Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Wanasikitisha sanaHawa Mambuzi yanaonaga ufahari kutukana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasikitisha sanaHawa Mambuzi yanaonaga ufahari kutukana
Wanasemaga Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. !!Matusi yanakusaidia nini? CCM hamjawahi kuwa na busara ndio maana kutwa kushinda kwa waganga mkirogana
Naona umeamua kugeukia Mambo ya unabiiThis picture speaks thousands words!.View attachment 2466088
Kuna vitu vikubwa vizuri hii picha inasema ambavyo havijaandikwa!. Inabidi uwe na observatory eagle eye kuviona!.
Hongereni wote,
- Kikawaida Political pictures zinafuata kanuni ya kidplomasia iitwayo reciprocity, wenyeviti wa vyama wakikutana ni wenyeviti.
- Wenyeviti wakikutana huku wameandamana na ma VC wao, then wote wawili wataandamana na ma VC wao!. Sio mmoja yuko na VC wake, mwingine yuko kavu kavu!.
- Distance between the subjects and proximity and closeness tells something comfortablility, love, trust, openness and readiness!.
- Colours of suits and single buttons suits is just an amazing coincidence!, which tells they think alike!.
- Kiukweli kabisa usione vyaelea, vimeundwa!. Kuna watu wakiangalia hii picha wanadhani it was simple and easy, na kufikiri it just happened!.
- No way, mpaka hapo unapowaona, ujue kuna kazi kubwa background work imefanyika:!.
- Kuna watu wamemuombea mtu msamaha, Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye?
- Kuna watu wameandika Makala magazetini za kumuombea mtu msamaha!View attachment 2466125
- Mtu akasamehewa:!
- mambo mazuri yakaanza!, vikao ambavyo vilikwama kuitishwa kutokana na ukosefu wa fedha, pesa zikapatikana!, vikao vikaitishwa!, sasa hata fedha za uendeshaji wa shughuli za chama zimepatikana, mambo sasa yanakwenda, na sio fedha tuu za uendeshaji, hadi fedha za kupiga trips za nje ya nchi pia zimepatikana!.
- Haya ni mambo mazuri, kiukweli kabisa mahali ni pazuri, ndugu wanapokaa, wakipata vema na wakipendana.
- Tulikotoka ni kugumu, tunako kwenda ni kurahisi, kuzuri!. Tunaelekea pazuri.
Happy New Year!.
Paskali
Mbona Makamu Mwenyekiti wa upande mmoja hayupo au yupo nchini kwao au kwenye nchi ya wanawe.This picture speaks thousands words!.View attachment 2466088
Kuna vitu vikubwa vizuri hii picha inasema ambavyo havijaandikwa!. Inabidi uwe na observatory eagle eye kuviona!.
Hongereni wote,
- Kikawaida Political pictures zinafuata kanuni ya kidplomasia iitwayo reciprocity, wenyeviti wa vyama wakikutana ni wenyeviti.
- Wenyeviti wakikutana huku wameandamana na ma VC wao, then wote wawili wataandamana na ma VC wao!. Sio mmoja yuko na VC wake, mwingine yuko kavu kavu!.
- Distance between the subjects and proximity and closeness tells something comfortablility, love, trust, openness and readiness!.
- Colours of suits and single buttons suits is just an amazing coincidence!, which tells they think alike!.
- Kiukweli kabisa usione vyaelea, vimeundwa!. Kuna watu wakiangalia hii picha wanadhani it was simple and easy, na kufikiri it just happened!.
- No way, mpaka hapo unapowaona, ujue kuna kazi kubwa background work imefanyika:!.
- Kuna watu wamemuombea mtu msamaha, Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye?
- Kuna watu wameandika Makala magazetini za kumuombea mtu msamaha!View attachment 2466125
- Mtu akasamehewa:!
- mambo mazuri yakaanza!, vikao ambavyo vilikwama kuitishwa kutokana na ukosefu wa fedha, pesa zikapatikana!, vikao vikaitishwa!, sasa hata fedha za uendeshaji wa shughuli za chama zimepatikana, mambo sasa yanakwenda, na sio fedha tuu za uendeshaji, hadi fedha za kupiga trips za nje ya nchi pia zimepatikana!.
- Haya ni mambo mazuri, kiukweli kabisa mahali ni pazuri, ndugu wanapokaa, wakipata vema na wakipendana.
- Tulikotoka ni kugumu, tunako kwenda ni kurahisi, kuzuri!. Tunaelekea pazuri.
Happy New Year!.
