Maharage Chande: Si busara kushusha bei ya umeme

Haya mawazo yanakuwa vipi hoja ni ipi lengo la mkopo wowote ule ni kuwafikia watu wengi katika kutoa huduma kwamba ata mimi nikienda bank nikachukua mkopo niungize kwenye duka langu lazima bidhaa nipandishe bei sababu nimekopa
 
Wataalam wetu wa chuo cha kijeshi na uchumi pale arusha wakikuwa watatuletea maendeleo kwa sasa tuwaache hawa wataalam wasio wazalendo wapite tu.maswali ni mengi sana .
 
Huyo Maharage anaijua kanuni ya demand and supply na price inavyokuwa affected?

Huyo Maharage anataka tuendelee kukata misitu ili tupate kuni za kupikia na nchi igeuke jangwa?

Huyo maharage hataki cost of production zipungue ili kuvutia wawekezaji nchi isonge mbele?

Magufuli alisema anajenga bwawa ili umeme uwe nafuu, sasa huyu Maharage ni nani hata atake bei ya umeme isishuke?
 

je mnajua wafanyakazi wote wa tanesco wao hununua umeme ofisini kwao kwa bei ya cheee kabisa kila mwezi au hamjui
 
Tanzania ina Viongozi Ambao Hawajui kabisa hali za Watu wake. Viongozi wana wafananisha wananchi na hali zao wanadhani wananchi ni vigogo kama wao.
 
Sasa mtu kama yule mtoto wa Mwananyamala kupewa kitengo hujui nini kinaendelea? Yule hana final decision yoyote. Hawezi kutoa jibu kamili kwasababu ni sellout kitambo.
 
Haya mawazo yanakuwa vipi hoja ni ipi lengo la mkopo wowote ule ni kuwafikia watu wengi katika kutoa huduma kwamba ata mimi nikienda bank nikachukua mkopo niungize kwenye duka langu lazima bidhaa nipandishe bei sababu nimekopa
Huo ndio ukweli. Lakini wanasiasa huwa hawawambii ukweli wananchi kabla mradi haujanza kujengwa. Mradi ukikamilika bei ya huduma inapanda zinaanza kelele.

Yaani huwa serikali inawavizia wananchi pale inapotaka baraka za wananchi kuhusu mradi fulani, lakini viongozi wanajuwa wazi mradi ukikamilika ni lazima wapandishe bei ili wapate marejesho ya mkopo huko walipokopa.


Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Angalia Nauli zilipanda kwa kigezo cha bei ya mafuta ila mafuta yameshuka ziko pale pale Sasa yatakuwa kupanda kufikia bei ile ile iliyosababisha kupanda Nauli na Nauli zitapanda tena.
Hii ndiyo Afrika mkuu, ukiweza kufanya lako ukatoboa basi simamia hapo hapo na upande juu, usisahau kuwaonyesha njia uliyopitia wanao.

Look at the politician child's.
 
Naunga mkono hoja ya Chande,ila wajinga sawa na yule Rais wao asiyejielewa watabisha na mara zote hubisha bila hoja
 
Jiwe alivyowaambia mtamkumbuka wengi hamkumuelewa. Sasa tutaelewana tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…