Mahakama zisituingilie ndoa za kikristo, ni kifo ama usaliti ziwe sababu za kuvunja ndoa ama kuoa tena, adhabu ya kukiuka iwe kifungo cha maisha

Mahakama zisituingilie ndoa za kikristo, ni kifo ama usaliti ziwe sababu za kuvunja ndoa ama kuoa tena, adhabu ya kukiuka iwe kifungo cha maisha

Marko 10
6 Lakini tangu mwanzo wa kuumbwa ulimwengu, aliwafanya mume na mke.

7 Kwa sababu hiyo mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe;

8 na hao wawili watakuwa mwili mmoja; hata wamekuwa si wawili tena, bali mwili mmoja.

9 Basi alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe.

Kuna mambo ya KANISA kama migogoro ya uongozi wa KANISA ikipelekwa mahakamani Huwa wanakataa kutoa maamuzi Kwa hoja wahusika wakamalizie hukohuko mahakamani. Nadhani ni wakati mahakama haipaswi kuvunja ndoa ya kikristo pia.
Ndugu yangu sijakuelewa....sijaona pahala pameandikwa mtu ahukumiwe kifungo cha maisha.....unazunguka huku na kule kukwepa kauli yako.
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Sio kweli
Kanisa katolki.kuna vyeti vya kanisa vya ndoa vya Kikristo
padri kufungisha ndoa hahitaji kikaratasi chochote Cha msajili wa ndoa.Ndoa ni sakramenti ya kanisa kutoa hiyo sakramenti hivyo padri hahitaji kibali Cha serikali kutoa hiyo sakramenti
Hujui kitu so endelea kukaa hapo hapo na hiyo sakramenti yako!.
 
Kwani mahakama huwa inawaita au mnajipeleka wenyewe mahakamani? Watu wenyewe majeuri acha mahakama iingilie kati.
 
Vyeti vyenyewe vya serikali wewe mdunde mkeo ndiyo utajua kama wapo active au laa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Marko 10
6 Lakini tangu mwanzo wa kuumbwa ulimwengu, aliwafanya mume na mke.

7 Kwa sababu hiyo mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe;

8 na hao wawili watakuwa mwili mmoja; hata wamekuwa si wawili tena, bali mwili mmoja.

9 Basi alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe.

Kuna mambo ya KANISA kama migogoro ya uongozi wa KANISA ikipelekwa mahakamani Huwa wanakataa kutoa maamuzi Kwa hoja wahusika wakamalizie hukohuko mahakamani. Nadhani ni wakati mahakama haipaswi kuvunja ndoa ya kikristo pia.
Huo mstari wa Saba wanaume wengi hawaachi wazazi wao, unakuta jitu zima lina miaka karibia 50 lakini anaendeshwa na wazazi wenye zaidi 70 wanampangia maisha [emoji23][emoji23][emoji23] unajiuliza huyu wajukuu zake atawafunsisha nini kama sio matope tu.
 
Duh

Ngoja mzee wa kataa ndoa aje achangie uzi huu

Ova
 
Ndoa tumekubaliana kufunga ya kikristo na tumekula kiapo ni mpaka kifo ama moja akisaliti, iweje tukimbilie mahakamani kuzivunja kwa sababu zilizo nje ya kiapo ?

Nashangaa mahakama zinaingilia sana mambo ya dini za watu badala ya kuyaachia makanisa kusolve ndoa za kikristo.

Sheria za kanisani ni kwamba ndoa haivunjiki isipokuwa tu penye ushahidi usio na shaka kwamba pana usaliti, nje ya hapo ni mpaka kifo kiwatenganishe, FULLSTOP !!

Haijalishi mke wako hapendi ndugu zako, mme anakushushia kipigo kikali, kunyimwa unyumba mwaka mzima, ulevi uliopitiliza, n.k. ndoa ya kikristo HAIVUNJIKI !!

Kwa wanaotaka ndoa za kuvunjia mahakamani waoane ndoa za mahakamani.

Mahakama ziheshimu taratibu zetu zitupishe, watu wamekuwa wa kukimbilia mahakamani kitu ambacho kikristo hakiruhusiwi,.

Mtu akiwa ndani ya ndoa ya kikristo iwe ni mpaka asalitiwe ama kifo, ikibainika ana ndoa kaifunga kijanja kuwe na kifungo cha maisha jela

Hutaki Mahakama iingilie mambo yenu ila unataka ikibainika mtu kaoa nje afungwe maisha (Maana Mahakama ndiyo inayohusika na kutoa vifungo)[emoji28] kasheshe!
 
