Mahari ni biashara ya utumwa. Kwanini dunia ipo kimya?

Mahari ni biashara ya utumwa. Kwanini dunia ipo kimya?

Mimi nataka wanawake mpiganie wanaume tulipiwe mahari ili tuwaoe. Halafu tuone baba na mama zenu watakavyojisikia. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Habari za sasa wanachama wa Jamiiforums natumai wote ni wazima wa afya, nilikuwa na jambo lini kereketalo moyoni mwangu lihitwalo “MAHARI”

Nilikuwa na tatizo na huu utamaduni ulio zoeleka hapa dunia mpaka kukomaa wa malipo ya kifedha/mali kwa mwanaume/mwanamke ili kuweza kukidhi vigezo vya kuoa au kuolewa.

Mahari ni kitendo kinacho shusha utu wa watu hapa duniani kwa wake na kwa waume hauna tofauti na biashara ya utumwa iliyo kuwa imemea hapa duniani Karne za 19 kurudi karne nyuma iliyo husisha kununua watu walio thaminishwa kwa viwango mbalimbali vya kifedha na kimali kutokana na maumbile yao na uwezo wao wa kinguvu.

Duniani mpaka sasa kwa asilimia kubwa watoto wa kike wana thaminishwa kama bidhaa sokoni kwa kigezo cha mahari kama utamaduni kitu ambacho kinavunja utu wa mtu kwa kuwa mtu hawezi kuthaminishwa kwa kiwango chochote kile cha fedha au mali.

Sasa wazazi wameshikwa na viburi vya kitamaduni za kitumwa kwa kuwa thaminisha wanao kutokana na tabia nzuri walizo nazo wanao au uzuri wa rangi/ maumbile ya wanao na kutaja viwango mbali mbali vya kifedha au mali mfano [ Mzazi anasema“ hauwezi kuoa mwanangu bila million 5-10 au bila ng'ombe 10-2 ]

Huu utamaduni wa mahari ulio mbaya unao vunja utu wa watu hapa dunia umekaliwa kimya sana na dunia tofauti na tamaduni nyingine kama ukeketaji, ndoa za utotoni, biashara ya utumwa wakati wa ukoloni n.k hizi ni baadhi ya tamaduni zilizo pigiwa kelele na dunia mpaka kukoma nyingine kupungua kwa kasi sana hapa duniani.

Ushauri binafsi: Kwa nini fedha/mali zinazo tumika kukamilisha biashara hii ya utumwa[ mahari ] visiwanye wazazi wa pande zote mbili wakutane kwa pamoja na kukusanya fedha ua mali hizo kwa pande zote mbili na kuwa changia watoto wao fedha za kuanzia maisha yao kitu ambacho kitakuwa msaada kwao na kwa maisha yao.

Maswali:
1. Kwa nini dunia ipo kimya kuhusu komaa kwa biashara hii ya utumwa ya kuuza watu kwa kigezo cha tamaduni ?

2. Licha ya kuwa wanawake ndio waathirika wakuu wa biashara hii ya utumwa iitwayo mahari, kwa nini wame likalia kimya swala hili ?

3. Kwa nini wapiganiaji wakuu wa swala la usawa wa kijinsia na haki za binadamu wame likalia kimya swala hili la biashara ya utumwa linalo vunja utu wa binadamu kwa kigezo cha mahari ?

4. Je ni haki na ni sahihi mtu kuendelea kuthaminishwa kwa viwango vya kifedha au mali ?

5. Kwa nini wanawake walio wengi hawataki kuolewa bila kunuliwa ? Na hutambiana wao kwa wao kwa viwango vya kifedha au mali vilivyo tumika kuwa nunua ?

