The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Wanataka vya bure,sijui at expenses za nani,hakuna kitu kama hicho.Huo ndio ukweli japokuwa unauma. Na ni lazima usemwe ili usikike. TANESCO ni shirika ambalo kila mtu anataka limhudumie bila ya kuangalia lenyewe nani analihudumia.
Siyo bure. Ni kodi zinatumikaVya bure at expenses za nani?
Upate umeme wa 27,000 huku shirika linakula hasara Ili iwaje? Ndio nauza hiyo loss at expenses za nani?Siyo bure. Ni kodi zinatumika
Ni yetu mkuu, ndio ukubwa huo. Utotoni ulikuwa unachagua sana chakula Baba yako anakuangaliaaa hakumalizi. Moyoni mwake anakwambia ngoja huyu akue aje ayaone mwenyewe.Tanesco hawajawahi eleweka wanataka Nn nchi hii... kiangazi kwao tatizo... masika kwa tatizo... gas kwao tatizo... hydropower tatizo... mnataka nini enyi kizazi cha michongo ? 10%
Leo 27,000
Kesho 27,000 sio mchongo ...
Why huyu Mtanzania mnambebesha tu mizigo
Akigeuka Tozo ,bei za vitu kupanda,Petrol juu vyakula juu vifaa vya ujenzi juu
Duh wabongo hii nchi Mna hakika ni yetu ?🤣
Mpaka ikifika 2025 utakuwa umeshachoka ku-copy hayo maandishi ya wengine.
SSH anao mtazamo wa kibiashara tofauti na hayati JPM. Anajua kuwa mwenye duka anapata hasara kwa mmachinga kusimama mbele ya duka lake.Wanataka vya bure,sijui at expenses za nani,hakuna kitu kama hicho.
Ndio maana namkubali Samia, amesema wamachinga wapangwe Ili wachangie uchumi wa Nchi,hakuna kupepesa macho kutafutwa kupendwa kinafiki..
Kodi tunayolipa, REA tunayokatwa kwenye mafuta na tozo kedekede.Vya bure at expenses za nani?
Watanzania walilishwa matango, huwezi kupata umeme wa 27000! Hiyo ni bei ya bati MojaLeo tarehe 23.02.2022 mkurugenzi wa TANESCO, MAHARAGE CHANDE ameongea na vyombo vya habari kwa kueleza umma kuwa hakuna umeme wa tsh 27, 000/= tuache kupeana maneno matamu matamu katika kuendesha shirika hilo. Amesema ni vigumu sana kutofautisha mjini na vijijini kwani wote wanahitaji huduma hiyo kitu ambacho inasababisha shirika hilo kujiendesha kwa hasara kubwa!
Aidha kwa maoni yangu waziri wa nishati na Naibu wake je wakati wakiwasilisha taarifa mbalimbali za utendaji wa shirika hilo hawakai na wataalamu wakaambiwa kuhusu bei hizo za kuunganishiwa umeme?
Kutokana na kauli hizo kati ya waziri na mkurugenzi wa Tanesco ni kauli zipi ambazo umma utakuja kuziamini kutokana na mkanga'nyiko huo ambao hauleweki wa umeme wa tsh 27,000/=?
Ni hatari sana kwa mkurugenzi wa Tanesco kuambia umma kuwa unawezaje kununua tv ya sh 1,000,000/= halafu uhitaji umeme wa tsh 27000/= akumbuke kuwa hii nchi ni ya kwetu sote hata hivyo kutokana na nyakati tulizopo tulihitaji umeme wa gharama ya chini na siyo kukatisha tamaa umma kuwa hakuna umeme wa tsh 27,000/=.
Kwa hali hiyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ana kila sababu kufatilia kwa karibu utendaji wa shiraka hilo na Wizara ya Nishati kwa ujumla kwani tayari wananchi wameshaanza kutokuwa na imani na watendaji wa Tanesco na wizara husika.
