Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
MmmmmmmhhhTatizo ni KIZIMKAZI tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MmmmmmmhhhTatizo ni KIZIMKAZI tu
Wachana na wapigajiTaifa liko gizani halafu anaongea nini[emoji53][emoji53][emoji53][emoji53] mmfyuuuuu ningekuwa karibu yake ningemnasa kibao
Dah inasikitisha sana tena sana. Mimi hapa nimeshindwa kufanya kazi kwa sababu ya umeme halafu kuna mtu anajiona aliitendea haki kweli tanesco. Maharage kosa lake analijua. Watanzania wanataka umeme na ndiyo maana Dkt Samia kamuondoa maana ameharibu sana image ya rais wetu. Sisi chawa tupo na Mama na siyo wahujumu uchumi kama maharage na uzuri mama ni mama
Tunamshukuru kwa kazi yake nzuri ya kutukatia umeme hovyo ktk nchi hii maana watu wa hovyo hujisema wenyewe na wanajua wataendelea kuteuliwa pamoja na kwamba majuha au mapunguani.Unasimama kwenye media unajisifia uzwazwa kweli maharage ni maharage tu.Aliyekuwa MD Tanesco ndugu Maharage nimesikiliza redioni mida hii akimshukuru rais kumteua kuwa boss mpya Posta.
Amedai kuwa anaenda kufanya maajabu Posta Kama alivyobadilisha Tanesco katika kipindi kifupi alichokuwepo.
"Tanesco nimeiacha salama zaidi kuliko nilivyoikuta, ufanisi umeongezeka,uzalishaji,usambazaji pamoja na ukisasa umeongezeka , Moto huohuo naupeleka Posta, nashukuru Sana rais kwa kuniona nafaa" Alisema Chande.
Wakuu yapi maoni yenu.
Wewe ni zoba tu tunakufahamu na hujui kusimamia facts muda wote ww ni kuchafua image yako.Huo ndiyo ukweli.
Huko ndipo atafungashiwa kwenye vifurushi na kurundikwa kwenye vumbi mpaka kuja kuonekana mtunza vifurushi lazima aukuombe umnunulie maziwa freshAliyekuwa MD Tanesco ndugu Maharage nimesikiliza redioni mida hii akimshukuru rais kumteua kuwa boss mpya Posta.
Amedai kuwa anaenda kufanya maajabu Posta Kama alivyobadilisha Tanesco katika kipindi kifupi alichokuwepo.
"Tanesco nimeiacha salama zaidi kuliko nilivyoikuta, ufanisi umeongezeka,uzalishaji,usambazaji pamoja na ukisasa umeongezeka , Moto huohuo naupeleka Posta, nashukuru Sana rais kwa kuniona nafaa" Alisema Chande.
Wakuu yapi maoni yenu.
Maoni yangu kwenye suala la umeme ni kwamba Kuna ujinga na upumbavu unaendelea baada ya Mwamba Jiwe Magufuli kututoka. PERIOD!!!!Aliyekuwa MD Tanesco ndugu Maharage nimesikiliza redioni mida hii akimshukuru rais kumteua kuwa boss mpya Posta.
Amedai kuwa anaenda kufanya maajabu Posta Kama alivyobadilisha Tanesco katika kipindi kifupi alichokuwepo.
"Tanesco nimeiacha salama zaidi kuliko nilivyoikuta, ufanisi umeongezeka,uzalishaji,usambazaji pamoja na ukisasa umeongezeka , Moto huohuo naupeleka Posta, nashukuru Sana rais kwa kuniona nafaa" Alisema Chande.
Wakuu yapi maoni yenu.
Wasiwasi wako ndiyo maradhi yako.Hiki kiburi wanakipata kwa yule mtu wao pale juu
Huna akiliWasiwasi wako ndiyo maradhi yako.
Juu yetu sote yupo mmoja tu, Muumba wetu asiyezaa wala kuzaliwa.
Wewe ndiyo una akili??Huna akili
Mikataba ya ajabu inahamia Posta.Aliyekuwa MD Tanesco ndugu Maharage nimesikiliza redioni mida hii akimshukuru rais kumteua kuwa boss mpya Posta.
Amedai kuwa anaenda kufanya maajabu Posta Kama alivyobadilisha Tanesco katika kipindi kifupi alichokuwepo.
"Tanesco nimeiacha salama zaidi kuliko nilivyoikuta, ufanisi umeongezeka,uzalishaji,usambazaji pamoja na ukisasa umeongezeka , Moto huohuo naupeleka Posta, nashukuru Sana rais kwa kuniona nafaa" Alisema Chande.
Wakuu yapi maoni yenu.
SubutuuuuuuAliyekuwa MD Tanesco ndugu Maharage nimesikiliza redioni mida hii akimshukuru rais kumteua kuwa boss mpya Posta.
Amedai kuwa anaenda kufanya maajabu Posta Kama alivyobadilisha Tanesco katika kipindi kifupi alichokuwepo.
"Tanesco nimeiacha salama zaidi kuliko nilivyoikuta, ufanisi umeongezeka,uzalishaji,usambazaji pamoja na ukisasa umeongezeka , Moto huohuo naupeleka Posta, nashukuru Sana rais kwa kuniona nafaa" Alisema Chande.
Wakuu yapi maoni yenu.