Mahakamani kuna siri gani? Niliwahi kwenda kwa Mganga wa Kienyeji ili Hakimu na mashahidi washindwe kuongea au kuzungumza Mahakamani

Bora wahusika mkiri maana kuna wapuuzi wakiambiwa uchawi upo wanabishana!
 
Uchawi wa kuroga ATM ukipatikana mnistue
Uchawi una nguvu kwenye mazingira ya kuharibu na si ya kujenga! Ukitaka kufanya jambo lolote hasi uchawi unakuwa perfect yani iwe kukanusha, kukwamisha, kufelisha uchawi una nguvu!

Kwenye ATM haiwezi kufanya kazi sababu uchawi haurogi mashine unaroga nafsiπŸ˜…
 
Mungu ajaalie usije ukauponza kwa kutaka vya bure
 
Mmh mimi sijui ila kama ni mchawi kabisa, anaweza ingia sehemu yeyote muda wowote.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Acha ubishi.
 
Babu huwa anatuma joka siku ya hukum kama kesi ni ngumu kwake. Hakimu akikaa tu mezani cobra linamsimamia mbele tayari kumgonga akitaka kutamka neno tu. Mahakimu huwa wanatoka na kuita karani ataje siku nyingine mwisho kesi inafutwa.
Siku moja alikutana na hakimu anatokea usukumani
Kilichotokea ............
Nashindwa kusimulia ila ilikuwa ni Singida.
Babu bado yupo.

Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
 
Umeharibu pale ulipoanza swaga za kutolipa nauli

Chai ya moto ktk bakuli la bati
 
Katika Mahakama naona Mahakimu ndio wana kazi ngumu sana kuliko Majaji.
Mahakimu ndio wanao fanya kazi kwenye mazingira magumu zaidi kuliko Majaji, lkn cha kushangaza eti Majaji ndio wanalipwa vizuri zaidi kuliko Mahkimu.

hivyo ni vyema Serikli ikwajali sana Mahakimu ktk masilahi yao kuliko Majaji.
Kutoa haki sio kazi ndogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…