eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
..Rais Samia Suluhu ameshindwa kuwashawishi viongozi wenzake wampigie kura Raila Odinga.
..enzi za Nyerere, Mwinyi, Mkapa, na Kikwete, mgombea aliyeungwa mkono na Tanzania ilikuwa lazima ashinde.
Yes, na kipindi kile mgombea lazima aje kuhiji Tanzania, ili kuweka mambo yake sawa. Tanzania ya sasa bado hrijajua jukumu ililo nalo kwenye uwanja wa kikanda, Afrika na nje yake