Maharage Chande: Hatuogopi na tutafanya hiyo miradi na private sekta(Kununua umeme). TANESCO kuuza dhamana(Bonds)

Maharage Chande: Hatuogopi na tutafanya hiyo miradi na private sekta(Kununua umeme). TANESCO kuuza dhamana(Bonds)

90% ya JF na Mitandao ya kijamii ipo hivo. Angalia comments baada ya ajali ya precision eti kisa marehemu walikua na PhD wengine wakurugenzi basi watu wakawa wanatoa kejeli kwamba Elimu zao hazijawaokoa, mara mbona Hela zote hizo Bado wameokolewa na mvuvi, mara walikua na dharau sana kwa watu masikini n.k

Tokea pale nikagundua waTanzania wengi Wana chuki sana na watu wanaowazidi kipato na status.
Mtanzania kama mimi wengine sina uhakika, nina chuki na kila mtu anayejipatia mali kwa njia isiyohalali hata kwakuhalalisha yasiyo halali (justifications) pale anapopata nafasi ya kufanya maamuzi kwa niaba ya wengi...Kwanini watanzania wajae tu chuki isiyo na sababu?

Ingekuwa heri kama ungetafuta sababu in their perspective kuliko kuwa na ego, i.e mine is good yours is bad....Na nikiri tu, watanzania wengi hatupo honest wala objective, tuko very partial!
 
Maharage Chande: Fantastic question Zitto, nianze kwenye kuwapa watu binafsi. Ni kweli kama ulivyosema, TANESCO na wizara ya nishati kwa miaka mingi iliyopita, utekelezaji wa miradi kwenda kwa watu binafsi imekuwa inasuasua, inasuasua kwa sababu kihistoria kumekuwa na kujengeka uoga mwingi kutokana miradi mbalimbali ya huko nyuma inayotokea na maneno yanayotokea baada ya hapo na kufuatana fatana kwa watendaji kunakotokea baada ya hapo kiasi watendaji wanakuwa wanaogopa.

Sisi posture yetu hatuogopi na tutafanya hiyo miradi na private sekta lakini kwa private sector pia, hapo zamani kulikuwa na Information asymmetry. Ili uepuke lawama kwenye umeme lazima uwe wazi na sisi ndio posture yetu ya sasa hivi.

Tayari hivi tunavyoongea na wewe kwa mfano, ukisikia tumesaini deal na Mazda ni the open book principle na parameter hizi kwahiyo mpaka tunaingia kaburini tutakuwa na uwezo wa kusimamia decision tuliyoifanya.

He is MD of Year...amefanya mambo mazito sana. Binafsi nataka nikamtembelee pale HQ nimpe Kongole.
 
Enhee Mungu wahurumie watanzania, sisi wengine wa vijijini tushazoea mwanga wa vibatari pamoja na kupanda kwa bei ya mafuta ya taa.

Kama mwelevu ni rahisi kutabiri kitu gani Zitto ataongea on any given topic related to FDI (bearing the fact he is an acting agent wa mabeberu wa kuipa pressure serikali).

Shida ni majibu ya kipuuzi yanayotolewa na serikali, mfano nilitegemea mkurugenzi aelezee kwa kina the costs of investing in different sources of energy, it’s production capacity and so forth with financial reasoning as to why they might be interested or not.

Hila nilichosikia kutoka kwake ni majibu ya ujinga mtupu without justification as to why they make their decision.
Anachofanya ni kuhamisha agenda kuu ya mgao wa umeme ili watu wajadili jambo jingine na Tanesco waonekane wanafanya kazi tu.
 
Anachofanya ni kuhamisha agenda kuu ya mgao wa umeme ili watu wajadili jambo jingine na Tanesco waonekane wanafanya kazi tu.
Wanakutana huko space gani sijui kujazana ujinga in the end we all pay the price to their decisions.
 
