Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,618
- 4,605
Halafu huyu mama ni potential wa mlipuko tena si bomu la kawaida ni nuclear hizo story zote za kina zito ni introductory1. Nishati ya kupikia
2 Mgao wa umeme
3. Hisa na bonds
4. PPP.
Hapo bomu litakalokuja kulipuka kila mtanzania atabaki hoi.
Umeshanasa kwenye ulimbo wa defence, tatizo linaanzia hapo. Iruhusu akili yako ione kwa usahihi...Sasa huyo Chande kakuibia Nini? Bora useme mtu sio competent ila randomly kuita watu wezi sidhani kama ndio JF tunayoitaka.
Kibaya zaidi 90% hapo hamjasikiliza hata hiyo clip kabla ya comments, Sasa hamtaki wauze bonds Bado hamtaki wabinafsishe wakati huo huo hamuamini hao viongozi wa serikali Sasa mnataka Nini?
Mfano Mayor Quimby anakomaa kuwa hakuna mtu atanunua hisa or invest kisa TANESCO haipo competent. Muda huo huo hataki ibinafsishwe, muda huo huo Chande ni fisadi, muda huo huo anadai Zitto (mpinzani) anaandaa Dili la kifisadi hapo.
Sasa mnataka Nini kama sio chuki tu
Tuhurumie mkuu, usiombe umasikini ukawa ndiyo background yako, unaathiri sana fikra na atttitudesSasa angalia mtu kama huyu, anachoeleza hata hajui anaeleza nini; kwa hiyo hawa sasa ndio wanaoshikilia hatma yetu katika eneo hili!
Miaka zaidi ya 60, watu wetu wakienda shule, matunda yake ndiyo haya?
Mjiamini? Si watu wanasema Makamba na Chande wanataka kufanya ufisadi means hamna Imani na serikali kusimamia sekta ya Nishati wakati huo huo PPP hamtaki wakati huo huo mikopo/bonds hamtaki. Kaongelea masuala ya umeme wa gesi kama suluhu ya mgao watu wanakomaa kuwa ni ufisadi!!Nime'skim' harakaharaka kwenye majibu yako ya uteyezi humu, lakini sijaona maelezo ya huyo Maharage kuhusu uwezo wao, au kutokuwa na uwezo katika kuendesha Tanesco kwa ufanisi.
Ninachoona kwa wingi ni msisitizo tu wa watu wengine kuja kuwafanyia kazi.
Sijui kama ninakutwisha mzigo usiokuhusu kutoa maelezo juu ya jambo hilo kwa niaba yao(Tanesco).
Naelewa hizi ni enzi za 'fashion' ya PPP na matakataka mengine mengi tunayohimizwa tusiyafanye wenyewe kwa sababu tu ya hizo 'fashion' mpya zinazohimizwa. Hata mara moja sisikii kamwe, tukijiamini kwamba nasi tunaweza kufanya baadhi ya mambo muhimu yanayotuhusu sisi wenyewe.
Realistic kivipi? Automation sio realistic? Si wamesema mgao itaisha before Christmas why usisubiri ndio umkaange kisawasawa?Tunataka awe realistic kwenye hizo investment plans zake na umeme wa uhakika kwanza.
Umeme hakuna lakini kila siku wanatupigia tantalila tu za mambo ambayo sio priority zetu tushazichoka.
Realistic kivipi? Automation sio realistic? Si wamesema mgao itaisha before Christmas why usisubiri ndio umkaange kisawasawa?
Kuongeza capacity ya umeme wa gesi Kinyerezi sio realistic? Naelewa watu mna hasira ila tuwe optimistic, kama gesi itachangia gridi ya taifa by 70% unadhani tutakua tunalia Lia Tena mgao mvua zikikwama? Hakuoni ni sustainable zaidi?!
Moderators nashauri hii comment iwe comment bora ya mwaka 2022 halafu uzi ufungwe watu wakaufanyie kazi ushauri uliotolewa.Tatizo linaweza kuanzia hapo ulipoandika SIKUTAKA HATA KUSIKILIZA....