Sio kweli

Kanisa katolki.kuna vyeti vya kanisa vya ndoa vya Kikristo
padri kufungisha ndoa hahitaji kikaratasi chochote Cha msajili wa ndoa.Ndoa ni sakramenti ya kanisa kutoa hiyo sakramenti hivyo padri hahitaji kibali Cha serikali kutoa hiyo sakramenti
Wewe jidanganye tu. Sheikh au padri au mchungaji ambaye hana Kibali cha serikali haruhusiwi kufungisha ndoa
 
Sio kweli

Kanisa katolki.kuna vyeti vya kanisa vya ndoa vya Kikristo
padri kufungisha ndoa hahitaji kikaratasi chochote Cha msajili wa ndoa.Ndoa ni sakramenti ya kanisa kutoa hiyo sakramenti hivyo padri hahitaji kibali Cha serikali kutoa hiyo sakramenti

Ndugu, kweli sheria huijui vizuri. Ndoa zote zinapaswa kutambuliwa na Serikali. Na kanisa linalofungisha ndoa ni lazima liwe kanisa lenye usajili kamili ulioidhinishwa na Serikali. Kanisa likifutiwa usajili hakuna shughuli yoyote mnaweza kuifanya hapo ikawa halali.
 
Sasa kifungo cha maisha si ndio kuwaingilia uko.

Malizaneni uko uko kanisani, mkichomana visu mahakama ndio inaingilia.
 
Upo vizuri lakini upo faster sana mkuu.
Kabla hujafikia hatua ya kumuacha mke Kwasababu ya uasherati, wakatoliki tutakaa na wewe kwanza tukukumbushe 'ili usamehewe unatakiwa usamehe pia'.

Lakini kizuri zaidi Mungu aliwapa wazee wetu ukomavu wa fikra na kukataa kufungamana na upande wowote yaani Kisiasa,kiuchumi na kiutamaduni. Tanzania is Tanzania and it is free.

Hakuna kiongozi wa dini wala sheria ya kidini,siasa,ama utamaduni atakaye ruhusiwa kuikiuka Tanzania mahala ambapo utanzania unahitajika.

Wewe na taratibu za wakoloni wako tafuteni sehemu ingine sio Tz.




MAGUFULI4LIFE.
 
Ndoa tumekubaliana kufunga ya kikristo na tumekula kiapo ni mpaka kifo ama moja akisaliti, iweje tukimbilie mahakamani kuzivunja kwa sababu zilizo nje ya kiapo ?

Nashangaa mahakama zinaingilia sana mambo ya dini za watu badala ya kuyaachia makanisa kusolve ndoa za kikristo.

Sheria za kanisani ni kwamba ndoa haivunjiki isipokuwa tu penye ushahidi usio na shaka kwamba pana usaliti, nje ya hapo ni mpaka kifo kiwatenganishe, FULLSTOP !!

Haijalishi mke wako hapendi ndugu zako, mme anakushushia kipigo kikali, kunyimwa unyumba mwaka mzima, ulevi uliopitiliza, n.k. ndoa ya kikristo HAIVUNJIKI !!

Kwa wanaotaka ndoa za kuvunjia mahakamani waoane ndoa za mahakamani.

Mahakama ziheshimu taratibu zetu zitupishe, watu wamekuwa wa kukimbilia mahakamani kitu ambacho kikristo hakiruhusiwi,.

Mtu akiwa ndani ya ndoa ya kikristo iwe ni mpaka asalitiwe ama kifo, ikibainika ana ndoa kaifunga kijanja kuwe na kifungo cha maisha jela
Hivi kuna sehem yeyote Kwnye biblia imeandikwa kwamba ndoa haivunjwi hadi kifo kiwatenganishe?


Maana YESU hakuoa wala kuwahi kuwa na mke sasa hizo sheria za ndoa aliziweka nani?
 
Ndoa tumekubaliana kufunga ya kikristo na tumekula kiapo ni mpaka kifo ama moja akisaliti, iweje tukimbilie mahakamani kuzivunja kwa sababu zilizo nje ya kiapo ?

Nashangaa mahakama zinaingilia sana mambo ya dini za watu badala ya kuyaachia makanisa kusolve ndoa za kikristo.

Sheria za kanisani ni kwamba ndoa haivunjiki isipokuwa tu penye ushahidi usio na shaka kwamba pana usaliti, nje ya hapo ni mpaka kifo kiwatenganishe, FULLSTOP !!

