Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nabii Mwabukusi tumepewa na Mwenyezi Mungu mwenyewe.Labda kama Nabii Mwabukusi ataenda likizo!!
Na zile nyumba walizojengewa Msomera wanyang’anyweNaona moto unafuka hapo soon, wale waliohama tayari wakirudi itakuaje?
Wakili wa kujitegemea Peter Njau akimuwakilisha Mteja wake Isaya Ole posi
Panapofuka MoshiNaona moto unafuka hapo soon, wale waliohama tayari wakirudi itakuaje?
Kabisa, serekali kama hii yetu haigopi mahakama, bali huogopa nguvu ya umma tu.Jibu ni kwamba atapuuza, serikali haiheshimu mahakama
Huyo mnapiga risasi tu kama kawaida yenu.Huyo jaji tutamgukuza kazi
USSR
Ustaadh Awadh ameshaziharishia 4R kitambo sasa hivi ni mwendo wa kutekana na kuuana tuLazima aheshimu kupitia 4R zake 🤣
Tatizo wengi bado hamjui siasa za manipulation nchi za Africa, sasa muwe tayari kupokea hukumu ya rufaa ya serkali kwenye kesi hiyo hiyo,.......hapo serikali inatafuta official recognition ya mahakama zoezi liko pale pale.Mahakama Kuu Kanda ya Arusha imesimamisha utekelezaji wa amri iliyokuwa imetolewa na Serikali kupitia tangazo la Serikali namba 673 ya 2024 la kufuta vijiji, kata na vitongoji pamoja na kusitisha tangazo la kuwataka Wananchi kuhama katika Wilaya la Ngorongoro.
Umuamuzi huo umetolewa leo August 22,2024 mbele ya Jaji Mwenda wa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha katika kesi namba 59630 ya mwaka 2024 kufuatia maombi yaliyopelekwa Mahakamani na Mpeleka maombi Isaya Ole Posi ya kuiomba ipime na kutazama kama amri ile ilikuwa halali au la hasha au kama ilitolewa na Mtu mwenye Mamlaka ya kisheria kufanya hivyo.
Wakili wa kujitegemea Peter Njau akimuwakilisha Mteja wake Isaya Ole posi amesema Mteja wake alikuwa Mwathirika wa kuondolewa katika eneo hilo jambo ambalo aliamua kwenda Mahakamani kupinga kitendo hicho.
MBWA WAMEANZA KUBWEKA
View attachment 3076651
Historia ya hukumu mbalimbali ndani ya miaka hii 9 tangu aingie Jiwe na sasa Samia inajulikana.Iko vile !
Kesi ni mchakato wa kisheria na lots of abracadabra’s za kupangua hoja hii na hoja ile !
Ngoja Tusubiri tuone !
Na tuweke akiba ya maneno Bandugu !
Samia akimuweka mkwewe tamisemi ili aweze kufanikisha malengo yake batiliMahakama Kuu Kanda ya Arusha imesimamisha utekelezaji wa amri iliyokuwa imetolewa na Serikali kupitia tangazo la Serikali namba 673 ya 2024 la kufuta vijiji, kata na vitongoji pamoja na kusitisha tangazo la kuwataka Wananchi kuhama katika Wilaya la Ngorongoro.
Umuamuzi huo umetolewa leo August 22,2024 mbele ya Jaji Mwenda wa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha katika kesi namba 59630 ya mwaka 2024 kufuatia maombi yaliyopelekwa Mahakamani na Mpeleka maombi Isaya Ole Posi ya kuiomba ipime na kutazama kama amri ile ilikuwa halali au la hasha au kama ilitolewa na Mtu mwenye Mamlaka ya kisheria kufanya hivyo.
Wakili wa kujitegemea Peter Njau akimuwakilisha Mteja wake Isaya Ole posi amesema Mteja wake alikuwa Mwathirika wa kuondolewa katika eneo hilo jambo ambalo aliamua kwenda Mahakamani kupinga kitendo hicho.
MBWA WAMEANZA KUBWEKA
View attachment 3076651
Anaita watu mbwaJe Hangaya ataheshimu Amri ya Mahakama?
Na akithubutu je!?Wasa
Masai ni swala la duniani athubutu aone
Hongera sana!Hongera sana Posi.