Rwankomezi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 3,285
- 2,636
Huyu jamaaa nadhani anaonewa tu na wanaotafta kiki
Ndo ujinga mnaoufanya na mwisho wa siku mnabaki Hanna lolote,kama mliyajua hayo kwa nn mlimshauri Kubenea aende kufungua kesi wakati mnajua hatoweza shinda?
Yale ni matawi ya CCM mpk CCM waelekeze
Ndo ujinga mnaoufanya na mwisho wa siku mnabaki Hanna lolote,kama mliyajua hayo kwa nn mlimshauri Kubenea aende kufungua kesi wakati mnajua hatoweza shinda?