Rwankomezi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 3,285
- 2,636
Yale ni matawi ya CCM mpk CCM waelekeze
Atamuharibia zaidi na anaweza hata asipate Kura 1 huko Lake Zone. Mshaurini tu amteue kuwa Balozi au ampe Cheo chochote cha kumfanya awe mbali na Tanzania ili Maaduii zake wasije sasa wakaanza kukaa Vikao vyao vya Kimafia na wakammaliza mazima na akawa Historia Tanzania kama alivyo sasa Baba yake Mlezi aliyekuwa akimpa Jeuri.
Sasa kama atamharibia zaidi, amteue kuwa balozi ili akamharibie zaidi huko nje!!Atamuharibia zaidi na anaweza hata asipate Kura 1 huko Lake Zone. Mshaurini tu amteue kuwa Balozi au ampe Cheo chochote cha kumfanya awe mbali na Tanzania ili Maaduii zake wasije sasa wakaanza kukaa Vikao vyao vya Kimafia na wakammaliza mazima na akawa Historia Tanzania kama alivyo sasa Baba yake Mlezi aliyekuwa akimpa Jeuri.
Kubenea ni mpumbavu, arudishe pesa alizolipwaTuliwambia humu haha
Ova
Wewe endelea kujifariji hamna lolote Makonda yuko na Samia vizuri! Mnachuki tu za kijanga na kipumbavu!Sasa kama atamharibia zaidi, amteue kuwa balozi ili akamharibie zaidi huko nje!!
Huyo amuache tu kama aliwafanyia walimwengu vibaya wamfunze adabu!!
OkMakengeza Mbowe akiachiwa huru Mahakama ziko huru! Wakiaachiwa wengine mahakama haziko huru!
Kesi ilikuwa too personalKubenea ni mpumbavu, arudishe pesa alizolipwa
Unapotosho baada ya kulipwa bei gani ?MAKONDA AMBWAGA KUBENEA MAHAMANI
Mahakama ya Kinondoni imetupilia mbali kesi iliyofunguliwa na mwanahabari Saed Kubenea dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ya matumizi mabaya ya madaraka baada ya upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha tuhuma zake.
====
Watafungwa Baba na Wajomba zenu ila siyo huyu hivyo acheni kupoteza muda na tutafute tu Hela.
MAKONDA AMBWAGA KUBENEA MAHAMANI
Mahakama ya Kinondoni imetupilia mbali kesi iliyofunguliwa na mwanahabari Saed Kubenea dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ya matumizi mabaya ya madaraka baada ya upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha tuhuma zake.
====
Watafungwa Baba na Wajomba zenu ila siyo huyu hivyo acheni kupoteza muda na tutafute tu Hela.
Huyu ni bwana wa mama haguswiMAKONDA AMBWAGA KUBENEA MAHAMANI
Mahakama ya Kinondoni imetupilia mbali kesi iliyofunguliwa na mwanahabari Saed Kubenea dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ya matumizi mabaya ya madaraka baada ya upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha tuhuma zake.
====
Watafungwa Baba na Wajomba zenu ila siyo huyu hivyo acheni kupoteza muda na tutafute tu Hela.
Kwako mahakama itakuwa imetenda haki pale tu unaposhinda kesi. Akili yako ya ajabu!Mahakama za tz imefika Mahalia hata kama wanatoa huumu za haki, kwangu nishapoteza Iman nazo kabisa. Vituko nimeshuhudia vingiiii.
Leo ndio umethibitishia umma wa JF kwamba kichwa chako kimejaa fungus.MAKONDA AMBWAGA KUBENEA MAHAMANI
Mahakama ya Kinondoni imetupilia mbali kesi iliyofunguliwa na mwanahabari Saed Kubenea dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ya matumizi mabaya ya madaraka baada ya upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha tuhuma zake.
====
Watafungwa Baba na Wajomba zenu ila siyo huyu hivyo acheni kupoteza muda na tutafute tu Hela.
Na wewe umeingizwa mkenge na huyu JF comedian?Tuliwambia humu haha
Ova
Watch your language.Huyu ni bwana wa mama haguswi
Kwa hiyo ww na huyo kubenea akili hamna? Si mngeenda huko mahakama kuuLeo ndio umethibitishia umma wa JF kwamba kichwa chako kimejaa fungus.
Mahakama ya kinondoni haina uwezo wa kusikiliza kesi hiyo hivyo Kubenea anatakiwa akafunguwe kesi hiyo kwenye mahakama sahihi kisheria.
Huu uchawa mtajikuta mnaolewa hapa mjini kwa kupenda bia za bure kwa hao mabwana zenu.
Bado maridhiano yanaendelea, Shart la Lisu kurudi ilikuwa lazima Serikali itoe tamko juu ya USALAMA wake. Hilo limefanyika.Safi sana
Tumia vizuri UHURU wako wa Kutoa maoni. Usijitoe UFAHAMU. AmenHuyu ni bwana wa mama haguswi
Wewe itakuwa taahira siyo bure, kesi ya Kubenea mimi inanihusu vipi?Kwa hiyo ww na huyo kubenea akili hamna? Si mngeenda huko mahakama kuu