Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alieko nje ya Mwanza awe tayari kujitegemea nauli.
Sina hela ya kutuma kokote, popote!
, [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Dah nilikua tayari hata kwa mahari ya mbuzi 1 tu, wewe una laki 2 yote hiyo, njoo tuyajenge mkuu pesa hiyo unapata wake 2 mimi na rafiki yangu tupo hapa[emoji23]
Hii inaitwa kauzu zaidi ya dagaa 😂😂😂Alieko nje ya Mwanza awe tayari kujitegemea nauli.
Sina hela ya kutuma kokote, popote!
Wa mwanza nakufuata tu bila shida. Sitaki delivery kabisa.Na sisi ambao tupo hapa hapa mwanza ila tunahitaji nauliya boda inakuwaje?
Kwa tuliopo mwanza hapa hapa bila kuomba nauli inatakiwa mahari iongezeke wale wa tofauti na mwanza mahari iwelaki mbili tuWa mwanza nakufuata tu bila shida. Sitaki delivery kabisa.
Hehehe 😂 sijapiga banaDinna kama uko serious hebu nichek. Wewe ndio umejipigia kufuli makusudi
View attachment 1970178
Baby mambo🥰❤️[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]ehe makubwa
Kuna jirani yangu hapa, yeye mahali yake ni kitabu takatifu cha dini.Dah nilikua tayari hata kwa mahari ya mbuzi 1 tu
Mwanza pande gani Dina Zawadi?Kwa tuliopo mwanza hapa hapa bila kuomba nauli inatakiwa mahari iongezeke wale wa tofauti na mwanza mahari iwelaki mbili tu