Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
- Thread starter
- #61
Uongo!Na mwanaume ndio shetani mwenyewe.
Sawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongo!Na mwanaume ndio shetani mwenyewe.
Sawa.
Nakupa references kutoka Kwenye biblia( ingawa sijui Kama wewe Ni mkristo)Naona unafanya kazi ya kunilisha maneno.
Hakuna sehemu nimesema mada ni ngumu.
tafsiri ya neno "Controversial " kwa Kiswahili ni "Yenye Utata".
Utata uko hapa umeandika " Mahali ambapo shetani hawezi kufika huwa anatuma Mwanamke"
ningekuona wewe si mjinga kama ungeeleza ni vitendo gani Mwanamke akifanya anakuwa ametumwa na Shetani.
Na je hivyo vitendo au vya kufanana na hivyo Mwanaume hajawahi kufanya.
Na kama anafanya alitumwa na nani?
Lakini pia mada yako kukubalika na watu wengi haimanishi uko sahihi au si ya kijinga.
Ibrahim & Sara vs HagarNakupa references kutoka Kwenye biblia( ingawa sijui Kama wewe Ni mkristo)
Adam & Eva katika bustani ya Eden
Delilah & Samson
Potipha"s wife & Joseph
Uriah's wife & King David
Job vs his wife & Satan
Ee sure....😄😄Eti nyie ndo mnafanya Dunia izunguke😂
mifano ipo ya kutosha kwenye Bibilia
1. Eva
2. Delila
3. Safira
4. mke wa Ayubu
5. mke wa mfalme Herode
6. Yezeberi nk
Ukikua utaelewa dogoJichunguze vizuri brother inaezekana na wewe ni mwanamke na labda hujijui😅
Mwanaume kamili unakosaje pisi kwa karne hii ya 21 iliyosheheni wanawake lukuki