Paskali
Makala gani hiyo?asamehewe kwa kosa gani?Yaani gaidi asamehewe tu kirahisi?issue ni je kweli alitenda Hilo kosa?yaani baba hapo kweli uliandika asamehewe Kwa kuwa ametenda makosa au asamehewe katika mlengo upi?Aliependa ugomvi angeandika Makala hii ?View attachment 2466157
P
Na bado atakonda sana na nyuz zake za kiccm ccm na katiba mpya ikija ndo atajua kuwa chadema sio mchezo.Roho inakuuma ulipenda ugomvi sasa shika jembe ukalime.
wewe unayefugwa ccm ukiwa umejumuishwa na nguruwe wenzio hapo kwenye makorido ya nyuma za serikali zilizogeuzwa ofis za lumumba anza kutafuta kaz za kufanya vinginevyo kimbilia mombasa ukaendeleze kaz yako huko au ubaki ufe njaa maana katiba mpya nguruwe wote mnaofugwa hapo lumumba itawafagia na upumbavu wenu maana mamayenu amemuelewa mbowe kuhusu katiba mpya. Wewe na nguruwe wenzio mtadeki makorido ya lumumba mpaka mzeeke MBOWE OYEEEEEE KATIBA MPYA OYEEEE, NGURUWE KAMA HUYU MLETA KOMENT CHALIIII NA BADO MPAKA KUFIKIA 2025 MTAOKOTA MAKOPO KABISA MTAKE MSITAKE.MACHADEMA aka manyumbu hawana maelezo yoyote kuhusu Mbowe kukutana na Rais. Simply ni kwamba Mbowe anafundishwa siasa endelevu akawafundishe hao mifugo wake
Nguruwe wa lumumba tafuten kaz zs kufanya au katiba mpya iwafagie kwa upumbavu na uvivu wenu wa kufanya kaz wajinga nyinyi.MACHADEMA aka manyumbu hawana maelezo yoyote kuhusu Mbowe kukutana na Rais. Simply ni kwamba Mbowe anafundishwa siasa endelevu akawafundishe hao mifugo wake
Kwamba umekuwa ukisema humu jf na kwingineko kuwa wewe ni wakili sasa nakuuliza maswali yafuatayoThis picture speaks thousands words!.View attachment 2466088
Kuna vitu vikubwa vizuri hii picha inasema ambavyo havijaandikwa!. Inabidi uwe na observatory eagle eye kuviona!.
Hongereni wote,
- Kikawaida Political pictures zinafuata kanuni ya kidplomasia iitwayo reciprocity, wenyeviti wa vyama wakikutana ni wenyeviti.
- Wenyeviti wakikutana huku wameandamana na ma VC wao, then wote wawili wataandamana na ma VC wao!. Sio mmoja yuko na VC wake, mwingine yuko kavu kavu!.
- Distance between the subjects and proximity and closeness tells something comfortablility, love, trust, openness and readiness!.
- Colours of suits and single buttons suits is just an amazing coincidence!, which tells they think alike!.
- Kiukweli kabisa usione vyaelea, vimeundwa!. Kuna watu wakiangalia hii picha wanadhani it was simple and easy, na kufikiri it just happened!.
- No way, mpaka hapo unapowaona, ujue kuna kazi kubwa background work imefanyika:!.
- Kuna watu wamemuombea mtu msamaha, Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye?
- Kuna watu wameandika Makala magazetini za kumuombea mtu msamaha!View attachment 2466125
- Mtu akasamehewa:!
- mambo mazuri yakaanza!, vikao ambavyo vilikwama kuitishwa kutokana na ukosefu wa fedha, pesa zikapatikana!, vikao vikaitishwa!, sasa hata fedha za uendeshaji wa shughuli za chama zimepatikana, mambo sasa yanakwenda, na sio fedha tuu za uendeshaji, hadi fedha za kupiga trips za nje ya nchi pia zimepatikana!.
- Haya ni mambo mazuri, kiukweli kabisa mahali ni pazuri, ndugu wanapokaa, wakipata vema na wakipendana.
- Tulikotoka ni kugumu, tunako kwenda ni kurahisi, kuzuri!. Tunaelekea pazuri.
Happy New Year!.
Paskali
Hio makala sio relevant maana inaingelea msamaha wakati mbowe hakusamehewa na kama wewe unaamin alisamehewa that is your own thinking but as we speak mbowe was not condoned.Aliependa ugomvi angeandika Makala hii ?View attachment 2466157
P
Mbona Mr Mbowe Yuko pekee yake,wakati Mama Yuko na Kinana!!??Wakifanikiwa kupata tume huru na Katiba mpya nadhani na wewe utakuwa huru kuonesha maoni yako kama Gerald na utaomba kura bila kujali any political correctness ili ufikie Malengo yako.
For the time being... ma hater wote wa Mbowe na CDM wameufyata..
Happy New year Mayalla
Mipasho hii Sasa! Mjibu hoja yake Kama majibu unayo!!?Roho inakuuma ulipenda ugomvi sasa shika jembe ukalime.
*The conspiracy cartel voluntarily exposed itself to the public whereas rumors have become realistic to clear speculation of the past. This shall never stand for a long time before vengeance intervenes to scroll justice.This picture speaks thousands words!.View attachment 2466088
Kuna vitu vikubwa vizuri hii picha inasema ambavyo havijaandikwa!. Inabidi uwe na observatory eagle eye kuviona!.
