Maharage Chande: Hatuogopi na tutafanya hiyo miradi na private sekta(Kununua umeme). TANESCO kuuza dhamana(Bonds)

Maharage Chande: Hatuogopi na tutafanya hiyo miradi na private sekta(Kununua umeme). TANESCO kuuza dhamana(Bonds)

Sasa Kama Serikali inashindwa kusimamia swala dogo kama la umeme toka 1960 hadi waje private sector-kuna Serikali hapo.
Serikali haina shida, tatizo ni expert wetu waliogeuka kuwa madalali wa rasilimali zetu wakitumia ignorance ya wanasiasa ambao some ni genuine, na kweli kwa knowledge level zao wanaona ni faida kumbe ni screen savers wanawekewa na hao madalali
 
Tatizo linaweza kuanzia hapo ulipoandika SIKUTAKA HATA KUSIKILIZA....

Hapo pana tatizo kubwa sana, kubwa mno.

Inawezekana kabisa kwamba "sisi" tuna uelewa mkubwa na maarifa mengi zaidi kuliko watu wengine. Hili ni jambo jema sana na ni jambo la asili (ni majaaliwa).

Lakini hii haitoi haki wala uhalali wa kutokuwasikiliza wengine tunaodhani wana uwezo mdogo kuliko "sisi".

Masikilizano ni nyenzo muhimu sana katika kujenga kwa pamoja.

Hii nchi ni yetu sote, angalau tuanze kwa kuwa tayari kusikilizana.
Lakini na yule anayesikilizwa ametengeneza precedence gani? Ya kusikilizwa au ku provoke? Lazima kuwe na fellowship environment ili msikilizaji na mwongeaji waweze ku communicate, ina reciprocate
 
Hiyo ni interview ipo clubhouse itafute yote mbona kaongelea yote hayo ila swali la Zitto ni kwanini hawauzi bond Ili wapate Hela ya kufanya miradi au kwanini hawafanyi PPP kuzalisha umeme?

Ndio kajibu hivyo kuwa issue ni tariff, wengine wanataka wawacharge TANESCO gharama kubwa kwa Kila unit, kaongelea wengine kutaka IRR iwe above 15% Ili warudishe pesa aliyowekeza mapema!! Pia akasema bonds huwezi issue mpaka wawekezaji waone financial soundness ya kampuni mfano debt structure, internal processes (Kaongelea automation) n.k

Tuwe optimistic, Mimi Sina Imani na serikali ya CCM ila Kuna wakati tujadili hoja tukiwa na positive mindset sio kupindisha kilichozungumzwa. Maana mgao hautaki wakati huohuo unaambiwa wanataka kujenga Kinyerezi 3 and 4 nako hutaki, Sasa unataka wafanyeje? What's ur solution
Wewe kama mimi sikuwahi kumpenda Magu lakini kuna vitu vya maana vya maana alivifanya
Na hata Samia kuna mambo napishana nae lakini sio kwamba hajafanya kitu

Namaanisha kwamba watanzania tunapenda kupinga pinga tu ili mradi kwa kuwa hatupo kwenye mlengo mmoja

Kwa mfano bungeni kila hoja itakayoletwa na serikali itaungwa mkono na wabunge hata kama haikidhi kwa kuwa tu wote ni CCM

UNAFIKI MTUPU
 
Wewe kama mimi sikuwahi kumpenda Magu lakini kuna vitu vya maana vya maana alivifanya
Na hata Samia kuna mambo napishana nae lakini sio kwamba hajafanya kitu

Namaanisha kwamba watanzania tunapenda kupinga pinga tu ili mradi kwa kuwa hatupo kwenye mlengo mmoja

Kwa mfano bungeni kila hoja itakayoletwa na serikali itaungwa mkono na wabunge hata kama haikidhi kwa kuwa tu wote ni CCM

UNAFIKI MTUPU
Na haya mambo ya kupenda mtu au kuchukia ni very primitive...Mh. juzi aliwarekebisha UWT, ifike mahala tuache huu ushamba, tuipende nchi kwakutengeneza mifumo na siyo individuals ili tunapopenda au kuchukia tuondoe persona za watu...

