Sasa huyo Chande kakuibia Nini? Bora useme mtu sio competent ila randomly kuita watu wezi sidhani kama ndio JF tunayoitaka.
Kibaya zaidi 90% hapo hamjasikiliza hata hiyo clip kabla ya comments, Sasa hamtaki wauze bonds Bado hamtaki wabinafsishe wakati huo huo hamuamini hao viongozi wa serikali Sasa mnataka Nini?
Mfano
Mayor Quimby anakomaa kuwa hakuna mtu atanunua hisa or invest kisa TANESCO haipo competent. Muda huo huo hataki ibinafsishwe, muda huo huo Chande ni fisadi, muda huo huo anadai
Zitto (mpinzani) anaandaa Dili la kifisadi hapo.
Sasa mnataka Nini kama sio chuki tu