Mahali ambapo Shetani hawezi kufika huwa anatuma mwanamke

Mahali ambapo Shetani hawezi kufika huwa anatuma mwanamke

Ujinga tuu,
Nyuzi kama hizi mods wanaziacha tuu, nao wanapenda nyuzi za kijinga.

Wale wanaume wanaobaka watoto wao hapo napo mwanamke katumwa.

mToa mada wewe ni mjinga.
Punguza wenge kijana, Kwenye Uzi wangu sijamtaka mama yako Wala mkeo

Na Kama uliona Uzi wangu ni wa kipumbavu ungepita kimya kimya hakuna aliyekulazimisha kuufungua
 
Ujinga tuu,
Nyuzi kama hizi mods wanaziacha tuu, nao wanapenda nyuzi za kijinga.

Wale wanaume wanaobaka watoto wao hapo napo mwanamke katumwa.

mToa mada wewe ni mjinga.
Amesema mahali ambapo shetani hawezi kufika mbona nyepesi tu, aliposhindwa kwa Ayubu alimtumia mkewe amshawishi amkufuru Mungu
 
Mama yako alikuita my baby ukiwa na miezi 9 sasa muongope kiumbe atakaekuja kukuita my baby ukiwa na miaka 25 he is devil
 
Im not thinking but thats how it is
A woman carrying a baby in her womb is a biological phenomenon, and mind you not only woman can carry pregnancy bt all other mammals.

Therefore it has nothing to do with her character & deeds
 
Punguza wenge kijana, Kwenye Uzi wangu sijamtaka mama yako Wala mkeo

Na Kama uliona Uzi wangu ni wa kipumbavu ungepita kimya kimya hakuna aliyekulazimisha kuufungua
Hakuna mahali nimesema uzi ni wakipumbavu.

Huwezi kuandika mada ya kijinga namna hii halafu tukuache.

Umeleta mada controversial halafu maelezo sentensi moja.

Mimi sikujui mkuu ila hapa umeonyesha wewe ni mjinga.
 
Hakuna mahali nimesema uzi ni wakipumbavu.

Huwezi kuandika mada ya kijinga namna hii halafu tukuache.

Umeleta mada controversial halafu maelezo sentensi moja.

Mimi sikujui mkuu ila hapa umeonyesha wewe ni mjinga.
Mada yenyewe sio ngumu ila kichwa chako ndo kigumu umeshindwa kuelewa kinachoongelewa

Members wengi wote wameelewa mada isipokuwa kilaza mmoja tu ambaye ndo wewe
 
Unataka kumaanisha kwamba pia Tanganyika ilikuwa aifikiki kirahisi ndio maana akaamua kutuletea bibi kidude tuishi nae🤔
 
Ujinga tuu,
Nyuzi kama hizi mods wanaziacha tuu, nao wanapenda nyuzi za kijinga.

Wale wanaume wanaobaka watoto wao hapo napo mwanamke katumwa.

mToa mada wewe ni mjinga.
Hapana , mtoa mada sio mjinga. Mbona amesema "Mahali ambapo Shetani hawezi kufika....?" ina maana mahali ambapo Shetani anaweza kufika hatamtuma mwanamke bali ataenda yeye mwenyewe. Umeelewa sasa?
 
Ujinga tuu,
Nyuzi kama hizi mods wanaziacha tuu, nao wanapenda nyuzi za kijinga.

Wale wanaume wanaobaka watoto wao hapo napo mwanamke katumwa.

mToa mada wewe ni mjinga.
Kwa nilicho shuhudia wiki Moja iliyopota kuna vitoto ni baraha
 
Back
Top Bottom