Hapo pana tatizo kubwa sana, kubwa mno.
Inawezekana kabisa kwamba "sisi" tuna uelewa mkubwa na maarifa mengi zaidi kuliko watu wengine. Hili ni jambo jema sana na ni jambo la asili (ni majaaliwa).
Lakini hii haitoi haki wala uhalali wa kutokuwasikiliza wengine tunaodhani wana uwezo mdogo kuliko "sisi".
Masikilizano ni nyenzo muhimu sana katika kujenga kwa pamoja.
Hii nchi ni yetu sote, angalau tuanze kwa kuwa tayari kusikilizana.
Hukujibu kitu kabisa.Mjiamini? Si watu wanasema Makamba na Chande wanataka kufanya ufisadi means hamna Imani na serikali kusimamia sekta ya Nishati wakati huo huo PPP hamtaki wakati huo huo mikopo/bonds hamtaki. Kaongelea masuala ya umeme wa gesi kama suluhu ya mgao watu wanakomaa kuwa ni ufisadi!!
Sasa mnataka Nini? Ndio maana nikasema Kuna chuki bila sababu. The guy might not be competent ila sio fisadi at least for now.
Wewe umeyajuaje haya kuwa na hakika kiasi hiki juu yake.Sasa mnataka Nini? Ndio maana nikasema Kuna chuki bila sababu. The guy might not be competent ila sio fisadi at least for now.
Yeah wanaandaa mazingira rafiki ya kulipua bomu.Halafu huyu mama ni potential wa mlipuko tena si bomu la kawaida ni nuclear hizo story zote za kina zito ni introductory
Una maoni Gani kwa Sasa. Si walisema mwaka mpya mgao umeisha!! And they delivered. Next time msipende kuandika tu for the sakeTunataka awe realistic kwenye hizo investment plans zake na umeme wa uhakika kwanza.
Umeme hakuna lakini kila siku wanatupigia tantalila tu za mambo ambayo sio priority zetu tushazichoka.
Mna maoni Gani kwa Sasa tokea mvua zianze kuonyesha, mgao feki Bado unaendelea?Hapa kwanza linatengenezwa tatizo ambalo ni huu mgao ili ipatikane justification ya kutafuta wawekezaji Kisha from there Kuna ufisadi takatifu unakuja kupitia hayo makampuni
Kama hamuelewi mashirika ya umma ni sehem ambazo ufisadi mkubwa hufanyika na yanahujumiwa sana ni swala la muda ila CCM kama wanawapenda watanzania wamtoe huyu mama waweke mtu mwingine yaani tumekwisha deni la Taifa ni Trillion 70+ mfumoko wa Bei, ufisadi Kila Kona kidaraja Cha milioni 500 unaambiaa 7 billion yaani Kuna watu wanakula Kwa hasira maana walibanwa muda mrefu kiukweli ngoja tuone ni swala la muda ila TANESCO ni kichaka Cha kufanyia fraud
Wazee wa speculations mna maoni Gani kwa Sasa.Niliwahi Sema humu ndani.. Huu mgao wa Tanesco ni njia moja wapo ya kubinafsisha iliionekane Tanesco imeshindwa kujiendesha..
Kama ilivyofanyika kwa TTCL tutarajie the same kwamba Tanesco itakuja kuwa kama Shule ya kata.. Na mashirikia binafsi kama vile international school of Tanganyika [emoji23][emoji23]
Bila maneno mengi.. Mikataba watakayoingia Hawa watu ndio utakayo amua hatma ya nchi yetu kwenye swala Zima la nishati..
Magufuli aliyasema haya.. Atakayekosea asiseme tu hakujua anachofanya huko mbele ya safari
Wivu utakuua kaka, umekariri zile siasa za kuwa huyo ni mtu wa JK na JK ni msimamizi wa wapigaji!.Haya ni "MakambaMahaharage"
Majizi tupu! Hakuna lolote hapo!