Mtanzania kama mimi wengine sina uhakika , ninachuki na kila mtu anayejipatia mali kwa njia isiyohalali hata kwakuhalalisha yasiyo halali (justifications) pale anapopata nafasi ya kufanya maamuzi kwa niaba ya wengi...Kwanini watanzania wajae tu chuki isiyo na sababu? Ingekuwa heri kama ungetafuta sababu in their perspective kuliko kuwa na ego, i.e mine is good yours is bad....Na nikiri tu, watanzania wengi hatupo honest wala objective, tuko very partial!
Sasa huyo Chande kakuibia Nini? Bora useme mtu sio competent ila randomly kuita watu wezi sidhani kama ndio JF tunayoitaka.

Kibaya zaidi 90% hapo hamjasikiliza hata hiyo clip kabla ya comments, Sasa hamtaki wauze bonds Bado hamtaki wabinafsishe wakati huo huo hamuamini hao viongozi wa serikali Sasa mnataka Nini?

Mfano Mayor Quimby anakomaa kuwa hakuna mtu atanunua hisa or invest kisa TANESCO haipo competent. Muda huo huo hataki ibinafsishwe, muda huo huo Chande ni fisadi, muda huo huo anadai Zitto (mpinzani) anaandaa Dili la kifisadi hapo.

Sasa mnataka Nini kama sio chuki tu
 
The guy is so eloquent na anajua hasa nini anataka TANESCO iwe. Let's give home time and surely kuna mwanga mkubwa sana mbele yetu.
Tatizo kubwa la watanzania wanapenda maneno na siyo vitendo. Uzoefu umenionyesha kuwa mtu mwenye maelezo meeengi na mareeefu na mazuuuri, hana lolote. Na mbaya zaidi nimeona jina la Zitto. Muda utaamua.
 
Sasa huyo Chande kakuibia Nini? Bora useme mtu sio competent ila randomly kuita watu wezi sidhani kama ndio JF tunayoitaka.

Kibaya zaidi 90% hapo hamjasikiliza hata hiyo clip kabla ya comments, Sasa hamtaki wauze bonds Bado hamtaki wabinafsishe wakati huo huo hamuamini hao viongozi wa serikali Sasa mnataka Nini?

Mfano Mayor Quimby anakomaa kuwa hakuna mtu atanunua hisa or invest kisa TANESCO haipo competent. Muda huo huo hataki ibinafsishwe, muda huo huo Chande ni fisadi, muda huo huo anadai Zitto (mpinzani) anaandaa Dili la kifisadi hapo.

Sasa mnataka Nini kama sio chuki tu
Uzuri ni kwamba maneno siyo matendo na muda ni mwamuzi mzuri. Hakuna haja ya kubishana kwa jambo ambalo tunajua kabisa matokeo yake yataonekana baada ya muda.
 
Sasa huyo Chande kakuibia Nini? Bora useme mtu sio competent ila randomly kuita watu wezi sidhani kama ndio JF tunayoitaka.

Kibaya zaidi 90% hapo hamjasikiliza hata hiyo clip kabla ya comments, Sasa hamtaki wauze bonds Bado hamtaki wabinafsishe wakati huo huo hamuamini hao viongozi wa serikali Sasa mnataka Nini?

Mfano Mayor Quimby anakomaa kuwa hakuna mtu atanunua hisa or invest kisa TANESCO haipo competent. Muda huo huo hataki ibinafsishwe, muda huo huo Chande ni fisadi, muda huo huo anadai Zitto (mpinzani) anaandaa Dili la kifisadi hapo.

Sasa mnataka Nini kama sio chuki tu
Tunataka awe realistic kwenye hizo investment plans zake na umeme wa uhakika kwanza.

Umeme hakuna lakini kila siku wanatupigia tantalila tu za mambo ambayo sio priority zetu tushazichoka.
 