Unamchukia mtu au kumpenda ili ikufaidi nini wewe kama raia wa kawaida? Nikwasababu tunaishi kw ahisani za watu na siyo mifumo inayoendeshwa na taratibu tulizokubaliana kuzifuata ili sote tujisikie kuheshimika na kuthaminika...Tutengeneze katiba inayotambua nafasi ya kila mtanzania ili hizi chuki na mapenzi binafsi tuziondoe
 
Na haya mambo ya kupenda mtu au kuchukia ni very primitive...Mh. juzi aliwarekebisha UWT, ifike mahala tuache huu ushamba, tuipende nchi kwakutengeneza mifumo na siyo individuals ili tunapopenda au kuchukia tuondoe persona za watu...

Unamchukia mtu au kumpenda ili ikufaidi nini wewe kama raia wa kawaida? Nikwasababu tunaishi kw ahisani za watu na siyo mifumo inayoendeshwa na taratibu tulizokubaliana kuzifuata ili sote tujisikie kuheshimika na kuthaminika...Tutengeneze katiba inayotambua nafasi ya kila mtanzania ili hizi chuki na mapenzi binafsi tuziondoe
Mkuu bado tuna safari ndefu nikiangalia huku mtaani kila linalofanywa na awamu hii ya 6 lazima walifananishe na awamu ya 5 ili kutafuta udhaifu wa awamu hii

Lakini nilichogundua ni kwamba wanaofanya hivyo ni wale waliokuwa wasifiaji/wanufaika wa awamu ya 5
watanzania tumebaki kuabudu na kusifia viongozi
Sio kuangalia maslahi ya nchi

UJINGA MTUPU
 
Lakini na yule anayesikilizwa ametengeneza precedence gani? Ya kusikilizwa au ku provoke? Lazima kuwe na fellowship environment ili msikilizaji na mwongeaji waweze ku communicate, ina reciprocate
As far as I know ni kwamba DG wa TANESCO ni msikivu, anapokea inputs kutoka kwa wadau, na ndio maana kwa kauli yake mwenyewe anasema anajitahidi ku engage na watu.
Anahojiwa na vyombo vya habari, anashiriki mijadala ya mitandaoni (twitter spaces pamoja na club house).
Mimi binafsi nimeshuhudia akifanya mbili, moja iliandaliwa na clouds media, na nyingine iliandaliwa na "kumekucha".

Labda ungefafanua kidogo hiyo "fellowship environment" ambayo wewe huioni ni ipi ?
 
Hujaelewa ndugu. Ni hivi hao unaowatetea sio kwamba wana uwezo mdogo, la hasha. Wana uwezo mkubwa sana wa kutuvusha kwenye hili shirika. Tatizo ni kwamba ni walafi, watu wa deals, wezi na wabadhirifu. So chochote wanachokifanya kwanza wanatanguliza 10% plus urefu wa kamba then kinachobaki ndio nyie wapumbavu mnapewa. Hii nchi sio ya kuzungumzia suala la kukatika kwa umeme leo hii baada ya miaka 60 ya uhuru. Mmelemazwa akili mpaka mnatetea utumbo. Na wewe unajiita ni msomi. Bahati mbaya sana.

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
"Tuhuma za jumla jumla"

Miongoni mwa matatizo makubwa katika hii nchi ni tuhuma za jumla jumla.

Kama hautojali, unaweza kueleza hapa namna gani hao uliowataja wameyatenda hayo uliyoyaeleza (10%, rushwa na ulafi) ?

Nadhani hiyo itasaidia sana kwenye kutatua matatizo yetu kama taifa.
 
