Mahakama za Tanzania ni tatizo au Serikali imekosa mwelekeo?

Mahakama za Tanzania ni tatizo au Serikali imekosa mwelekeo?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Kumekuwepo na tuhuma nyingi kuhusu udhaifu wa mahakama ya Tanzania kwa miaka takribani nane sasa.

Jaji Mkuu aliyepo ameonyesha kushindwa kabisa kujitenga na matakwa ya serikali na hivyo kuifanya serikali iamini kwamba wao ni mabosi wa mahakama.

Mahakama imetuhumiwa kutotenda haki, imetuhumiwa na Rostam kubwa haiwezi kusimamia haki, imetuhumiwa na Waziri wa Ardhi kwamba wapo Majaji wasio na hadhi ya ujaji tena tuhuma hizi zikitolewa mbele ya bunge.

Tunaposhuhudia tuhuma kama hizi hakuna Sehemu Jaji Mkuu anaonekana kuwa na wivu na mahakama wala hakuna Sehemu kiongozi mkuu wa serikali anapokemea wasaidizi wake kuitisi mahakama.

Katika mkanganyiko huu naomba utusaidie kujadili kama tatizo ni mahakama imekufa au serikali imekosa mwelekeo?
 
Hata mtoa mada nadhani unajua fika namna mahakama kwa miaka mingi imekuwa kichaka cha wenyenazo, uzembe na uozo mwingi sana upo mahakamani.

vivyo hivyo serikalini, si serikali kuu, si halmashauri, etc...uozo ni mwingi sana.

Ndio maana akija kiongozo mwenye vision ndogo sana anaoneka kama a very great thinker.
 
Kumekuwepo na tuhuma nyingi kuhusu udhaifu wa mahakama ya Tanzania kwa miaka takribani nane sasa.

Jaji Mkuu aliyepo ameonyesha kushindwa kabisa kujitenga na matakwa ya serikali na hivyo kuifanya serikali iamini kwamba wao ni mabosi wa mahakama .

Mahakama imetuhumiwa kutotenda haki, imetuhumiwa na Rostam kubwa haiwezi kusimamia haki, imetuhumiwa na Waziri wa Ardhi kwamba wapo Majaji wasio na hadhi ya ujaji tena tuhuma hizi zikitolewa mbele ya bunge.

Tunaposhuhudia tuhuma kama hizi hakuna Sehemu Jaji Mkuu anaonekana kuwa na wivu na mahakama wala hakuna Sehemu kiongozi mkuu wa serikali anapokemea wasaidizi wake kuitisi mahakama.

Katika mkanganyiko huu naomba utusaidie kujadili kama tatizo ni mahakama imekufa au serikali imekosa mwelekeo?
Ni miaka nane? Wewe ulikuwa wapi miaka yote ile
 
Tatizo viongozi hawajafundwa, wanaropoka hovyo bila kujua kwamba wanaitukana serikali pia, na ndiyo utakayoanguka. Wenye akili walitoa onyo mwanzoni kuhusu huyu Silaa, hawakusikika. Sasa kaamua kutoka hadharani.

Haijawahi kutokea enzi ya Nyerere, Mwinyi, Mkapa wala Kikwete kwa mtu wa ngazi ya waziri kuitukana Mahakama hadharani, watu wakishaidharau Mahakama, serikali itajua pa kuwapeleka wakatafute haki, au wananchi wenyewe watajua pa kwenda, ikiwamo kuingia barabarani au kuuana wenyewe kwa wenyewe
 
Kumekuwepo na tuhuma nyingi kuhusu udhaifu wa mahakama ya Tanzania kwa miaka takribani nane sasa.

Mahakama imetuhumiwa kutotenda haki, imetuhumiwa na Rostam kubwa haiwezi kusimamia haki, imetuhumiwa na Waziri wa Ardhi kwamba wapo Majaji wasio na hadhi ya ujaji tena tuhuma hizi zikitolewa mbele ya bunge.