Haijalishi mke wako hapendi ndugu zako, mme anakushushia kipigo kikali, kunyimwa unyumba mwaka mzima, ulevi uliopitiliza, n.k. ndoa ya kikristo HAIVUNJIKI !!

Kwa wanaotaka ndoa za kuvunjia mahakamani waoane ndoa za mahakamani.

Mahakama ziheshimu taratibu zetu zitupishe, watu wamekuwa wa kukimbilia mahakamani kitu ambacho kikristo hakiruhusiwi,.

Mtu akiwa ndani ya ndoa ya kikristo iwe ni mpaka asalitiwe ama kifo, ikibainika ana ndoa kaifunga kijanja kuwe na kifungo cha maisha jela
Umeenda weeeee halafu umerudi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ndoa tumekubaliana kufunga ya kikristo na tumekula kiapo ni mpaka kifo ama moja akisaliti, iweje tukimbilie mahakamani kuzivunja kwa sababu zilizo nje ya kiapo ?

Nashangaa mahakama zinaingilia sana mambo ya dini za watu badala ya kuyaachia makanisa kusolve ndoa za kikristo.

Sheria za kanisani ni kwamba ndoa haivunjiki isipokuwa tu penye ushahidi usio na shaka kwamba pana usaliti, nje ya hapo ni mpaka kifo kiwatenganishe, FULLSTOP !!

Haijalishi mke wako hapendi ndugu zako, mme anakushushia kipigo kikali, kunyimwa unyumba mwaka mzima, ulevi uliopitiliza, n.k. ndoa ya kikristo HAIVUNJIKI !!

Kwa wanaotaka ndoa za kuvunjia mahakamani waoane ndoa za mahakamani.

Mahakama ziheshimu taratibu zetu zitupishe, watu wamekuwa wa kukimbilia mahakamani kitu ambacho kikristo hakiruhusiwi,.

Mtu akiwa ndani ya ndoa ya kikristo iwe ni mpaka asalitiwe ama kifo, ikibainika ana ndoa kaifunga kijanja kuwe na kifungo cha maisha jela
Shida inakuja hapa. Mtu anahangaika weeee ili aipate ndoa akishaipata anaanza kuichezea badala ya kuitunza yakitokea matokeo ya uchezeaji wake wa ndoa anaanza kutafuta pa kujifichia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ndoa tumekubaliana kufunga ya kikristo na tumekula kiapo ni mpaka kifo ama moja akisaliti, iweje tukimbilie mahakamani kuzivunja kwa sababu zilizo nje ya kiapo ?

Nashangaa mahakama zinaingilia sana mambo ya dini za watu badala ya kuyaachia makanisa kusolve ndoa za kikristo.

Sheria za kanisani ni kwamba ndoa haivunjiki isipokuwa tu penye ushahidi usio na shaka kwamba pana usaliti, nje ya hapo ni mpaka kifo kiwatenganishe, FULLSTOP !!

Haijalishi mke wako hapendi ndugu zako, mme anakushushia kipigo kikali, kunyimwa unyumba mwaka mzima, ulevi uliopitiliza, n.k. ndoa ya kikristo HAIVUNJIKI !!

Kwa wanaotaka ndoa za kuvunjia mahakamani waoane ndoa za mahakamani.

Mahakama ziheshimu taratibu zetu zitupishe, watu wamekuwa wa kukimbilia mahakamani kitu ambacho kikristo hakiruhusiwi,.

Mtu akiwa ndani ya ndoa ya kikristo iwe ni mpaka asalitiwe ama kifo, ikibainika ana ndoa kaifunga kijanja kuwe na kifungo cha maisha jela
Usikurupupe....umeshaona cheti cha ndoa kina nembo ya kanisa......ni nembo ya serikali, na muidhinishaji ndoano ni serikali...wachungaji, mapadri hao ni mawakala tuu...hawana mamlaka yeyote ya kuvunja ndoano.....serikali kupitia muhimili wa MAHAKAMA, ndio muidhinishaji na mvunjaji mkuu.....kapitie sheria za ndoa ....
 
Hivi kuna sehem yeyote Kwnye biblia imeandikwa kwamba ndoa haivunjwi hadi kifo kiwatenganishe?


Maana YESU hakuoa wala kuwahi kuwa na mke sasa hizo sheria za ndoa aliziweka nani?
Ni ndoa za sheria za makanisani sio maandiko
 
Back
Top Bottom