Maharage Chande: Fantastic question Zitto, nianze kwenye kuwapa watu binafsi. Ni kweli kama ulivyosema, TANESCO na wizara ya nishati kwa miaka mingi iliyopita, utekelezaji wa miradi kwenda kwa watu binafsi imekuwa inasuasua, inasuasua kwa sababu kihistoria kumekuwa na kujengeka uoga mwingi kutokana miradi mbalimbali ya huko nyuma inayotokea na maneno yanayotokea baada ya hapo na kufuatana fatana kwa watendaji kunakotokea baada ya hapo kiasi watendaji wanakuwa wanaogopa.

Sisi posture yetu hatuogopi na tutafanya hiyo miradi na private sekta lakini kwa private sector pia, hapo zamani kulikuwa na Information asymmetry. Ili uepuke lawama kwenye umeme lazima uwe wazi na sisi ndio posture yetu ya sasa hivi.

Tayari hivi tunavyoongea na wewe kwa mfano, ukisikia tumesaini deal na Mazda ni the open book principle na parameter hizi kwahiyo mpaka tunaingia kaburini tutakuwa na uwezo wa kusimamia decision tuliyoifanya.

Niliwahi Sema humu ndani.. Huu mgao wa Tanesco ni njia moja wapo ya kubinafsisha iliionekane Tanesco imeshindwa kujiendesha..

Kama ilivyofanyika kwa TTCL tutarajie the same kwamba Tanesco itakuja kuwa kama Shule ya kata.. Na mashirikia binafsi kama vile international school of Tanganyika [emoji23][emoji23]

Bila maneno mengi.. Mikataba watakayoingia Hawa watu ndio utakayo amua hatma ya nchi yetu kwenye swala Zima la nishati..

Magufuli aliyasema haya.. Atakayekosea asiseme tu hakujua anachofanya huko mbele ya safari
 
Unaweza kutoa ufafanuzi na hata takwimu kuthibitisha tuhuma hizi nzito dhidi ya Bwana Maharage. Vinginevyo mchango wako unakosa tija
Muulize hizo dili za Tehama anawapa Wahindi za bei mbaya mgawo wake sh ngapi? Vp kuhusu kunyanyasa wafanyakazi na kuwanyima haki zao kama Overtime?
 
Hiyo ni interview ipo clubhouse itafute yote mbona kaongelea yote hayo ila swali la Zitto ni kwanini hawauzi bond Ili wapate Hela ya kufanya miradi au kwanini hawafanyi PPP kuzalisha umeme?

Ndio kajibu hivyo kuwa issue ni tariff, wengine wanataka wawacharge TANESCO gharama kubwa kwa Kila unit, kaongelea wengine kutaka IRR iwe above 15% Ili warudishe pesa aliyowekeza mapema!! Pia akasema bonds huwezi issue mpaka wawekezaji waone financial soundness ya kampuni mfano debt structure, internal processes (Kaongelea automation) n.k

Tuwe optimistic, Mimi Sina Imani na serikali ya CCM ila Kuna wakati tujadili hoja tukiwa na positive mindset sio kupindisha kilichozungumzwa. Maana mgao hautaki wakati huohuo unaambiwa wanataka kujenga Kinyerezi 3 and 4 nako hutaki, Sasa unataka wafanyeje? What's ur solution
Hii kinyerezi kila awamu ya utawala inajenga tu, kwani ni DUBWASHA gani lisiloisha?
 
As far as I know ni kwamba DG wa TANESCO ni msikivu, anapokea inputs kutoka kwa wadau, na ndio maana kwa kauli yake mwenyewe anasema anajitahidi ku engage na watu.
Anahojiwa na vyombo vya habari, anashiriki mijadala ya mitandaoni (twitter spaces pamoja na club house).
Mimi binafsi nimeshuhudia akifanya mbili, moja iliandaliwa na clouds media, na nyingine iliandaliwa na "kumekucha".

Labda ungefafanua kidogo hiyo "fellowship environment" ambayo wewe huioni ni ipi ?
Moja ni hiyo statement ya kwamba "hatuogopi" haogopi nini na nani its a vague statement na ambayo haimvutii mtu kumwa proach kwa discussion...Is provocative or aggressive!
 
