Raja Casablanca
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 706
- 368
Hahahahaha . . . Banzai hahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha . . . Banzai hahaha
mwendazake kuna vitu alivipangua kwa sasa vina rudi kwa speed ya kimbunga!Nadhani ifike mahala tuwe na vigezo vitakavyokua na maslahi ya taifa na visivyogawa watu kwa kuangalia wapi walikua wanatumikia
Sawa ana miaka 45, na hajawahi kuwa na checknumber kama public service employee sawa; lakini tujiulize huko nbc na kwengine alikokua anatumika alikua anahudumia umma wa watanzania? au alikua anahudumia familia yake binafsi
Wapo watu wazuri sana kiutendaji kwenye private sectors wanaojua bila uzalishaji endelevu hakuna maendeleo ya taasisi wala nchi; ifike mahala serikali iwachukue na kuwatumia kama huyu Maharage Chande
Sio mbaya tukareview policy na taratibu zetu kwenye vipengele kama umri na wapi na nini amefanya huko ili tuweze kupata watu competent hata kama wana miaka50.
KAZI IENDELEE
mwendazake kuna vitu alivipangua kwa sasa vina rudi kwa speed ya kimbunga!
kuna mahali alikosea ange tuacha vizuri kweli 🤔
mfumo wa utendaji huonekana alfajiri sio usiku wa manane Lisu uli mfahamu lini?JPM kuna wakati alikua anateua watu wa private sectors wengine wakawa wanasemwa kukataa teuzi kwa sababu zao binafsi.
Kama Maharage ameteuliwa tumwache afanye kazi na akizingua atenguliwe kwa kalamu iliyomteua. Ila tusiseme kwa kuwa hakuwa mtumishi wa umma hastahili kupata teuzi
Tutamkumbuka daima milele JPM Mwamba, Shujaa na rais wa karne kwa mengi makubwa na mazuri aliyofanya😍🇹🇿🕊🙏
😎😎😎mfumo wa utendaji huonekana alfajiri sio usiku wa manane Lisu uli mfahamu lini?
Magu naye uli mfahamu lini ?
nyongeza hakuna watenguaji apo kuna wazee wa fursa!
Mbona hamkushangaa mpwa kuwa Paymaster General wa nchi.Maharage Chande, Mkurugenzi Mtendaji mpya wa TANESCO ana umri zaidi ya miaka 45. Ameingiaje kwenye utumishi wa Umma ?
Au ni urafiki wake na Waziri wa Nishati January Makamba (cronyism) ndio umempa upendeleo huu ? Makamba ndio amepeleka jina kwa Rais. Rais hamjui Maharage.
Matokeo ya cronyism ndio kama haya: Chande hana background au experience ya utumishi wa umma, wala kazi za shirika la nishati wala shirika la fani yeyote lenye ukubwa na ugumu wa uendeshaji kama TANESCO. Ametokea DSTV na kabla ya hapo Vodacom.
Kituko cha kwanza cha Chande alikitoa kwenye hotuba yake ya utambulisho mbele ya hadhara, waandishi, wateule wenzie wapya pamoja na Waziri.
Akasema anataka PAY-FOR-PERFOMANCE, yani mfumo wa ulipaji kulingana na ufanisi kiutendaji. Toka lini kwenye public sector mtu analipwa tofauti na salary scale yake ??? Huyu jamaa hana clue na mifumo ya ujira za utumishi wa umma. Speech yake ya kwanza anatueleza ndoto za Alinacha za jinsi watakavyolipana badala ya matatizo ya upatikanaji umeme wa uhakika.
Tunaomba January Makamba ujali na uwe serious na kazi yako. Tunajua huna sana uchungu na wananchi na kuhuwahi kusota kupata kazi hizi kwa vile ulibebwa na majina ya baba zako Yusufu (nepotism) na Jakaya (cronyism), na siku zote vyeo vimekuwa vikikujia, kuondoka na kurudi kirahisi rahisi. Jisafishe, tunaomba uanze kujali.
pole nyingi sana kwa mama Tanzania tumepigwa na kitu kizito!
Age ni tatizo.ktk utumishi wa umma ukiishafika umri wa miaka 45 hupaswi kuajiriwa kwa ajira ya kudumu kama ni ya mkataba ni sawa.na kwa mkataba pia lazima uwe na soecial skills ambazo wengine hawana vinginevyo huwezi ajiriwa.Kweli hakuwahi kuwa mtumishi wa umma ,ila aliwahi kuwa COO NBC bank na huku serikalini kumeoza kunahitaji watu wenye energy na vision kutoka private sector ,age sio tatizo kwa level ya cheo chake.
You won't be pensionable I guess, jambo ambalo muhusika haoni shida!Unajua ni kwa nini huwezi kuingia kwenye utumishi ukishazidi miaka 45 ?
Nadhani ifike mahala tuwe na vigezo vitakavyokua na maslahi ya taifa na visivyogawa watu kwa kuangalia wapi walikua wanatumikia
Sawa ana miaka 45, na hajawahi kuwa na checknumber kama public service employee sawa; lakini tujiulize huko nbc na kwengine alikokua anatumika alikua anahudumia umma wa watanzania? au alikua anahudumia familia yake binafsi
Wapo watu wazuri sana kiutendaji kwenye private sector wanaojua bila uzalishaji endelevu hakuna maendeleo ya taasisi wala nchi; ifike mahala serikali iwachukue na kuwatumia kama huyu Maharage Chande
Sio mbaya tukareview policy na taratibu zetu kwenye vipengele kama umri na wapi na nini amefanya huko ili tuweze kupata watu competent hata kama wana miaka50.