Ndio ujinga ww viojgozi wetu kufikiria 27000 kama ada eti ni ndogo .wakati hata wakifunga bure ndani ya miezi 6 na wakakata hata shilingi 5/ unit wwnawezakukusanya fedha ya maana kabisa wasubiri 24Umeme uingie bure ndani ya nyumba, yaani wiring nyaya zangu Alafu nguzo ipo uwanjani kwangu kuingiza ndani kwa wire wa TANESCO kama mita 5,tu wanataka nilipe laki 5 ya nn? Hivi shirika la umeme linapata hasara kivipi? Yaani waibe wao alafu wasingizie bei ya 27,000 ndio chanzo. Mama Amina sana Tanesco hawa
Viongozi wetu kichwani wanamakamasi nakuhakikishia eti huyo ni mkurugunzi wa shirika kubwa la umeme anatefemea 27000 badlala ya kutegemea mauzo ya unit za umeme ambazo ndo kwenye faidaNimesikiliza huyu mkurugenzi nikabaki nimeduwaa. Hivi concept ya serikali kusambaza umeme ikoje? Nilidhani kwamba gharama za kuunganisha zingekuwa as minimum as possible ili waunganishe wateja wengi halafu fedha zirudi kwa kuuza units za umeme. Ndiyo maana makampuni ya simu yanatafuta yenyewe fedha kwa ajili ya infrastructure installation (kuweka minara na vituo kadhaa then returns zao wanazipata kutoka kwa wateja kupitia airtime, msg na miamala.
Kuni karatasi hahahaamaji mara moja[emoji23][emoji23]
Nimefuatilia huo mjadala, jamaa ni mzuri asipoingiliwa na siasa.Ila kiuhalisia hiyo bei ni hasara kwa shirika
Nchi ngumu sana hii. Jamaa nae anahisi alivumilia sana lawama sasa ndio kaamua kujotokeza kuusema anaohisi ni ukweli!!Leo tarehe 23.02.2022 mkurugenzi wa TANESCO, MAHARAGE CHANDE ameongea na vyombo vya habari kwa kueleza umma kuwa hakuna umeme wa tsh 27, 000/= tuache kupeana maneno matamu matamu katika kuendesha shirika hilo. Amesema ni vigumu sana kutofautisha mjini na vijijini kwani wote wanahitaji huduma hiyo kitu ambacho inasababisha shirika hilo kujiendesha kwa hasara kubwa!
Aidha kwa maoni yangu waziri wa nishati na Naibu wake je wakati wakiwasilisha taarifa mbalimbali za utendaji wa shirika hilo hawakai na wataalamu wakaambiwa kuhusu bei hizo za kuunganishiwa umeme?
Kutokana na kauli hizo kati ya waziri na mkurugenzi wa Tanesco ni kauli zipi ambazo umma utakuja kuziamini kutokana na mkanga'nyiko huo ambao hauleweki wa umeme wa tsh 27,000/=?
Ni hatari sana kwa mkurugenzi wa Tanesco kuambia umma kuwa unawezaje kununua tv ya sh 1,000,000/= halafu uhitaji umeme wa tsh 27000/= akumbuke kuwa hii nchi ni ya kwetu sote hata hivyo kutokana na nyakati tulizopo tulihitaji umeme wa gharama ya chini na siyo kukatisha tamaa umma kuwa hakuna umeme wa tsh 27,000/=.
Kwa hali hiyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ana kila sababu kufatilia kwa karibu utendaji wa shiraka hilo na Wizara ya Nishati kwa ujumla kwani tayari wananchi wameshaanza kutokuwa na imani na watendaji wa Tanesco na wizara husika.
Tanesco haijapata MTU au ni mradi wa watu flani,au imeachiwa iendeshwe kisiasa....ila hili LA hujuma laweza kuwa sahihi..haiwezeiani kila kukicha tanesco ni majanga.Bila mchanganuo wala maneno ya lugha ya kigeni, inawezekana! Haya tuanze na REA, wanapata wapi pesa za kulipana mishahara na gharama za uendeshaji wa hilo lishirika?
Kila mtumiaji wa umeme, anaichangia REA 1% ya manunuzi yake ya umeme, ni kiasi gani kinakusanywa kwa mwezi?
Znz wao wanaweza vipi kushusha gharama hizo? Wanaweza vipi kutumia umeme wasiolipia hata sumni?
Anzia generation mpaka distribution kunielewesha mkuu!
Ila kiuhalisia hiyo bei ni hasara kwa shirika
Umetukosea sana haya sio dodoma ni ya kataviHayawezi kuwa maharage ya Mbeya hayo, hatuna maharage mabovu kwetu, labda ya Dodoma
Kama ndio hivyo ziruhusiwe kampuni binafsi kushindana kusambaza nguzo, waya na Luku, TANESCO kazi yao iwe ukaguzi, kuwasha na kuzima umeme.Haina kuremba, asante Kwa kutokubali kupelekeshwa na wanasiasa!
Nguzo 1 shilling ngapi??
Mita 1 ya waya shilling ngapi??
Mita ya LUKU shilling ngapi??
Leo wadanganyika tunaamini tunaweza kuunganishwa Kwa 27,000??
Hili halipingiki, gharama lazima zibalansi ili kupunguza mzigo serikali WA kuliendesha shirika.