Moja ni hiyo statement ya kwamba "hatuogopi" haogopi nini na nani its a vague statement na ambayo haimvutii mtu kumwa proach kwa discussion...Is provocative or aggressive!
Acha uoga mkuu, watu walikua wanamuuliza na anajibu maswali vizuri.

Mimi nilikuwepo kwenye ile space, ngoja nikueleze hilo neno sisi hatuogopi lilitoka wapi.

Kuna mtu aliuliza kwanini shirika halitaki kushirikisha sekta binafsi kwenye kuzalisha umeme ili kuondokana na haya matatizo ya mgao.

Chande wakati anajibu alidokeza kwamba sekta ya umeme ina historia mbaya inapohusisha sekta binafsi. Akagusia suala la Richmond, IPTL, ESCROW na mengineyo. Akasema historia hiyo iliwapa wasiwasi watendaji waliopita wa TANESCO katika kufikiria kushirikiana na sekta binafsi.

Lakini wao (Maharage na timu yake pamoja na bodi mpya ya shirika) hawaogopi. Ila wamekuja na approach mpya ya ku engage na sekta binafsi. Akaitaja mikakati yake pale....

Sasa hapo kuna ubaya gani ? Au wewe hapo umetishwa na nini ?

Maneno hayo yanaondoaje "fellowship environment" ?

Labda mimi nashindwa kuelewa mkuu, naomba unieleweshe.

NB: Kwa sababu nchi hii ni ya kwetu wote, ni vema tukashirikiana kuijenga. Tuepuke tuhuma za jumla jumla, tupeane fursa ya kusikilizana kwanza kisha tupingane au kukubaliana kwa hoja.

Nimesema hivyo kwa sababu nina wasiwasi mkubwa mno kwamba hukumpa unayempinga fursa ya kumsikiliza.
 
Acha uoga mkuu, watu walikua wanamuuliza na anajibu maswali vizuri.

Mimi nilikuwepo kwenye ile space, ngoja nikueleze hilo neno sisi hatuogopi lilitoka wapi.

Kuna mtu aliuliza kwanini shirika halitaki kushirikisha sekta binafsi kwenye kuzalisha umeme ili kuondokana na haya matatizo ya mgao.

Chande wakati anajibu alidokeza kwamba sekta ya umeme ina historia mbaya inapohusisha sekta binafsi. Akagusia suala la Richmond, IPTL, ESCROW na mengineyo. Akasema historia hiyo iliwapa wasiwasi watendaji waliopita wa TANESCO katika kufikiria kushirikiana na sekta binafsi.

Lakini wao (Maharage na timu yake pamoja na bodi mpya ya shirika) hawaogopi. Ila wamekuja na approach mpya ya ku engage na sekta binafsi. Akaitaja mikakati yake pale....

Sasa hapo kuna ubaya gani ? Au wewe hapo umetishwa na nini ?

Maneno hayo yanaondoaje "fellowship environment" ?

Labda mimi nashindwa kuelewa mkuu, naomba unieleweshe.

NB: Kwa sababu nchi hii ni ya kwetu wote, ni vema tukashirikiana kuijenga. Tuepuke tuhuma za jumla jumla, tupeane fursa ya kusikilizana kwanza kisha tupingane au kukubaliana kwa hoja.

Nimesema hivyo kwa sababu nina wasiwasi mkubwa mno kwamba hukumpa unayempinga fursa ya kumsikiliza.
Wapi sikumpa nafasi ya kusikiliza, basi jibu hayo niliyo ya raise...You still raise a lot of questions...And kama nilivyosema usijibu kama unataka kuleta majibu ya mtihani, angalia maandishi yangu na mtiririko wake, wapi nilisema nini kwa context ipi, usi personalize vitu na kutaka ku defend hata pasipo stahili, tena defence yako inaenda kwa mtu badala ya taasisi, see how cheap you make it as if kuna issue kati ya watu na siyo taasisi na raia wa kawaida wa Tanzania......

