Maharage: Tanesco nimeiacha salama zaidi kuliko nilivyoikuta





Chawa nae analalamika [emoji23]

 
Tunamshukuru kwa kazi yake nzuri ya kutukatia umeme hovyo ktk nchi hii maana watu wa hovyo hujisema wenyewe na wanajua wataendelea kuteuliwa pamoja na kwamba majuha au mapunguani.Unasimama kwenye media unajisifia uzwazwa kweli maharage ni maharage tu.
 
Huko ndipo atafungashiwa kwenye vifurushi na kurundikwa kwenye vumbi mpaka kuja kuonekana mtunza vifurushi lazima aukuombe umnunulie maziwa fresh
 
Maoni yangu kwenye suala la umeme ni kwamba Kuna ujinga na upumbavu unaendelea baada ya Mwamba Jiwe Magufuli kututoka. PERIOD!!!!
 
Mikataba ya ajabu inahamia Posta.

Sasa naamini hesabu ya ile mikataba iliyosainiwa Dubai inaendana na hatua za Maharage na wale wahuni wengine
 
Subutuuuuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…