Katika mkanganyiko huu naomba utusaidie kujadili kama tatizo ni mahakama imekufa au serikali imekosa mwelekeo?
Hii ni hoja kuntu sana!, mimi ni mmoja wa wadau humu ambaye nimeandika mengi kuuhusu mhimili huu wakati nikiwa just a layman,
  1. Ukosekanaji wa Haki kwenye Mhimili wa Mahakama, kunaweza kuwa kunachangiwa na Majaji/Mahakimu wenye uwezo mdogo kubaini haki?
  2. Je, Wajua? Mhimili wa Mahakama Usipotenda Haki Unaweza Kushitakiwa? Pongezi Jaji Mkuu wa Kusisitiza Usuluhishi na Sio Kukimbilia Kufungua Kesi
  3. Kaimu Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma, Naomba Usiruhusu Udhalilishaji Huu Ndani ya Mahakama Zetu!.
  4. "The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa Duniani!, Unahukumiwa kwa Matendo Yako!
  5. Pongezi kwa DPP Mpya. Kama itampendeza, aanze kwa kutumia Nolle, kusafisha Uchafu wote wa mtangulizi wake...
  6. Asante Rais Samia kwa kuwasisitiza watendaji wa vyombo vya haki kuwa haki sio hisani, bali ni stahiki. Watende haki, tubadili Katiba kurudisha haki
  7. Ushauri kwa DPP: Kutekeleza nia njema ya Rais Samia, kuona Haki ikitendeka; je, tumchagize DPP kutumia Nolle kufuta kesi zote zinazosuasua?
  8. Rais Samia ana nia njema Watanzania wapate haki, ila Watanzania hawajui Haki! Je, Tumsaidie kuelimisha umma Katiba, Sheria na Haki au?
  9. Asante Rais Samia kwa kuwasisitiza watendaji wa vyombo vya haki kuwa haki sio hisani, bali ni stahiki. Watende haki, tubadili Katiba kurudisha haki
  10. Mwisho hayo yote niliyaandika nikiwa just a layman, sasa mimi sio a layman tena, sasa mimi ni ofisa wa mahakama, sipaswi kuendelea kuandika na kulalamika, natakiwa kufanya kitu, na kitu cha kwanza ambacho nimeamua kukifanya ni kuwasaidia Watanzania wenzangu kwenye eneo la elimu ya katiba, sheria na haki, hivyo nimejitolea kusaidia Kipindi cha TV, Kutoa Elimu ya Katiba, Sheria na Haki, Kuanza Jumapili Hii Kupita Channel Ten
Hivyo ni kweli kabisa, upatikanaji wa haki Tanzania ni issue!,
P
 
Kumekuwepo na tuhuma nyingi kuhusu udhaifu wa mahakama ya Tanzania kwa miaka takribani nane sasa.

Jaji Mkuu aliyepo ameonyesha kushindwa kabisa kujitenga na matakwa ya serikali na hivyo kuifanya serikali iamini kwamba wao ni mabosi wa mahakama .

Mahakama imetuhumiwa kutotenda haki, imetuhumiwa na Rostam kubwa haiwezi kusimamia haki, imetuhumiwa na Waziri wa Ardhi kwamba wapo Majaji wasio na hadhi ya ujaji tena tuhuma hizi zikitolewa mbele ya bunge.

Tunaposhuhudia tuhuma kama hizi hakuna Sehemu Jaji Mkuu anaonekana kuwa na wivu na mahakama wala hakuna Sehemu kiongozi mkuu wa serikali anapokemea wasaidizi wake kuitisi mahakama.

Katika mkanganyiko huu naomba utusaidie kujadili kama tatizo ni mahakama imekufa au serikali imekosa mwelekeo?
Shida ni watanzania na siasa
 
Kumekuwepo na tuhuma nyingi kuhusu udhaifu wa mahakama ya Tanzania kwa miaka takribani nane sasa.

Jaji Mkuu aliyepo ameonyesha kushindwa kabisa kujitenga na matakwa ya serikali na hivyo kuifanya serikali iamini kwamba wao ni mabosi wa mahakama .

Mahakama imetuhumiwa kutotenda haki, imetuhumiwa na Rostam kubwa haiwezi kusimamia haki, imetuhumiwa na Waziri wa Ardhi kwamba wapo Majaji wasio na hadhi ya ujaji tena tuhuma hizi zikitolewa mbele ya bunge.

Tunaposhuhudia tuhuma kama hizi hakuna Sehemu Jaji Mkuu anaonekana kuwa na wivu na mahakama wala hakuna Sehemu kiongozi mkuu wa serikali anapokemea wasaidizi wake kuitisi mahakama.

