Tatizo ni ujinga wa Watanzania na uongo wa wanasiasa. Hili tulishaliona na kulijadili zamani tu.
Wanasiasa wakitaka kuanzisha mradi basi wanawadanganya wananchi kwamba mradi ukiisha mambo yatakuwa mazuri na gharama zitashuka, wakati si kweli kwa sababu wanakuwa wameanzisha huo mradi kwa kukopa pesa.
Hapo na bado SGR ikikamilika ni lazima bei ya nauli ipande.
Wanasiasa wajifunze kuwaambia ukweli wananchi.
Kwa Tanzania hii, Serikali ikikopa pesa na kuyapeleka maji ya ziwa Viktoria Dodoma, lazima yatapanda
Sent from my Infinix X612 using
JamiiForums mobile app