Ramon Abbas
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 1,964
- 3,913
- Thread starter
- #41
He kumbe nimejipiga parefu.mkuu?Dah mkuu mbona mahar kubwa san hiyo, hasa ukilinganisha na usawa huu…
naweza.pata mwana familia kwa elfu 50? na chenji ikabaki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
He kumbe nimejipiga parefu.mkuu?Dah mkuu mbona mahar kubwa san hiyo, hasa ukilinganisha na usawa huu…
He kumbe nimejipiga parefu.mkuu?
naweza.pata mwana familia kwa elfu 50? na chenji ikabaki?
Kwa usawa huu aisee hata bure kumbe nawaza pata.Ila nyie watu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnajazana
Nimwage tenaMwanza pande gani Dina Zawadi?
Umeanza ku cc mnyororo wako si ndio😅😅
Yaan we unataka bure bure hapana kwa kweli mwisho utasema utoe mahari satoHahahahaa... zogoshi kwa pm ng'wanike.
nakutogile
hahahahahahaAlieko nje ya Mwanza awe tayari kujitegemea nauli.
Sina hela ya kutuma kokote, popote!
Usibane bane utazeeka nalo...Yaan we unataka bure bure hapana kwa kweli mwisho utasema utoe mahari sato
Sitaki mie
Dah! 😬😬Alieko nje ya Mwanza awe tayari kujitegemea nauli.
Sina hela ya kutuma kokote, popote!
Dah umetisha mkuuVipofu wanajua muonekano wa.mtu kwa njia gani?
Mimi ni mkurya mkuu, tena munchari.Wasukuma bwana!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ugumu wa maisha ndio kipimo cha akili, sio mtihani mkuuDah umetisha mkuu
Wale wale!Mimi ni mkurya mkuu, tena munchari.
lete hoja nyingine tujadili
Mkuu usipokuwa makini utatuma nauli kila siku na zitaliwa na mzigo usifikeDah! 😬😬
🍻🥃Wale wale!