Katika mkanganyiko huu naomba utusaidie kujadili kama tatizo ni mahakama imekufa au serikali imekosa mwelekeo?
Jaji mkuu amepewa cheo kama zawadi, jaji mkuu lipo kama boya la watawala,

Uteuzi wake ulipingwa kikatiba na wanasheria ila watawala wakagoma kumuondoa
 
Ila Tanzania bwana!
Eti
Mheshimiwa diwani.
Mheshimiwa mbunge,
Mheshimiwa Hakimu,
Mheshimiwa mkuu wa wilaya,
Mheshimiwa mkuu wa mkoa,
Mheshimiwa waziri
Tunamdanganya Nani???
Nadhani wanaostahili kukwezwa Ni Askari magereza wanaoitwa
BWANA MKUBWA.
 
Kumekuwepo na tuhuma nyingi kuhusu udhaifu wa mahakama ya Tanzania kwa miaka takribani nane sasa.

Jaji Mkuu aliyepo ameonyesha kushindwa kabisa kujitenga na matakwa ya serikali na hivyo kuifanya serikali iamini kwamba wao ni mabosi wa mahakama .

Mahakama imetuhumiwa kutotenda haki, imetuhumiwa na Rostam kubwa haiwezi kusimamia haki, imetuhumiwa na Waziri wa Ardhi kwamba wapo Majaji wasio na hadhi ya ujaji tena tuhuma hizi zikitolewa mbele ya bunge.

Tunaposhuhudia tuhuma kama hizi hakuna Sehemu Jaji Mkuu anaonekana kuwa na wivu na mahakama wala hakuna Sehemu kiongozi mkuu wa serikali anapokemea wasaidizi wake kuitisi mahakama.

Katika mkanganyiko huu naomba utusaidie kujadili kama tatizo ni mahakama imekufa au serikali imekosa mwelekeo?
Ndugu yangu, wote hao ni kitu kimoja Tu. Jaji ni mwanachama wa CCM Tu. Aibu
 
Jirani yangu alisoma sheria ila akakaa mtaani akawa anafanya ishu za ujasiriamali kwa zaidi ya miaka 7 bila kupractice chochote.

Alivyotosheka na ujasiriamali akaapply kazi za Majaji zilizotolewa na utumishi. Akapata akaenda kua jaji mkoa wa kaskazini huko.
 
Kumekuwepo na tuhuma nyingi kuhusu udhaifu wa mahakama ya Tanzania kwa miaka takribani nane sasa.

Jaji Mkuu aliyepo ameonyesha kushindwa kabisa kujitenga na matakwa ya serikali na hivyo kuifanya serikali iamini kwamba wao ni mabosi wa mahakama .

Mahakama imetuhumiwa kutotenda haki, imetuhumiwa na Rostam kubwa haiwezi kusimamia haki, imetuhumiwa na Waziri wa Ardhi kwamba wapo Majaji wasio na hadhi ya ujaji tena tuhuma hizi zikitolewa mbele ya bunge.

Tunaposhuhudia tuhuma kama hizi hakuna Sehemu Jaji Mkuu anaonekana kuwa na wivu na mahakama wala hakuna Sehemu kiongozi mkuu wa serikali anapokemea wasaidizi wake kuitisi mahakama.

Katika mkanganyiko huu naomba utusaidie kujadili kama tatizo ni mahakama imekufa au serikali imekosa mwelekeo?
Kwa namna moja au nyingine kuna tatizo. Mfano, kesi ya akina Mdee ilianza kabla ya kesi ya matokeo ya uchaguzi wa Urais kule Kenya. Ile kesi ya Kenya ilitolewa uamuzi ndani ya wiki moja, lakini ya akina Mdee iliyoanza kabla nadhani ilichukua mwaka au zaidi. Swali langu lilikuwa, je kuna ushahidi uliokuwa unakosekana au kulikuwa na shida gani? Ukiangalia pia kesi ya akina Mbowe (ya ugaidi) ilivyokuwa inakwenda, iliweza pia kuleta maswali ya kujiuliza. Nadhani mambo kama haya yangekuwa yanafanyiwa kazi mara moja na au pia umma ungekuwa unapewa sababu ili uendelee kuwa na imani katika hivi vyombo vya utoaji haki. Pamoja na kwamba bado naziamini mahakama zetu, kuna mambo kama haya ya kufanyiwa kazi ili kuboresha.
 
Kumekuwepo na tuhuma nyingi kuhusu udhaifu wa mahakama ya Tanzania kwa miaka takribani nane sasa.

Jaji Mkuu aliyepo ameonyesha kushindwa kabisa kujitenga na matakwa ya serikali na hivyo kuifanya serikali iamini kwamba wao ni mabosi wa mahakama .