Hongereni wote,
- Kikawaida Political pictures zinafuata kanuni ya kidplomasia iitwayo reciprocity, wenyeviti wa vyama wakikutana ni wenyeviti.
- Wenyeviti wakikutana huku wameandamana na ma VC wao, then wote wawili wataandamana na ma VC wao!. Sio mmoja yuko na VC wake, mwingine yuko kavu kavu!.
- Distance between the subjects and proximity and closeness tells something comfortablility, love, trust, openness and readiness!.
- Colours of suits and single buttons suits is just an amazing coincidence!, which tells they think alike!.
- Kiukweli kabisa usione vyaelea, vimeundwa!. Kuna watu wakiangalia hii picha wanadhani it was simple and easy, na kufikiri it just happened!.
- No way, mpaka hapo unapowaona, ujue kuna kazi kubwa background work imefanyika:!.
- Kuna watu wamemuombea mtu msamaha, Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye?
- Kuna watu wameandika Makala magazetini za kumuombea mtu msamaha!View attachment 2466125
- Mtu akasamehewa:!
- mambo mazuri yakaanza!, vikao ambavyo vilikwama kuitishwa kutokana na ukosefu wa fedha, pesa zikapatikana!, vikao vikaitishwa!, sasa hata fedha za uendeshaji wa shughuli za chama zimepatikana, mambo sasa yanakwenda, na sio fedha tuu za uendeshaji, hadi fedha za kupiga trips za nje ya nchi pia zimepatikana!.
- Haya ni mambo mazuri, kiukweli kabisa mahali ni pazuri, ndugu wanapokaa, wakipata vema na wakipendana.
- Tulikotoka ni kugumu, tunako kwenda ni kurahisi, kuzuri!. Tunaelekea pazuri.
Happy New Year!.
Paskali
Mambo mazuri yameanza, mikutano ya hadhara rukhsa, sheria na katiba vinafuatia.This picture speaks thousands words!.View attachment 2466088
Mahali ni pazuri ndugu wanapo kaa
Hongereni wote,
- Haya ni mambo mazuri, kiukweli kabisa mahali ni pazuri, ndugu wanapokaa, wakipata vema na wakipendana.
- Tulikotoka ni kugumu, tunako kwenda ni kurahisi, kuzuri!. Tunaelekea pazuri.
Happy New Year!.
Paskali
Naunga mkono hoja. Ila hakuna kama Samia, ukubali usikubali. Viongozi wengi wa kisiasa ni watu wa visasi au wabinafsi. Kwa namna Magufuli alivyoendesha nchi miaka 5 iliyopita, kama mbadala wake angekuwa labda Benard Membe, Edward Lowassa, Tundu Lissu etc, siamini kama Tanzania ingekuwa na utulivu huu tulio nao. Nasema Big up mama kuifanya Tanzania nchi yenye utulivu ambayo wapinzani na watawala wote wanajisikia huru kujenga nchi yao.This picture speaks thousands words!.View attachment 2466088
Kuna vitu vikubwa vizuri hii picha inasema ambavyo havijaandikwa!. Inabidi uwe na observatory eagle eye kuviona!.
Hongereni wote,
- Kikawaida Political pictures zinafuata kanuni ya kidplomasia iitwayo reciprocity, wenyeviti wa vyama wakikutana ni wenyeviti.
- Wenyeviti wakikutana huku wameandamana na ma VC wao, then wote wawili wataandamana na ma VC wao!. Sio mmoja yuko na VC wake, mwingine yuko kavu kavu!.
- Distance between the subjects and proximity and closeness tells something comfortablility, love, trust, openness and readiness!.
- Colours of suits and single buttons suits is just an amazing coincidence!, which tells they think alike!.
- Kiukweli kabisa usione vyaelea, vimeundwa!. Kuna watu wakiangalia hii picha wanadhani it was simple and easy, na kufikiri it just happened!.
- No way, mpaka hapo unapowaona, ujue kuna kazi kubwa background work imefanyika:!.
- Kuna watu wamemuombea mtu msamaha, Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye?
- Kuna watu wameandika Makala magazetini za kumuombea mtu msamaha!View attachment 2466125
- Mtu akasamehewa:!
- mambo mazuri yakaanza!, vikao ambavyo vilikwama kuitishwa kutokana na ukosefu wa fedha, pesa zikapatikana!, vikao vikaitishwa!, sasa hata fedha za uendeshaji wa shughuli za chama zimepatikana, mambo sasa yanakwenda, na sio fedha tuu za uendeshaji, hadi fedha za kupiga trips za nje ya nchi pia zimepatikana!.
- Haya ni mambo mazuri, kiukweli kabisa mahali ni pazuri, ndugu wanapokaa, wakipata vema na wakipendana.
- Tulikotoka ni kugumu, tunako kwenda ni kurahisi, kuzuri!. Tunaelekea pazuri.
Happy New Year!.
Paskali
Tusubiri tuone !!Mambo mazuri yameanza, mikutano ya hadhara rukhsa, sheria na katiba vinafuatia.
Watanzania Mungu atupe nini!.
P