Huyo Zitto mzee wa fursa, hapo ameuliza Swali elekezi!
Tayari na yeye ni sehemu ya mpango Wizi.
Ina maana kuna Deal Na "Mazda" na sasa linakolezwa taratibu.
Hawa tutakuja kuwanyonga hadharani, kama sio sisi basi watoto wetu watawanyonga watoto wao.
Shida ya watu kama nyie ni kujibu hoja at your suitable time, whereby the matter of concern requiring immediate innovation to reduce the negative impact is longer relevant.Una maoni Gani kwa Sasa. Si walisema mwaka mpya mgao umeisha!! And they delivered. Next time msipende kuandika tu for the sake
Kwanini unasema hawawezi? Why mnapenda zero sum games? Why usishauri namna Gani wapate hizo fedha ila unasema tu HAWAWEZI shows chuki ulizonazo Tu.Shida ya watu kama nyie ni kujibu hoja at your suitable time, whereby the matter of concern requiring immediate innovation to reduce the negative impact is longer relevant.
Unakuja kujibu hoja later under the environment which favours your viewpoint. Kama uongozi ungekuwa rahisi hivyo huko duniani kwengine wangesubiri mpaka mwezi wa sita bei za nishati zishuke kama wanavyotabiri ndio waanze kujibu kuhusu inflation huko kwao.
That’s not how leadership works unatakiwa kuonyesha mitigation strategy zako za kukabiliana na unplanned diversity soon as they happen mbinu ambazo hazikuwepo wakati nchi ipo gizani.
Isitoshe msingi wa hii mada ilikuwa kwenye kuvutia uwekezaji. Hasa kwenye greener technologies sitegemei huyo Chande wako wala Makamba kuelewa how carbon trading works na trust me; ndio kitu pekee kinachowafanya wageni kuja kuwekeza Africa kwenye sector ya umeme.
With that knowledge at times inabidi sisi wa vijijini tukubali maisha na mipango ya watu mjini sio yetu, maana akili zenu zinawatosha nyie wenyewe kwenye kupanga mipango yenu ya muda mrefu.
Huko kwenye kuuza bonds sijui kutafuta hela kwenye capital markets ndio kabisa wanaongea ujinga mtupu; vinginevyo wangeshafanya.Hizo hela za sijui kuimarisha grid zitatoka mfukoni kwa walipa kodi tu awawezi pata kwenye soko la hela kama walivyodao.
Sasa kwanini mie niumie kama Bashe kapewa na atapewa karibu kiasi cha hela hizo TANESCO wanazotaka wafanye huo mradi, wakati yeye anapewa kila mwaka kwenye mbolea na upigaji wake umemfanya awe filthy rich kwanini niumie kwa TANESCO.
I am beginning to accept these are not my problems hayo ni matatizo ya watu wa mjini, sie tunaoishi vijijini sasa kwanini tuumie vichwa.
TANESCO ni taasisi nyeti, it is not quite subject to standard business-school or activist modes of evaluation. Kuna wakati fulani kulitoka dhana ya unbundling (generation, transmission, distribution) with fancy ecometric models. It it was tried here and there tulipojaribu TANESCO ikashindikana Wanasiasa hawakuielewa, and rightly so because you cannot unbundle a son from its father. Hizi piecemeal solutions zitazaa matunda in isolated cases lakini the underlying principle haijabadilika - focused management geared toward IPTIMISING the situation, with lots and lots of Government support same way as you support Msonganzila or a national airline. Hii ya bonds za DSE inahitaji discipline ya securitisation ambayo ni ngumu kisiasa. Tumtakie heri Ndg Maharage, he will need it.Jamaa anaeleza mambo yake vizuri sana. Tumpe muda na nafasi atatusaidia kuibadilisha TANESCO kutoka kwenye hii ya sasa kwenda kwenye iliyo bora zaidi.