Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Ikumbukwe kuwa aliteuliwa mnamo 25/09/2021 kuwa mkurugenzi mkuu wa TANESCO
Na ndani ya saa 96 zilizopita ndugu Maharage Chande ameongoza taasisi 3 nyeti.
1. TANESCO 22/09/2023 (cheo cha awali)
2. TTCL 23/09/2023 (cheo kipya)
3. TPC 25/09/2023 (cheo kipya kabisa)
Nahisi ana kitu unique sana ambacho huenda hatukioni.
JamiiForums ihifadhi hii record na ifanye mawasiliano na Guinness huenda akashika record ya dunia.
Na ndani ya saa 96 zilizopita ndugu Maharage Chande ameongoza taasisi 3 nyeti.
1. TANESCO 22/09/2023 (cheo cha awali)
2. TTCL 23/09/2023 (cheo kipya)
3. TPC 25/09/2023 (cheo kipya kabisa)
Nahisi ana kitu unique sana ambacho huenda hatukioni.
JamiiForums ihifadhi hii record na ifanye mawasiliano na Guinness huenda akashika record ya dunia.