Na wewe ni pimbi tu! Sasa kama mahakmaa ya kinondoni haina uwezo alipeleka vipi kesi hiyo kinondoni na huku anajua haina uwezo! Wewe na kubenea mnaakili moja! Vichwa maji!Wewe itakuwa taahira siyo bure, kesi ya Kubenea mimi inanihusu vipi?
Au kuwaumbuwa huu uongo mlioandika kwenye hii thread ndio umepanic hivyo?
Tulia kwanza shusha presha, kunywa maji mengi. Alafu jibu hili swali: kwa nn wewe na kubenea hamkupeleka hiyo kesi mahakama sahihi?Wewe itakuwa taahira siyo bure, kesi ya Kubenea mimi inanihusu vipi?
Au kuwaumbuwa huu uongo mlioandika kwenye hii thread ndio umepanic hivyo?
Sio Wana akili moja ni mtu na hawara yake haoNa wewe ni pimbi tu! Sasa kama mahakmaa ya kinondoni haina uwezo alipeleka vipi kesi hiyo kinondoni na huku anajua haina uwezo! Wewe na kubenea mnaakili moja! Vichwa maji!
Godfather wake alipewa hukumu gani, kifo??Hukumu ya haki hutoa Mungu, huwa naamini siku zote, hapa duniani tunadanganyana kwa vile sheria zipo na zimewekwa tuzifuate hasa maskini, kila nikikumbuka hukumu iliyotolewa kwa Godfather wake, wacheni Mungu itwe Mungu, nayeye Makonda kama kuna uhuni alifanya basi siku zake zinakuja, Mungu ndiye anajua.
Wewe endelea kujifariji hamna lolote Makonda yuko na Samia vizuri! Mnachuki tu za kijanga na kipumbavu!
Umezidishiwa stress baada ya zile ulizoachiwa na MaguHiki usemacho ni kweli? Sina imani na mahakama hizi zilizokubali kuitumikia CCM, je habari yako ni ya kweli?
Mbona unateseka sana?Leo ndio umethibitishia umma wa JF kwamba kichwa chako kimejaa fungus.
Mahakama ya kinondoni haina uwezo wa kusikiliza kesi hiyo hivyo Kubenea anatakiwa akafunguwe kesi hiyo kwenye mahakama sahihi kisheria.
Huu uchawa mtajikuta mnaolewa hapa mjini kwa kupenda bia za bure kwa hao mabwana zenu.
Umezidishiwa stress baada ya zile ulizoachiwa na Magu
Utaahira wako umeonekana kwenye kesi hii..Wewe itakuwa taahira siyo bure, kesi ya Kubenea mimi inanihusu vipi?
Au kuwaumbuwa huu uongo mlioandika kwenye hii thread ndio umepanic hivyo?
Labda ukiwa nae Chumbani Kwako ila siyo kwa nchi hii ya Tanzania ambayo Mimi GENTAMYCINE nipo na ninaishi pia.Na ndiye ajaye 2030 🤣
Leo ufipa mnapishana chooni tu full kuharaStress kwenye nini labda?
Niliwahi kuandika kuwa "Matumizi mabaya ya Madaraka" ni kosa gumu sana kulithibitisha mahakamani. Mtu mwenye mamlaka ya kuadhibu kosa hilo nio Rais tu. Ingekuwa kesi ya Kutumia madaraka yake kunyang'anya mali za watu binasfi kwa manufaa yake binafsi ingelkuwa na nguvu kidogo lakini pia angeambiwa kuwa kesi hiyo kesiiko kwenye jurisdiction ya TAKUKURUMAKONDA AMBWAGA KUBENEA MAHAMANI
Mahakama ya Kinondoni imetupilia mbali kesi iliyofunguliwa na mwanahabari Saed Kubenea dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ya matumizi mabaya ya madaraka baada ya upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha tuhuma zake.
====
Watafungwa Baba na Wajomba zenu ila siyo huyu hivyo acheni kupoteza muda na tutafute tu Hela.
Chanzo: Dar Mpya Blog
Za kuumizwa na Magu na MakondaStress kwenye nini labda?
Tusitishane kwani nimemtaja nani hapoTumia vizuri UHURU wako wa Kutoa maoni. Usijitoe UFAHAMU. Amen
Use your common senseWatch your language.
Hii ndo sababu kuu sema watu wengi humu hawaelewi. Unapofungua kesi lazima uoneshe ni kwa namna gani maslahi yako yaliharibiwa kwa namna moja ama nyingine.Kubenea alikurupuka kufungua ile kesi, hakuwa na locus standi.