Mahakamani: Paul Makonda ambwaga Saed Kubenea

Mahakamani: Paul Makonda ambwaga Saed Kubenea

Wewe endelea kujifariji hamna lolote Makonda yuko na Samia vizuri! Mnachuki tu za kijanga na kipumbavu!
Kumbe suala ni kwamba hawezi kushtakiwa kwa kuwa tu yupo vizuri na Samia hata kama alifanya uhalifu?

Uhalifu wa Makonda upo wazi kwa kila mtu hususan ule wa kwenda kuvamia clouds na mitutu ya bunduki. Hadi Magufuli aliwasuluhisha na Ruge.

Sema kesi kama hii ilitakiwa ifunguliwe na Jamhuri asingechomoka hata kwa ndumba maana serikali ina ushahidi wote sema bado muda tu wakuamua haujafika.
 
Wanasiasa wetu huwa ni matapeli tu.
 
Chadema wameumia sana na hili ishu ya Makonda kutupiliwa mbali kesi yake,Tuliwai kusema humu kwamba Makonda hakutumia vibaya madaraka ya Ofisi yake ya ukuu wa mkoa,alichokuwa anafanya alikuwaga anakijua,Makonda anawajua wote wauza ngada na mashoga, na clouds ilishawai kutuhumiwa kuhusika na haya Mambo....Ruge rest in peace kiburi tu cha kihaya ndo kilikuwa kinamsumbua ila alitakiwa kumuomba Msamaha Makonda!!!
 
Na ndio taarifa sahihi, hizi nyingine ni porojo tu za kijiweni.
Nimeshangaa kuiona hivi cos nilipita pale Kinondoni leo, kuna Wakili nafahamiana naye akanipa abcd,but penye wengi Pana mengi
 
Back
Top Bottom