Maharage Chande: Fantastic question Zitto, nianze kwenye kuwapa watu binafsi. Ni kweli kama ulivyosema, TANESCO na wizara ya nishati kwa miaka mingi iliyopita, utekelezaji wa miradi kwenda kwa watu binafsi imekuwa inasuasua, inasuasua kwa sababu kihistoria kumekuwa na kujengeka uoga mwingi kutokana miradi mbalimbali ya huko nyuma inayotokea na maneno yanayotokea baada ya hapo na kufuatana fatana kwa watendaji kunakotokea baada ya hapo kiasi watendaji wanakuwa wanaogopa.

Sisi posture yetu hatuogopi na tutafanya hiyo miradi na private sekta lakini kwa private sector pia, hapo zamani kulikuwa na Information asymmetry. Ili uepuke lawama kwenye umeme lazima uwe wazi na sisi ndio posture yetu ya sasa hivi.

Tayari hivi tunavyoongea na wewe kwa mfano, ukisikia tumesaini deal na Mazda ni the open book principle na parameter hizi kwahiyo mpaka tunaingia kaburini tutakuwa na uwezo wa kusimamia decision tuliyoifanya.

Sasa angalia mtu kama huyu, anachoeleza hata hajui anaeleza nini; kwa hiyo hawa sasa ndio wanaoshikilia hatma yetu katika eneo hili!

Miaka zaidi ya 60, watu wetu wakienda shule, matunda yake ndiyo haya?
 
The guy is so eloquent na anajua hasa nini anataka TANESCO iwe. Let's give home time and surely kuna mwanga mkubwa sana mbele yetu.
Nyie ni watu wa hivyo kweli eti tumpe time kwa hiyo hadi 2024 utakuwa unasema tumpe time sureini wee
 
Mbona kasema IRR kwa soko letu na la umeme kwa ujumla ni lazima iwe below 14 percent Ili bei isiwe kubwa kwa mteja wa mwisho. Na ukifika hapo ndio muwekezaji anakimbia!! Unless umechagua hoja Moja kukosoa.
Nime'skim' harakaharaka kwenye majibu yako ya uteyezi humu, lakini sijaona maelezo ya huyo Maharage kuhusu uwezo wao, au kutokuwa na uwezo katika kuendesha Tanesco kwa ufanisi.
Ninachoona kwa wingi ni msisitizo tu wa watu wengine kuja kuwafanyia kazi.
Sijui kama ninakutwisha mzigo usiokuhusu kutoa maelezo juu ya jambo hilo kwa niaba yao(Tanesco).

Naelewa hizi ni enzi za 'fashion' ya PPP na matakataka mengine mengi tunayohimizwa tusiyafanye wenyewe kwa sababu tu ya hizo 'fashion' mpya zinazohimizwa. Hata mara moja sisikii kamwe, tukijiamini kwamba nasi tunaweza kufanya baadhi ya mambo muhimu yanayotuhusu sisi wenyewe.
 
Hapa kwanza linatengenezwa tatizo ambalo ni huu mgao ili ipatikane justification ya kutafuta wawekezaji Kisha from there Kuna ufisadi takatifu unakuja kupitia hayo makampuni

Kama hamuelewi mashirika ya umma ni sehem ambazo ufisadi mkubwa hufanyika na yanahujumiwa sana ni swala la muda ila CCM kama wanawapenda watanzania wamtoe huyu mama waweke mtu mwingine yaani tumekwisha deni la Taifa ni Trillion 70+ mfumoko wa Bei, ufisadi Kila Kona kidaraja Cha milioni 500 unaambiaa 7 billion yaani Kuna watu wanakula Kwa hasira maana walibanwa muda mrefu kiukweli ngoja tuone ni swala la muda ila TANESCO ni kichaka Cha kufanyia fraud
 
Kitu nilichokiona Watz wengi wanaongozwa na emotions pamoja na sentiments badala ya uweledi. Ni ajabu mtu kusema sijamsikiliza Maharage mpaka mwisho at the same time anakuja na tantalila za kukosoa! Pia kusema ZZK ni agent wa mabeberu kila kitu anachoongea ametumwa ni sweeping statements.

