Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Huu uzi vipi Bavicha mbona mpo kimya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo siku atapatikana tuMAKONDA AMBWAGA KUBENEA MAHAMANI
Mahakama ya Kinondoni imetupilia mbali kesi iliyofunguliwa na mwanahabari Saed Kubenea dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ya matumizi mabaya ya madaraka baada ya upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha tuhuma zake.
====
Watafungwa Baba na Wajomba zenu ila siyo huyu hivyo acheni kupoteza muda na tutafute tu Hela.
Yale ni matawi ya CCM mpk CCM waelekezeMahakama za tz imefika Mahalia hata kama wanatoa huumu za haki, kwangu nishapoteza Iman nazo kabisa. Vituko nimeshuhudia vingiiii.
Yale ni matawi ya CCM mpk CCM waelekezeMahakama za tz imefika Mahalia hata kama wanatoa huumu za haki, kwangu nishapoteza Iman nazo kabisa. Vituko nimeshuhudia vingiiii.
bora chawa🕷️🕷️ umejitokeza kutoa michozi yakoMama Samia hata sabaya anaonewa na genge la wauza madawa, wakwepa Kodi na wapenda ushoga.
Ana kesi za kisiasa tu Kama ilivyokuwa kwa mbowe, tunakuamini Sana sisi vijana
Dpp afute kesi yake please
ErythrocyteHuu uzi vipi Bavicha mbona mpo kimya?
Hakika Makonda Mungu ampe uhai awaumbue wanafiki wote!Mwamba wa kanda ya Ziwa. 🤣🤣🤣
Mahakama za tz imefika Mahalia hata kama wanatoa huumu za haki, kwangu nishapoteza Iman nazo kabisa. Vituko nimeshuhudia vingiiii.
Huyu akitoka tu Rais Samia hapati Kura yangu 2025.Mama Samia hata sabaya anaonewa na genge la wauza madawa, wakwepa Kodi na wapenda ushoga.
Ana kesi za kisiasa tu Kama ilivyokuwa kwa mbowe, tunakuamini Sana sisi vijana
Dpp afute kesi yake please
MAKONDA AMBWAGA KUBENEA MAHAMANI
Mahakama ya Kinondoni imetupilia mbali kesi iliyofunguliwa na mwanahabari Saed Kubenea dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ya matumizi mabaya ya madaraka baada ya upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha tuhuma zake.
====
Watafungwa Baba na Wajomba zenu ila siyo huyu hivyo acheni kupoteza muda na tutafute tu Hela.
Ngosha ni mwamba hasa . Samia amtumie huyu jamaa kuvuna kanda ya ziwaHakika Makonda Mungu ampe uhai awaumbue wanafiki wote!
Akifungwa wa kumpa Utamu 'Actress' atakuwa nani?Kwani mtani ulijua atakuja kufungwa huyo?
Akifungwa wa kumpa Utamu 'Actress' atakuwa nani?
Unajua hawa jamaa hawajielewi ukimgusa makonda unagusa kanda ya ziwa! Mama sio mjinga aruhusu upuuzi wa wauza ngada na shisha wamwendeshe!Ngosha ni mwamba hasa . Samia amtumie huyu jamaa kuvuna kanda ya ziwa
Atamuharibia zaidi na anaweza hata asipate Kura 1 huko Lake Zone. Mshaurini tu amteue kuwa Balozi au ampe Cheo chochote cha kumfanya awe mbali na Tanzania ili Maaduii zake wasije sasa wakaanza kukaa Vikao vyao vya Kimafia na wakammaliza mazima na akawa Historia Tanzania kama alivyo sasa Baba yake Mlezi aliyekuwa akimpa Jeuri.Ngosha ni mwamba hasa . Samia amtumie huyu jamaa kuvuna kanda ya ziwa
Atamuharibia zaidi na anaweza hata asipate Kura 1 huko Lake Zone. Mshaurini tu amteue kuwa Balozi au ampe Cheo chochote cha kumfanya awe mbali na Tanzania ili Maaduii zake wasije sasa wakaanza kukaa Vikao vyao vya Kimafia na wakammaliza mazima na akawa Historia Tanzania kama alivyo sasa Baba yake Mlezi aliyekuwa akimpa Jeuri.
Na ndiye ajaye 2030 🤣Watafungwa Baba na Wajomba zenu ila siyo huyu hivyo acheni kupoteza muda na tutafute tu Hela.
Hakulaliki vipi wakati bado hatujaamka kwa furaha tangu mungu wao atangulie motoni? We vepe?Leo ufipa hakulaliki