Mahari ni biashara ya utumwa. Kwanini dunia ipo kimya?

Mahari ni biashara ya utumwa. Kwanini dunia ipo kimya?

Uzuri hailazimishwi, ukishindwa unaachana nayo.

Sina hakika sana kama mwanaume aliyetimia sawasawa akishindwa kutimiza utaratibu wa kuoa anawezaje kuwajibika kwa familia?

Kuoa sio kuwa na uwezo wa kudindisha. Kuoa ni zaidi ya majukumu ya kifamilia.

Mwenyezi Mungu akujaalie watoto wa kike uwakuze wakifika wakati wa kuolewa wagawe bure bure tu.
Kwani mahari ni kuwauza? Mbona basi hela ndogo sana. Mwanadamu anauzwa kwa thamani ya hizi mahari tunazotoa kweli?

Kwanza imekaa kitamaduni zaidi. Kuna baadhi anaelipa mahari ni familia ya kikeni. Wengine anaetamka mahari ni mtoto wa kike mwenyewe. Anatamka chochote atakacho, hata smart kitochi akiamua.

Watu tu siku hizi wanakiuka maadili, wanamtajia kijana pesa au vitu visivyoendana na uwezo wa kijana au familia ya kijana.
 
Kwani mahari ni kuwauza? Mbona basi hela ndogo sana. Mwanadamu anauzwa kwa thamani ya hizi mahari tunazotoa kweli?

Kwanza imekaa kitamaduni zaidi. Kuna baadhi anaelipa mahari ni familia ya kikeni. Wengine anaetamka mahari ni mtoto wa kike mwenyewe. Anatamka chochote atakacho, hata smart kitochi akiamua.

Watu tu siku hizi wanakiuka maadili, wanamtajia kijana pesa au vitu visivyoendana na uwezo wa kijana au familia ya kijana.
Zungumza vizuri na mwanamke wako awaweke sawa wazazi wake ili ukienda upokelewe vizuri
 
Sema issue hii kwa sasa inakwamisha baadhi ya vijana kuoa mapema

Imagine mahari pekee unatakiwa kulipa sh.milion 2+ pia mwanaume unatakiwa uandae sherehe ya ukweni kwa ajili ya mahari na engagement umpe huyo mke mtarajiwa kama 2M hapo jumla ishakuwa total ya milion 4

Sasa kuna wanaume wengi unakuta kiasi hicho hana, ambapo upande wa mwanamke wataona hayupo huru au seriois kuishi na mtoto wao wa kike

Familia nyingine mwanaume ndiye anayesimama hela zote..mwisho analemewa anashindwa
 
Zungumza vizuri na mwanamke wako awaweke sawa wazazi wake ili ukienda upokelewe vizuri
Mimi zama zangu sina cha kuzungumza wala nini. Sitoi hiyo mahari kama imenizidi "umri". Kwanza wakati wanaongelea mahari tayari mtoto wao ana mimba. Wakicheza angepata mimba ya pili kabla ya ndoa.

Hiyo wala sijali mtu mwingine annanionaje. Nipo hivyo
 
Mimi zama zangu sina cha kuzungumza wala nini. Sitoi hiyo mahari kama imenizidi "umri". Kwanza wakati wanaongelea mahari tayari mtoto wao ana mimba. Wakicheza angepata mimba ya pili kabla ya ndoa.

Hiyo wala sijali mtu mwingine annanionaje. Nipo hivyo
[emoji3]
 
Mtoa mada sote tunajua kwamba afrika mwanamke akiolewa inahesabika familia yake imepoteza mtoto wakati familia ya mwanaume imeongeza mtoto

Yani ukiachana na shukurani kwa wazazi wa mke kwa kumlea mtoto wao hadi wewe ukamuoa

Lengo lingine ambalo hilo ndiyo kubwa zaidi la familia ya mwanaume kutoa mahari kwa familia ya mwanamke ni sababu mwanamke anaondoka kwenye ukoo wao anaenda kwenye ukoo wa mwanaume

Ina maana ataacha kutumia jina la ukoo wake na kuanza kutumia jina la ukoo wa mwanaume na watoto watakaozaa pia ni hivyo hivyo

Anaacha kujenga ukoo wao anaenda kujenga ukoo wa mwanaume pia bila kusahau ataachana na ndoto zake na ataanza kufuata na kusaidia kutimiza ndoto za mumewe

So kwa kifupi ni kwamba mahari ni kama fidia kwa familia ya mwanamke sababu imelose wakati ya mwanaume imegain

Na ndiyo maana kwa wazungu si ajabu kukuta mtu anatumia majina ya koo zote mbili ya baba na mama na kwao mwanamke akiolewa wazazi hawalose chochote ndiyo maana hawana huo utamaduni
 
Mtoa mada sote tunajua kwamba afrika mwanamke akiolewa inahesabika familia yake imepoteza mtoto wakati familia ya mwanaume imeongeza mtoto

Yani ukiachana na shukurani kwa wazazi wa mke kwa kumlea mtoto wao hadi wewe ukamuoa

Lengo lingine ambalo hilo ndiyo kubwa zaidi la familia ya mwanaume kutoa mahari kwa familia ya mwanamke ni sababu mwanamke anaondoka kwenye ukoo wao anaenda kwenye ukoo wa mwanaume

Ina maana ataacha kutumia jina la ukoo wake na kuanza kutumia jina la ukoo wa mwanaume na watoto watakaozaa pia ni hivyo hivyo

Anaacha kujenga ukoo wao anaenda kujenga ukoo wa mwanaume pia bila kusahau ataachana na ndoto zake na ataanza kufuata na kusaidia kutimiza ndoto za mumewe

So kwa kifupi ni kwamba mahari ni kama fidia kwa familia ya mwanamke sababu imelose wakati ya mwanaume imegain

Na ndiyo maana kwa wazungu si ajabu kukuta mtu anatumia majina ya koo zote mbili ya baba na mama na kwao mwanamke akiolewa wazazi hawalose chochote ndiyo maana hawana huo utamaduni
Asante kwa mchango wako.
 
