Mahali ambapo Shetani hawezi kufika huwa anatuma mwanamke

Nakupa references kutoka Kwenye biblia( ingawa sijui Kama wewe Ni mkristo)

Adam & Eva katika bustani ya Eden

Delilah & Samson

Potipha"s wife & Joseph

Uriah's wife & King David

Job vs his wife & Satan
 
Nakupa references kutoka Kwenye biblia( ingawa sijui Kama wewe Ni mkristo)

Adam & Eva katika bustani ya Eden

Delilah & Samson

Potipha"s wife & Joseph

Uriah's wife & King David

Job vs his wife & Satan
Ibrahim & Sara vs Hagar
 
Hawa alimwonesha njia 😂😂
 
mifano ipo ya kutosha kwenye Bibilia
1. Eva
2. Delila
3. Safira
4. mke wa Ayubu
5. mke wa mfalme Herode
6. Yezeberi nk


kiasili, wanawake wamebeba negative power. ila ndio hao hao mama zetu.

uzao wa mwanamke yaani Yesu Kristo ulimponda ibilisi kichwa msalabani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…