Mahakamani kuna siri gani? Niliwahi kwenda kwa Mganga wa Kienyeji ili Hakimu na mashahidi washindwe kuongea au kuzungumza Mahakamani

Mahakamani kuna siri gani? Niliwahi kwenda kwa Mganga wa Kienyeji ili Hakimu na mashahidi washindwe kuongea au kuzungumza Mahakamani

Unafahamu ndyeki wewe Bujibuji au wewe wa mjini

Hii ndyeki iliwamaliza watu wengi sana sana, Sitaki kuelezea huu ujinga wa watu wa Mbeya miaka hiyo

Wakati huo wa Ndyeki sisi wakinga tulikuwa wakulima hatujui hata biashara
Elezea kidogo kuhusu ndyeki tuielewe na tusirudie makosa yaliyofanywa na babu zetu,kuna watu wengi wanazaliwa mjini lakini wanafanya haya mambo kuliko wa vijijini,bwana Gussie tafadhali toa simulizi hiyo
 
Unafahamu ndyeki wewe Bujibuji au wewe wa mjini

Hii ndyeki iliwamaliza watu wengi sana sana, Sitaki kuelezea huu ujinga wa watu wa Mbeya miaka hiyo

Wakati huo wa Ndyeki sisi wakinga tulikuwa wakulima hatujui hata biashara
Elezea kidogo kuhusu ndyeki tuielewe na tusirudie makosa yaliyofanywa na babu zetu,kuna watu wengi wanazaliwa mjini lakini wanafanya haya mambo kuliko wa vijijini,bwana Gussie tafadhali toa simulizi hiyo
 
Kuna mtu aliwahi kusema namba moja kwa kurogwa ni mkuu kabisa kwa sababu watu wanajipendekeza wapendwe,wateuliwe na mambo mengine,wanaofuata ni majaji na mahakimu maana kila mwenye kesi analoga ashinde kesi.
 
Niliwahi kuwa na kesi ya jinai miaka 6 imepita. Aisee ile kesi ulikuwa wazi kabisa na ushahidi wa kutosha, kwa vyovyote vile lazima ningefungwa.

Nikiwa nje kwa dhamana, Kuna mtu akaniambia acha uboya dogo twende mahala. Jamani jamani dawa zipo tusibishe. Nilienda kule nikafanyiwa mambo na kupewa dawa za kuoga na kupaka siku ya hukumu.

Siku ya hukumu. Hakimu akasema nimefungwa kifungo cha nje kwa muda wa mwaka mmoja. Kila siku natakiwa kureport mahakamani hadi mwaka uishe.

Nilivokuwa naondoka karani akaja ananikimbilia akaniambia mhe. Kasema uandike namba yako ya simu nimpelekee. Nikampa no nikasepa.

Jioni nikaona simu inaita namba ngeni. Kupokea mtu akajitambulisha ni ... hakimu wa...... (Nimekupigia kukwambia kwamba ile kusema uwe unareport mahakamani kila siku ni geresha tu, we endelea na maisha yako biashara imeisha).

Sikuamini sana ile simu isije ikawa mtego. Kesho asubuhi nikareport pale mahakamani. Karani akaniambia ina maana hakimu alivyokupigia hukumuamini? We ondoka mbona ishu yako ushaisha.

Ni miaka 6 sasa imepita

[emoji23][emoji23][emoji23]dah hii kiboko
 
Uongo wa kiwango cha Juu, hawakukumbuki wewe kabisa, Ila kuna records, kuna arrest order Na wewe ulichagua option two!

Uongo narudia tena uongo! Kuna watu Wenye fedha nyingi wamefungwa life time and mganga angekuwa an easy option!

Hakuna Mganga anayeweza kufuta Kesi, simply hayupo, Na hawa Ma police Nina uhakika wana fungu la kujiweka Sawa!