KAZI IENDELEE
Mawazo mazuri mama D. Najaribu kuwaza tu hivi yule Idris Rashid alipokwenda pale kuwa MD alikuwa hajatimiza miaka 45 au vipi? Na yeye vile vile alitokea huko kwenye mabenki ambako hawana masihara na utendaji.Nadhani ifike mahala tuwe na vigezo vitakavyokua na maslahi ya taifa na visivyogawa watu kwa kuangalia wapi walikua wanatumikia
Sawa ana miaka 45, na hajawahi kuwa na checknumber kama public service employee sawa; lakini tujiulize huko nbc na kwengine alikokua anatumika alikua anahudumia umma wa watanzania? au alikua anahudumia familia yake binafsi
Wapo watu wazuri sana kiutendaji kwenye private sector wanaojua bila uzalishaji endelevu hakuna maendeleo ya taasisi wala nchi; ifike mahala serikali iwachukue na kuwatumia kama huyu Maharage Chande
Sio mbaya tukareview policy na taratibu zetu kwenye vipengele kama umri na wapi na nini amefanya huko ili tuweze kupata watu competent hata kama wana miaka50.
KAZI IENDELEE
Wanaompiga vijembe Maharage Chande hawamjui uwezo wake. Jamaa ana uwezo mkubwa sana. Ni mmoja wa vijana wachache wa kitanzania wenye uwezo wa kuoversea operations kubwa kama ya TANESCO
Mawazo mazuri mama D. Najaribu kuwaza tu hivi yule Idris Rashid alipokwenda pale kuwa MD alikuwa hajatimiza miaka 45 au vipi? Na yeye vile vile alitokea huko kwenye mabenki ambako hawana masihara na utendaji.
Tuwape nafasi watendaji kutoka sekta binafsi ili watukimbize huku serikalini, labda tutaamka na utendaji wetu wa kazi.
Kwa hiyo kuna vyeo ambavyo mtumishi anaweza anaweza anza utumishi wa umma akiwa na miaka zaidi ya 45?Kweli hakuwahi kuwa mtumishi wa umma ,ila aliwahi kuwa COO NBC bank na huku serikalini kumeoza kunahitaji watu wenye energy na vision kutoka private sector ,age sio tatizo kwa level ya cheo chake.
Kama kaua nbc ina maana hata tanesco inaweza kufa sio?Ndio kwani kufa kwa benki ni mtu mmoja amesababisha?
Mbona unaandika maneno mengi kwa sheria inasemaje umri wa kuajiriwa kama mtumishi?Nadhani ifike mahala tuwe na vigezo vitakavyokua na maslahi ya taifa na visivyogawa watu kwa kuangalia wapi walikua wanatumikia
Sawa ana miaka 45, na hajawahi kuwa na checknumber kama public service employee sawa; lakini tujiulize huko nbc na kwengine alikokua anatumika alikua anahudumia umma wa watanzania? au alikua anahudumia familia yake binafsi
Wapo watu wazuri sana kiutendaji kwenye private sector wanaojua bila uzalishaji endelevu hakuna maendeleo ya taasisi wala nchi; ifike mahala serikali iwachukue na kuwatumia kama huyu Maharage Chande
Sio mbaya tukareview policy na taratibu zetu kwenye vipengele kama umri na wapi na nini amefanya huko ili tuweze kupata watu competent hata kama wana miaka50.
KAZI IENDELEE
Mbona unaandika maneno mengi kwa sheria inasemaje umri wa kuajiriwa kama mtumishi?
Hakunana sababu zaid ya pension mzeeKwa nini age sio tatizo kwa age ya cheo chake ?
Unajua ni kwa nini huwezi kuingia kwenye utumishi ukishazidi miaka 45 ?
Tulishasema pre-frebruary ameamua kukimbia wakati wengine wanatembea!! Anatengeneza fursa nyingi za kupiga!! Anaamini shamba la bibi limerudi na hategemei kuna mtu atamkemea!Maharage Chande, Mkurugenzi Mtendaji mpya wa TANESCO ana umri zaidi ya miaka 45. Ameingiaje kwenye utumishi wa Umma ?
Au ni urafiki wake na Waziri wa Nishati January Makamba (cronyism) ndio umempa upendeleo huu ? Makamba ndio amepeleka jina kwa Rais. Rais hamjui Maharage.
Matokeo ya cronyism ndio kama haya: Chande hana background au experience ya utumishi wa umma, wala kazi za shirika la nishati wala shirika la fani yeyote lenye ukubwa na ugumu wa uendeshaji kama TANESCO. Ametokea DSTV na kabla ya hapo Vodacom.
Kituko cha kwanza cha Chande alikitoa kwenye hotuba yake ya utambulisho mbele ya hadhara, waandishi, wateule wenzie wapya pamoja na Waziri.
Akasema anataka PAY-FOR-PERFOMANCE, yani mfumo wa ulipaji kulingana na ufanisi kiutendaji. Toka lini kwenye public sector mtu analipwa tofauti na salary scale yake ??? Huyu jamaa hana clue na mifumo ya ujira za utumishi wa umma. Speech yake ya kwanza anatueleza ndoto za Alinacha za jinsi watakavyolipana badala ya matatizo ya upatikanaji umeme wa uhakika.
Tunaomba January Makamba ujali na uwe serious na kazi yako. Tunajua huna sana uchungu na wananchi na kuhuwahi kusota kupata kazi hizi kwa vile ulibebwa na majina ya baba zako Yusufu (nepotism) na Jakaya (cronyism), na siku zote vyeo vimekuwa vikikujia, kuondoka na kurudi kirahisi rahisi. Jisafishe, tunaomba uanze kujali.