Mahakama imetuhumiwa kutotenda haki, imetuhumiwa na Rostam kubwa haiwezi kusimamia haki, imetuhumiwa na Waziri wa Ardhi kwamba wapo Majaji wasio na hadhi ya ujaji tena tuhuma hizi zikitolewa mbele ya bunge.

Tunaposhuhudia tuhuma kama hizi hakuna Sehemu Jaji Mkuu anaonekana kuwa na wivu na mahakama wala hakuna Sehemu kiongozi mkuu wa serikali anapokemea wasaidizi wake kuitisi mahakama.

Katika mkanganyiko huu naomba utusaidie kujadili kama tatizo ni mahakama imekufa au serikali imekosa mwelekeo?
✍️📝👌👍🤝👏🙏
 
Hii ni hoja kuntu sana!, mimi ni mmoja wa wadau humu ambaye nimeandika mengi kuuhusu mhimili huu wakati nikiwa just a layman,
  1. Ukosekanaji wa Haki kwenye Mhimili wa Mahakama, kunaweza kuwa kunachangiwa na Majaji/Mahakimu wenye uwezo mdogo kubaini haki?
  2. Je, Wajua? Mhimili wa Mahakama Usipotenda Haki Unaweza Kushitakiwa? Pongezi Jaji Mkuu wa Kusisitiza Usuluhishi na Sio Kukimbilia Kufungua Kesi
  3. Kaimu Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma, Naomba Usiruhusu Udhalilishaji Huu Ndani ya Mahakama Zetu!.
  4. "The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa Duniani!, Unahukumiwa kwa Matendo Yako!
  5. Pongezi kwa DPP Mpya. Kama itampendeza, aanze kwa kutumia Nolle, kusafisha Uchafu wote wa mtangulizi wake...
  6. Asante Rais Samia kwa kuwasisitiza watendaji wa vyombo vya haki kuwa haki sio hisani, bali ni stahiki. Watende haki, tubadili Katiba kurudisha haki
  7. Ushauri kwa DPP: Kutekeleza nia njema ya Rais Samia, kuona Haki ikitendeka; je, tumchagize DPP kutumia Nolle kufuta kesi zote zinazosuasua?
  8. Rais Samia ana nia njema Watanzania wapate haki, ila Watanzania hawajui Haki! Je, Tumsaidie kuelimisha umma Katiba, Sheria na Haki au?
  9. Asante Rais Samia kwa kuwasisitiza watendaji wa vyombo vya haki kuwa haki sio hisani, bali ni stahiki. Watende haki, tubadili Katiba kurudisha haki
  10. Mwisho hayo yote niliyaandika nikiwa just a layman, sasa mimi sio a layman tena, sasa mimi ni ofisa wa mahakama, sipaswi kuendelea kuandika na kulalamika, natakiwa kufanya kitu, na kitu cha kwanza ambacho nimeamua kukifanya ni kuwasaidia Watanzania wenzangu kwenye eneo la elimu ya katiba, sheria na haki, hivyo nimejitolea kusaidia Kipindi cha TV, Kutoa Elimu ya Katiba, Sheria na Haki, Kuanza Jumapili Hii Kupita Channel Ten
Hivyo ni kweli kabisa, upatikanaji wa haki Tanzania ni issue!,
P
✍️📝👌👍👏🤝🙏🛡️💐🎁
 
Kwa namna moja au nyingine kuna tatizo. Mfano, kesi ya akina Mdee ilianza kabla ya kesi ya matokeo ya uchaguzi wa Urais kule Kenya. Ile kesi ya Kenya ilitolewa uamuzi ndani ya wiki moja, lakini ya akina Mdee iliyoanza nadhani ilichukua mwaka au zaidi. Swali langu lilikuwa, je kuna ushahidi uliokuwa unakosekana au kulikuwa na shida gani? Ukiangalia pia kesi ya akina Mbowe (ya ugaidi) ilivyokuwa ikienda, iliweza pia kuleta maswali ya kujiuliza. Nadhani mambo kama haya yangekuwa yanafanyiwa kazi mara moja na au pia umma ungekuwa unapewa sababu ili uendelee kuwa na imani katika hivi vyombo vya utoaji haki. Pamoja na kwamba bado naziamini mahakama zetu, kuna mambo kama haya ya kufanyiwa kazi ili kuboresha.
🔊✍️📝👌👍👏🤝🙏🛡️💐🎁
 
Back
Top Bottom