Uongo uongo uongo Na uzandiki
Mwanangu usibishe aisee haya mambo yapo, mm nikiwa shahidi wa msingi kabisa wa kesi moja 2013 kila nikipanda kizimba nashindwa kuongea ....sitasahau
 
kama ulishawahi kuomba kwa salamu maria umejaa neema, ukapata majibu yaliyothibitika, nyosha mkono juu. au kama uliwahi kuomba kwa lozari ukapata majibu. tunaomba kwa Jina la Yesu Kristo pekee. mambo ya kuomba kwa maria na lozari pamoja na kwamba yalikuwa introduced baadaye kabisa na watu wanaoabudu kimwili, lakini mlikuja kujidanganya kwa mzimu uliowatoto wa Fatima, kwamba mzimu wa maria uliwatokea ukawaagiza wasali kwa lozari. maria kafa na hana communication na dunia hii, anasubiri kuhukumiwa siku ya mwisho. hicho kilichowatokea hakikuwa na uhusiano na Mungu ni shetani aliendelea kuwadanganya ili muendelee kusali kwa salamu maria na rozali.

mitume wale 12 hata kina Paulo walioanzisha ukristo, hakuna hata mmoja aliwahi kusali salamu maria au hata kumtaja tu. hakuna hata mmoja aliwahi kusali rozali. kama ni msomaji wa Biblia tutajie wapi wale mitume kina Petro Yohana etc waliposali kwa maria au rozali? au kuelekeza wafuasi wa Kikristo kufanya hivyo. hakuna, Yesu Kristo alituagiza tusali kwa kupitia Jina lake, ukiomba Kwa Jina la Yesu utapata majibu. Mungu hakusikilizi kabisa kama hautaomba kwa kupitia Jina la Yesu kwasababu Yesu Kristo ndiye kafara/daraja kati yetu na Mungu baba. huu ndio ukweli mchungu na shukuru Mungu umeusikia. I challenge you, nenda kamwulize padre au askofu yeyote a catholic asema wapi kwenye Biblia kuna kusali kwa maria, kuomba maria atuombee, kusali kwa lozari.

hii ni invention ya watu kimwili kwamba ati kwasababu maria ndio alimzee Yesu basi tumheshimu mama kabla hatujamheshimu mtoto, hamjui kuwa Yesu Kristo alikuwepo kabla ya maria na ibrahimu na Musa na wote? Yesu Kristo ndiye lile Neno lililotumika katika uumbaji tangu enzi na enzi haina mwanzo wala mwisho. kuja duniani kupitia maria ilikuwa ni njia tu ya kufanyika mwili wa kibinadamu ili abebe dhambi za dunia na kulipa gharama ya dhambi kwa mateso makubwa aliyopitia. hata baba wa duniani hapa hakuwepo, yeye alifanyika reincanation (spirit changing wearing human body) kwa kuuvaa mwili wa kibinadamu, ayashinde yote ya dunia, ateswe kwa ajili yetu ili kutukomboa. hata kumwona Mungu tunaokoka kwa kumkiri na kumwamini Yesu Kristo, maria tupa kule.
Wewe unaelewa Rozari au tasbihi ya kiislamu ni nini kwa akili yako? Manake inawezekana unajenga hoja kama mwamposa mwamposa
 
Mwanangu usibishe aisee haya mambo yapo, mm nikiwa shahidi wa msingi kabisa wa kesi moja 2013 kila nikipanda kizimba nashindwa kuongea ....sitasahau
Mbona mwakasege huwa hawamshughulikii kwa kuwawekea kiwingu? Very interesting
 
kama ulishawahi kuomba kwa salamu maria umejaa neema, ukapata majibu yaliyothibitika, nyosha mkono juu. au kama uliwahi kuomba kwa lozari ukapata majibu. tunaomba kwa Jina la Yesu Kristo pekee. mambo ya kuomba kwa maria na lozari pamoja na kwamba yalikuwa introduced baadaye kabisa na watu wanaoabudu kimwili, lakini mlikuja kujidanganya kwa mzimu uliowatoto wa Fatima, kwamba mzimu wa maria uliwatokea ukawaagiza wasali kwa lozari. maria kafa na hana communication na dunia hii, anasubiri kuhukumiwa siku ya mwisho. hicho kilichowatokea hakikuwa na uhusiano na Mungu ni shetani aliendelea kuwadanganya ili muendelee kusali kwa salamu maria na rozali.

mitume wale 12 hata kina Paulo walioanzisha ukristo, hakuna hata mmoja aliwahi kusali salamu maria au hata kumtaja tu. hakuna hata mmoja aliwahi kusali rozali. kama ni msomaji wa Biblia tutajie wapi wale mitume kina Petro Yohana etc waliposali kwa maria au rozali? au kuelekeza wafuasi wa Kikristo kufanya hivyo. hakuna, Yesu Kristo alituagiza tusali kwa kupitia Jina lake, ukiomba Kwa Jina la Yesu utapata majibu. Mungu hakusikilizi kabisa kama hautaomba kwa kupitia Jina la Yesu kwasababu Yesu Kristo ndiye kafara/daraja kati yetu na Mungu baba. huu ndio ukweli mchungu na shukuru Mungu umeusikia. I challenge you, nenda kamwulize padre au askofu yeyote a catholic asema wapi kwenye Biblia kuna kusali kwa maria, kuomba maria atuombee, kusali kwa lozari.