Lakini kikubwa bado na sisitiza, mali ya watanzania ilindwe na kamwe watu wasi act smart kutaka kui poka...History ina betray intention yao (TANESCO) kama muuliza swali alivyouliza hapo ulipoandika kina IPTL etc, hiyo tu scandle inamfanya mtu awe doubtfull ndiyo sababu mhusika alitakiwa kwanza aondoe hizo doubts kwamba hakuna signs au traces zozote yeye mkuu wa taasisi hiyo, na wote wanaomzunguka hawana implications zozote kwenye hilo jambo...Kisha kama nilivyoeleza kwa mapana mhusika siyo individual ila taasisi na yeye nafasi yake kama mwamuzi, hawajaweka wazi ni vipi watanzania wengi watashiriki katika status yao hii ya kukosa vipato kwa asilimia kubwa huko hao ambayo wana vipato wengi wao walivipata kupitia public positions pamoja na kutumia hizo nafasi vibaya kwanza kwa kutunga sheria zinazo exclude wengi mf. Huo huo wa IPTL n.k, i.e mikataba mibovu, wakijipa fursa wao na kutumia kodi kujipunguzia umasikini kwakua hivyo vimethibitishwa na mikataba ilionyesha mapungufu yaliyozidisha umasikini wa mtanzania kwakuwalipisha madeni makubwa na kushindwa kutetea hiyo mikataba kwa faida ya watanzania. Hiyo hali tu inatoa nafasi ya kila mtanzania mwathirika kuchukia kusikia hata neno lenyewe privitization kama yeye haoni ni jinsi gani anashiriki na kupata faida ipi mbali na kuja kulipa hizo capacity charges na mambo yanayofanana na hizo, yet watu hao hao kwenye nafasi hizo hizo ndiyo wanakuja na mipango ya jinsi hiyo hiyo; unaweza ukasababisha mtu akakupiga hata kofi akiwa karibu yako😂😂😂 kwakua unashindwa kuelewa mazingira hayo unayoongelea jambo ambalo linaumiza commoners...

Then nikushauri, acha kuipeleka hii issue kwenye persons, huyo mtu kama yeye sina shida naye na shida na nafasi yake katika nchi pamoja na maamuzi yake...Then usinipeleke kwenye spinning is not my cup of tea...
 
Haya ni "MakambaMahaharage"

Majizi tupu! Hakuna lolote hapo!

Huyo Zitto mzee wa fursa, hapo ameuliza Swali elekezi!

Tayari na yeye ni sehemu ya mpango Wizi.

Ina maana kuna Deal Na "Mazda" na sasa linakolezwa taratibu.

Hawa tutakuja kuwanyonga hadharani, kama sio sisi basi watoto wetu watawanyonga watoto wao.
Mtoto atanyongwa kwa kosa gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Can you mention wizi mmojawapo aliowahi kufanya Maharage ku-substantiate hoja yako? Maharage alikuwa DSTv for years, Hebu tutajie skendo mojawapo ya wizi aliowahi kufanya huko. Otherwise ni wivu tu wa wananchi wa nchi hii dhidi ya kila mwenye mafanikio kumuita mwizi, freemasonry n.k . Ushauri wa bure wape elimu bora watoto wako ili baadae uepuke kuwa mchawi na mlozi ukishazeeka
Mchawi ni mchawi tu, hata akisomesha watoto anaweza kugeuka na kuwala nyama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapi sikumpa nafasi ya kusikiliza, basi jibu hayo niliyo ya raise...You still raise a lot of questions...And kama nilivyosema usijibu kama unataka kuleta majibu ya mtihani, angalia maandishi yangu na mtiririko wake, wapi nilisema nini kwa context ipi, usi personalize vitu na kutaka ku defend hata pasipo stahili, tena defence yako inaenda kwa mtu badala ya taasisi, see how cheap you make it as if kuna issue kati ya watu na siyo taasisi na raia wa kawaida wa Tanzania......