Sema issue hii kwa sasa inakwamisha baadhi ya vijana kuoa mapema

Imagine mahari pekee unatakiwa kulipa sh.milion 2+ pia mwanaume unatakiwa uandae sherehe ya ukweni kwa ajili ya mahari na engagement umpe huyo mke mtarajiwa kama 2M hapo jumla ishakuwa total ya milion 4

Sasa kuna wanaume wengi unakuta kiasi hicho hana, ambapo upande wa mwanamke wataona hayupo huru au seriois kuishi na mtoto wao wa kike

Familia nyingine mwanaume ndiye anayesimama hela zote..mwisho analemewa anashindwa
Hatari sana
 
Mahali ni kama agano lenye lengo la kutimiza kitendo cha muunganiko wa jinsia mbili zilizoamua kuishi pamoja. Hata hio mahari haitoshi kulipia gharama za mzazi alizotumia kumlea binti.
Mahari ni swala la utamadun. Kwa wahindi ni vs kwa afrika. Lakn hili halipingik linamfanya mwanamke kuwa sawa na bidhaa sokoni. Kuna makabila kama wakurya wakati mwingne Binti hushindanishwa kwa mwanaume atakayetoa mahari nyingi ndo hupewa.
 
Mahari ni swala la utamadun. Kwa wahindi ni vs kwa afrika. Lakn hili halipingik linamfanya mwanamke kuwa sawa na bidhaa sokoni. Kuna makabila kama wakurya wakati mwingne Binti hushindanishwa kwa mwanaume atakayetoa mahari nyingi ndo hupewa.
Hatari sana
 
Mtoa mada sote tunajua kwamba afrika mwanamke akiolewa inahesabika familia yake imepoteza mtoto wakati familia ya mwanaume imeongeza mtoto

Yani ukiachana na shukurani kwa wazazi wa mke kwa kumlea mtoto wao hadi wewe ukamuoa

Lengo lingine ambalo hilo ndiyo kubwa zaidi la familia ya mwanaume kutoa mahari kwa familia ya mwanamke ni sababu mwanamke anaondoka kwenye ukoo wao anaenda kwenye ukoo wa mwanaume

Ina maana ataacha kutumia jina la ukoo wake na kuanza kutumia jina la ukoo wa mwanaume na watoto watakaozaa pia ni hivyo hivyo

Anaacha kujenga ukoo wao anaenda kujenga ukoo wa mwanaume pia bila kusahau ataachana na ndoto zake na ataanza kufuata na kusaidia kutimiza ndoto za mumewe

So kwa kifupi ni kwamba mahari ni kama fidia kwa familia ya mwanamke sababu imelose wakati ya mwanaume imegain

Na ndiyo maana kwa wazungu si ajabu kukuta mtu anatumia majina ya koo zote mbili ya baba na mama na kwao mwanamke akiolewa wazazi hawalose chochote ndiyo maana hawana huo utamaduni
Anafidia bidhaa siyo? Bure kabisa!
 
Anaacha kujenga ukoo wao anaenda kujenga ukoo wa mwanaume pia bila kusahau ataachana na ndoto zake na ataanza kufuata na kusaidia kutimiza ndoto za mumewe
malizia hapo, ataenda kutumia Pesa na vyanzo vengine vya Mumewe

Nonsense Post
 
Uzuri hailazimishwi, ukishindwa unaachana nayo.

Sina hakika sana kama mwanaume aliyetimia sawasawa akishindwa kutimiza utaratibu wa kuoa anawezaje kuwajibika kwa familia?

Kuoa sio kuwa na uwezo wa kudindisha. Kuoa ni zaidi ya majukumu ya kifamilia.

Mwenyezi Mungu akujaalie watoto wa kike uwakuze wakifika wakati wa kuolewa wagawe bure bure tu.
Uanaume haupimwi kwa mahari mengi kuna watu wanaoa kwa mas hafu tu yani quran
 
Heshima gani hapo unayitaka mwaamke wenyewe ameshaitoa heshima yake chuo huko ameshaichakaza vya kutosha alafu unasema heshima nenda kanawe miguu ukalale huko

Mahali Ni heshima,
Heshima kwa mkeo,
Heshima kwa wakweo,
Heshima kwa wazazi wako,
Mahali Ni ishara ya uanaume.
Uwezo wa kua Kichwa Cha familia
Huwez kujilipia mahali,kataa ndoa usioe
 
Sijui umeitazamaje Mahari ila tambua kuwa kwa Waislam katika Uislam Mahari ni wajibu wa Kishariah, ni moja katika mambo ya wajibu kishariah.

Katika Uislam, bila Mahari haisihi ndoa.
Ungefafanua nua maana kwenye uislam sio lazima pesa ata kupeleka juzuu tu y 2000 tayar inahisabik ni mahar hayo kama mmeshakubaliana
 
Sijasikia wanawake wakipinga mahari ila 50 kwa 50 wapo mbele. Niwashauri wanawake wasikubali kuwa watumwa, ndio maana wanapigwa kwa kuwa wao ni kama chombo kilichonunuliwa.
 
Back
Top Bottom