leo August 22,2024 mbele ya Jaji Mwenda wa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha katika kesi namba 59630 ya mwaka 2024 kufuatia maombi yaliyopelekwa Mahakamani na Mpeleka maombi Isaya Ole Posi ya kuiomba ipime na kutazama kama amri ile ilikuwa halali au la hasha au kama ilitolewa na Mtu mwenye Mamlaka ya kisheria kufanya hivyo.
Wakili wa kujitegemea Peter Njau akimuwakilisha Mteja wake Isaya Ole posi amesema Mteja wake alikuwa Mwathirika wa kuondolewa katika eneo hilo jambo ambalo aliamua kwenda Mahakamani kupinga kitendo hicho.
MBWA WAMEANZA KUBWEKA
###Maria Sarungi Tsehai###
🚨 TAHADHARI ‼️🚨
Hii kesi haieleweki ilifunguliwa lini na nani - isije ikawa danganya toto wamaasai warudi kwao alafu wiki ijayo tutasikia Feleshi huko mahakama ya Rufaa katupilia mbali maamuzi ya Mahakama Kuu ya Arusha!
Kuweni makini ndugu zetu
Tunachotaka sheria IFUTWE!
#StopMaasaiEviction
Kitoa mavi mkubwa wewe!Watu wanapaswa kuelewa kuwa uwekezaji unaofanywa kwenye maeneo hayo ambayo wamasai wanayapigania ni Kwa ajili ya masrahi mapana ya nchi.
Hivyo hawana budi kuondoka,kilichofanyika hapa kwa huyo muombaji wa kusitisha agiza la serikali ni sawa na kutangulia safari ya mbali Kwa baiskeli ya mbao lazima tutakupita tu sisi wa nyuma tutakapo Anza safari na baiskeli zetu za chuma
Umepaniki brother,,nipinge Kwa hoja sio matusiKitoa mavi mkubwa wewe!
yanakimbia vita zao uchwara huko na kuja kutusumbua sisi eti wanawekeza
amuulize magufuli ilibidi aanze kuchungilia akaunti zawatu apokonye fedha aendeshe nchiNa akithubutu je!?
Msamiati mzuri. Mama anaupiga mwingi.Watu wanapaswa kuelewa kuwa uwekezaji unaofanywa kwenye maeneo hayo ambayo wamasai wanayapigania ni Kwa ajili ya masrahi mapana ya nchi.
Hivyo hawana budi kuondoka,kilichofanyika hapa kwa huyo muombaji wa kusitisha agiza la serikali ni sawa na kutangulia safari ya mbali Kwa baiskeli ya mbao lazima tutakupita tu sisi wa nyuma tutakapo Anza safari na baiskeli zetu za chuma
Siyo njema sana, muhimili wa Mahakama Tanzania hauna nguvu sana kama ule wa Kenya.Hii ni habari njema.
Mwarabu ni mwekezaji wapi haya majitu yenye roho mbaya kama shetani! Yalihasi watumwa waafrika wote walioenda uarabuni?Kitoa mavi mkubwa wewe!
yanakimbia vita zao uchwara huko na kuja kutusumbua sisi eti wanawekeza
Ila kunao huo muhimili, umejichimbia chini zaidi, aliwahi kusikika hayati M1 hivi.mahakama ni muhimili unaojitegemea, je hili litazingatiwa?
Nimewaza hivyo pia, kuna drama inachezwa hapa, lolNakumbuka kauli ya Rostam Aziz kuhusu mahakama za Tanzania..
hapo kama siyo planned game..
basi sirikali ita kata rufaa..na watashinda
Kizimkazi anamwangalia tu huyo JajiIla kunao huo muhimili, umejichimbia chini zaidi, aliwahi kusikika hayati M1 hivi.
A point of no return.Naona moto unafuka hapo soon, wale waliohama tayari wakirudi itakuaje?
Je Hangaya ataheshimu Amri ya Mahakama?
Great thinker....Kuna panapofuka Moto Wallah, Ile ya kuita watu ni mbwa ilikua ni frustrations, something is wrong somewhere!