Maharage has been so transparent so far and the best CEO ambaye anashiriki mikutano ya wadau, anajibu maswali na nzuri zaidi anapokea ushauri. Pia anajitahidi kuwa mkweli na kuepuka kutoa ahadi za kufurahisha umati. Kwahiyo, kwa wale wenye chuki na husda better you man up mje na hoja, mawazo mbadala na solutions na sio kuita watu wezi, wapigaji n.k
Eti amekuwa “ the best CEO” wakati nchi hiko gizani. How do you measure a CEO performance? …Is it based on number interviews he conducted and good speeches that he has given?
 
Serikali ya CCM haijawahi kuwa na watu clean. Haya majizi zito ,maharage na mi kamba wanawaandaa ki saikolojia watanzania siku yakitoka na kitu kitakuwa gumzo century hasa tunapoingia issue za LNG.majizi matupu yanapeana maswali ya kuwababaisha ili mzubae ila nikisoma comments naona watanzania wanajua mchezo mzima .majizi makubwa
 
Hivi hii haki ya kutuhumu na kushutumu mtu bila kuwa na ushahidi wala maelezo yoyote ya kuonyesha tuhuma hizo zina mashiko huwa mnaitoaga wapi ?

Au ni roho mbaya ?

Samahani lakini kwa swali la namna hiyo mkuu.
Nani kamtuhumu nani?
 
Tatizo kubwa la watanzania wanapenda maneno na siyo vitendo. Uzoefu umenionyesha kuwa mtu mwenye maelezo meeengi na mareeefu na mazuuuri, hana lolote. Na mbaya zaidi nimeona jina la Zitto. Muda utaamua.
Watanzania hawajawahi kujifunza kwa makosa ya nyuma stori za Maharage ni kama stori zingine tu zilizowahi kutolewa na viongozi waliopita wa Tanesco.

Kwani story ya kuuza umeme nje ya nchi haikuwahi kufurahisha ?

Kwani story ya umeme wa gas haikuwahi kufurahisha kuwa mgao wa umeme utaisha ?

Mbona bado tuko pale pale hata Bwawa la Nyerere halieleweki tena


Leo tunaanza kuletewa story za bonds na blahblah zingine.

Hivi hatujui kuwa nchi hii projects nyingi huanzishwa with an eye of embezzlement ?
 
Hapa kwanza linatengenezwa tatizo ambalo ni huu mgao ili ipatikane justification ya kutafuta wawekezaji Kisha from there Kuna ufisadi takatifu unakuja kupitia hayo makampuni

Kama hamuelewi mashirika ya umma ni sehem ambazo ufisadi mkubwa hufanyika na yanahujumiwa sana ni swala la muda ila CCM kama wanawapenda watanzania wamtoe huyu mama waweke mtu mwingine yaani tumekwisha deni la Taifa ni Trillion 70+ mfumoko wa Bei, ufisadi Kila Kona kidaraja Cha milioni 500 unaambiaa 7 billion yaani Kuna watu wanakula Kwa hasira maana walibanwa muda mrefu kiukweli ngoja tuone ni swala la muda ila TANESCO ni kichaka Cha kufanyia fraud
1. Nishati ya kupikia
2 Mgao wa umeme
3. Hisa na bonds
4. PPP.

Hapo bomu litakalokuja kulipuka kila mtanzania atabaki hoi.
 
Eti amekuwa “ the best CEO” wakati nchi hiko gizani. How do you measure a CEO performance? …Is it based on number interviews he conducted and good speeches that he has given?
Eti best CEO wakati nchi iko gizani je kwa worst CEO hali ikoje?

Tanzania imejaa wajinga wengi sana.
 
Back
Top Bottom