Lakini kikubwa bado na sisitiza, mali ya watanzania ilindwe na kamwe watu wasi act smart kutaka kui poka...History ina betray intention yao (TANESCO) kama muuliza swali alivyouliza hapo ulipoandika kina IPTL etc, hiyo tu scandle inamfanya mtu awe doubtfull ndiyo sababu mhusika alitakiwa kwanza aondoe hizo doubts kwamba hakuna signs au traces zozote yeye mkuu wa taasisi hiyo, na wote wanaomzunguka hawana implications zozote kwenye hilo jambo...Kisha kama nilivyoeleza kwa mapana mhusika siyo individual ila taasisi na yeye nafasi yake kama mwamuzi, hawajaweka wazi ni vipi watanzania wengi watashiriki katika status yao hii ya kukosa vipato kwa asilimia kubwa huko hao ambayo wana vipato wengi wao walivipata kupitia public positions pamoja na kutumia hizo nafasi vibaya kwanza kwa kutunga sheria zinazo exclude wengi mf. Huo huo wa IPTL n.k, i.e mikataba mibovu, wakijipa fursa wao na kutumia kodi kujipunguzia umasikini kwakua hivyo vimethibitishwa na mikataba ilionyesha mapungufu yaliyozidisha umasikini wa mtanzania kwakuwalipisha madeni makubwa na kushindwa kutetea hiyo mikataba kwa faida ya watanzania. Hiyo hali tu inatoa nafasi ya kila mtanzania mwathirika kuchukia kusikia hata neno lenyewe privitization kama yeye haoni ni jinsi gani anashiriki na kupata faida ipi mbali na kuja kulipa hizo capacity charges na mambo yanayofanana na hizo, yet watu hao hao kwenye nafasi hizo hizo ndiyo wanakuja na mipango ya jinsi hiyo hiyo; unaweza ukasababisha mtu akakupiga hata kofi akiwa karibu yako😂😂😂 kwakua unashindwa kuelewa mazingira hayo unayoongelea jambo ambalo linaumiza commoners...

Then nikushauri, acha kuipeleka hii issue kwenye persons, huyo mtu kama yeye sina shida naye na shida na nafasi yake katika nchi pamoja na maamuzi yake...Then usinipeleke kwenye spinning is not my cup of tea...
Umeongea mambo mengi, umeeleza vizuri sana.

Umejipa haki mahsusi (exclusive rights) za kutuhumu na kushutumu watu, huku ukigoma kabisa kuwasilisha ushahidi au utetezi wa hizo tuhuma zako.

Uwe na siku njema mkuu.
Mimi nimeamua kuishia hapa.
 
Mchawi ni mchawi tu, hata akisomesha watoto anaweza kugeuka na kuwala nyama.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hii haki ya kutuhumu na kushutumu mtu bila kuwa na ushahidi wala maelezo yoyote ya kuonyesha tuhuma hizo zina mashiko huwa mnaitoaga wapi ?

Au ni roho mbaya ?

Samahani lakini kwa swali la namna hiyo mkuu.
 
Hivi hii haki ya kutuhumu na kushutumu mtu bila kuwa na ushahidi wala maelezo yoyote ya kuonyesha tuhuma hizo zina mashiko huwa mnaitoaga wapi ?

Au ni roho mbaya ?

Samahani lakini kwa swali la namna hiyo mkuu.
90% ya JF na Mitandao ya kijamii ipo hivo. Angalia comments baada ya ajali ya precision eti kisa marehemu walikua na PhD wengine wakurugenzi basi watu wakawa wanatoa kejeli kwamba Elimu zao hazijawaokoa, mara mbona Hela zote hizo Bado wameokolewa na mvuvi, mara walikua na dharau sana kwa watu masikini n.k

Tokea pale nikagundua waTanzania wengi Wana chuki sana na watu wanaowazidi kipato na status.
 
Umeongea mambo mengi, umeeleza vizuri sana.

Umejipa haki mahsusi (exclusive rights) za kutuhumu na kushutumu watu, huku ukigoma kabisa kuwasilisha ushahidi au utetezi wa hizo tuhuma zako.

Uwe na siku njema mkuu.
Mimi nimeamua kuishia hapa.
Ahsante....
 
Back
Top Bottom