hii ni invention ya watu kimwili kwamba ati kwasababu maria ndio alimzee Yesu basi tumheshimu mama kabla hatujamheshimu mtoto, hamjui kuwa Yesu Kristo alikuwepo kabla ya maria na ibrahimu na Musa na wote? Yesu Kristo ndiye lile Neno lililotumika katika uumbaji tangu enzi na enzi haina mwanzo wala mwisho. kuja duniani kupitia maria ilikuwa ni njia tu ya kufanyika mwili wa kibinadamu ili abebe dhambi za dunia na kulipa gharama ya dhambi kwa mateso makubwa aliyopitia. hata baba wa duniani hapa hakuwepo, yeye alifanyika reincanation (spirit changing wearing human body) kwa kuuvaa mwili wa kibinadamu, ayashinde yote ya dunia, ateswe kwa ajili yetu ili kutukomboa. hata kumwona Mungu tunaokoka kwa kumkiri na kumwamini Yesu Kristo, maria tupa kule.
Kwa hubiri hili kama jamaa hajasarenda basi ana roho ngumu mno 🤗!.
 
Niliwahi kuwa na kesi ya jinai miaka 6 imepita. Aisee ile kesi ulikuwa wazi kabisa na ushahidi wa kutosha, kwa vyovyote vile lazima ningefungwa.

Nikiwa nje kwa dhamana, Kuna mtu akaniambia acha uboya dogo twende mahala. Jamani jamani dawa zipo tusibishe. Nilienda kule nikafanyiwa mambo na kupewa dawa za kuoga na kupaka siku ya hukumu.

Siku ya hukumu. Hakimu akasema nimefungwa kifungo cha nje kwa muda wa mwaka mmoja. Kila siku natakiwa kureport mahakamani hadi mwaka uishe.

Nilivokuwa naondoka karani akaja ananikimbilia akaniambia mhe. Kasema uandike namba yako ya simu nimpelekee. Nikampa no nikasepa.

Jioni nikaona simu inaita namba ngeni. Kupokea mtu akajitambulisha ni ... hakimu wa...... (Nimekupigia kukwambia kwamba ile kusema uwe unareport mahakamani kila siku ni geresha tu, we endelea na maisha yako biashara imeisha).

Sikuamini sana ile simu isije ikawa mtego. Kesho asubuhi nikareport pale mahakamani. Karani akaniambia ina maana hakimu alivyokupigia hukumuamini? We ondoka mbona ishu yako ushaisha.

Ni miaka 6 sasa imepita
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
AtaKuwa alimdanganya ili asisogelee tunda, Huu nakumbuka Mkuu wa shule Miaka hyo, walifika Watu wa damu salama shuleni, Baada kipindi kupita akaja twambia eti wale maduu wakali ktk Ile shule wameathirika, wajuba wakanywea... Wabishii wakaendelea ikaja kugundulika ni uongo... Yule mistress alikuwa Konyo sana
Makaburini walipita msituni.kinacho muuma zaidi alimwambiaga mmewe kuwa rafiki yake ni mwathirika afu still akawafumania ndo maana aliamua kumwacha akaondoka na watot
 
Uongo wa kiwango cha Juu, hawakukumbuki wewe kabisa, Ila kuna records, kuna arrest order Na wewe ulichagua option two!

Uongo narudia tena uongo! Kuna watu Wenye fedha nyingi wamefungwa life time and mganga angekuwa an easy option!

Hakuna Mganga anayeweza kufuta Kesi, simply hayupo, Na hawa Ma police Nina uhakika wana fungu la kujiweka Sawa!

Uongo uongo uongo Na uzandiki
We mkuu unasemaje?Wakati fulani nilienda field mahali nikakutana na mzee moja yule mzee ni Botanist by proffesion tena kasoma mpaka Germany kahudumu Kuanzia Nyerere mpaka kastaafu sio muda tu..Haya mambo mengi alituambia yapo
 
Back
Top Bottom