Konda wa bajaj
JF-Expert Member
- Sep 10, 2024
- 604
- 918
Ogopa kiumbe ambacho kimeweka kikao na shetaniCase studies zipo nyingi Sana Sina haja ya kurudia.
Uzi tayari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ogopa kiumbe ambacho kimeweka kikao na shetaniCase studies zipo nyingi Sana Sina haja ya kurudia.
Uzi tayari.
Punguza wenge kijana, Kwenye Uzi wangu sijamtaka mama yako Wala mkeoUjinga tuu,
Nyuzi kama hizi mods wanaziacha tuu, nao wanapenda nyuzi za kijinga.
Wale wanaume wanaobaka watoto wao hapo napo mwanamke katumwa.
mToa mada wewe ni mjinga.
Au sio😂Ogopa kiumbe ambacho kimeweka kikao na shetani
Amesema mahali ambapo shetani hawezi kufika mbona nyepesi tu, aliposhindwa kwa Ayubu alimtumia mkewe amshawishi amkufuru MunguUjinga tuu,
Nyuzi kama hizi mods wanaziacha tuu, nao wanapenda nyuzi za kijinga.
Wale wanaume wanaobaka watoto wao hapo napo mwanamke katumwa.
mToa mada wewe ni mjinga.
Nakazia Sana ujumbe mkuu"Chanzo cha mabaya ni Pesa na wasichana chunga sana alishasema Salu T" -Fid Q
A woman carrying a baby in her womb is a biological phenomenon, and mind you not only woman can carry pregnancy bt all other mammals.Im not thinking but thats how it is
So mwanamke ni a good seed of mass destruction? Na tena ni a dangerous weapon to ever been made?
Hakuna mahali nimesema uzi ni wakipumbavu.Punguza wenge kijana, Kwenye Uzi wangu sijamtaka mama yako Wala mkeo
Na Kama uliona Uzi wangu ni wa kipumbavu ungepita kimya kimya hakuna aliyekulazimisha kuufungua
Eti nyie ndo mnafanya Dunia izunguke😂Bila sisi hamuwezi kutoboa
Mada yenyewe sio ngumu ila kichwa chako ndo kigumu umeshindwa kuelewa kinachoongelewaHakuna mahali nimesema uzi ni wakipumbavu.
Huwezi kuandika mada ya kijinga namna hii halafu tukuache.
Umeleta mada controversial halafu maelezo sentensi moja.
Mimi sikujui mkuu ila hapa umeonyesha wewe ni mjinga.
Mfano 1. Juzi kati hapa 26/10/2024 kulikuwa na tukio uck pale ....1245 chanzo ni Ke.Bila kuweka mifano, Mada yako itakuwa haijakamilika
Hapana , mtoa mada sio mjinga. Mbona amesema "Mahali ambapo Shetani hawezi kufika....?" ina maana mahali ambapo Shetani anaweza kufika hatamtuma mwanamke bali ataenda yeye mwenyewe. Umeelewa sasa?Ujinga tuu,
Nyuzi kama hizi mods wanaziacha tuu, nao wanapenda nyuzi za kijinga.
Wale wanaume wanaobaka watoto wao hapo napo mwanamke katumwa.
mToa mada wewe ni mjinga.
Kwa nilicho shuhudia wiki Moja iliyopota kuna vitoto ni barahaUjinga tuu,
Nyuzi kama hizi mods wanaziacha tuu, nao wanapenda nyuzi za kijinga.
Wale wanaume wanaobaka watoto wao hapo napo mwanamke katumwa.
mToa mada wewe ni mjinga.