Karibuni wadau kwa michango yenu, Ila zingatieni zaidi mada husika na maswali tajwa.
Dini kwa wanafunzi mashuleni hutaki, mahari nayo kwa wanawake hutaki. Natamani nikujue
 
Mahari si utumwa, Mahari haimnunui Mtu bali mahari ni shukrani kwa Wazazi baada ya kumtunza binti akawa mwenye tabia njema hadi ukapenda kumuoa na shukrani kwa Binti kwa kuutunza Usichana wake hadi Ndoa,

Kwa Waislam Mahari ni ya Binti yeye ndie hupanga aolewe kwa kiasi gani iwe cha fedha, madini au kitu kama Masahafu, n.k,

Kwa Makabila kila Moja lina utaratibu wake lakini pia Mahari inamuheshimisha Binti huko aendako wasidhani ameokotwa tu bali ametolewa kwa Wazazi wake na ukakabidhiwa akiwa mzima mwenye Afya sasa wewe nenda kamfuje Binti wa watu kwa kisingizio Umemnunua ndio utajua kilichomtoa Kanga manyoya ni nini.
 
Mahari si utumwa, Mahari haimnunui Mtu bali mahari ni shukrani kwa Wazazi baada ya kumtunza binti akawa mwenye tabia njema hadi ukapenda kumuoa na shukrani kwa Binti kwa kuutunza Usichana wake hadi Ndoa,

Kwa Waislam Mahari ni ya Binti yeye ndie hupanga aolewe kwa kiasi gani iwe cha fedha, madini au kitu kama Masahafu, n.k,

Kwa Makabila kila Moja lina utaratibu wake lakini pia Mahari inamuheshimisha Binti huko aendako wasidhani ameokotwa tu bali ametolewa kwa Wazazi wake na ukakabidhiwa akiwa mzima mwenye Afya sasa wewe nenda kamfuje Binti wa watu kwa kisingizio Umemnunua ndio utajua kilichomtoa Kanga manyoya ni nini.
Mwili wa mtu sio zawadi mpaka iletewe mahari, mwanamke kufurahia mahari ni kuto uthamini utu wake.
 
Peleka Mbuzi wa watu huko acha kulialia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Njaa ni hatari sana kwa afya ukiwa nayo, usiombee yakukute Ndugu yangu [emoji847]
Mleta mada aombe Mungu saba amuondolee umaskini

Kwa mawazo yangu nashauri wanaume wote malofa hawatakiwi kuoa waende kuwa mapadri kanisa katoliki mambo ya kuoa na kuliipa mahali wawachie wenye uwezo wasio na manung'uniko yeyote ya mahari

Mahari yanahusu wenye nacho mleta mada kama huna nenda kanisa katoliki lolote lililo karibu na wewe uwaombe kuwa unataka kuwa padri au Bruda

Ya kuoa achana nayo utadaiwa mahari ambayo kwa ulofa wako huna
 
Mleta mada aombe Mungu saba amuondolee umaskini

Kwa mawazo yangu nashauri wanaume wote malofa hawatakiwi kuoa waende kuwa mapadri kanisa katoliki mambo ya kuoa na kuliipa mahali wawachie wenye uwezo wasio na manung'uniko yeyote ya mahari

Mahari yanahusu wenye nacho mleta mada kama huna nenda kanisa katoliki lolote lililo karibu na wewe uwaombe kuwa unataka kuwa padri au Bruda

Ya kuoa achana nayo utadaiwa mahari ambayo kwa ulofa wako huna
Jitahidi kukuza uwezo wako wa kupambanua mambo, usichukulie kila jambo ni kasumba hata kama linajenga tafasiri isiyo sahihi ndani ya jamii.
 
Jitahidi kukuza uwezo wako wa kupambanua mambo, usichukulie kila jambo ni kasumba hata kama linajenga tafasiri isiyo sahihi ndani ya jamii.
Mahari ni kipimo kama muoaji ana uwezo wa kutunza huyo anaoa

Mahari ni interview ya kwenye kuoa huna kawe padri ili usije fanya mke akaushia kuwa changudoa akajiuza mabarabarani sababu kaolewa na lofa asiye na mbele wala nyuma

Ushauri wangu mabinti heri wake bola kuolewa kuliko kuolewa na lofa ambaye hata uwezo wa kulipa mahari katajiwa hana

Mwanaume wa ukweli suo tu kuwa rungu lililo ndani ya chupi katikati ya mapaja yake

Mwanaume ni uwezo ukiwemo uwezo wa kulipa mahari iwe kubwa au ndogo
 
Toa mahari mkuu, acha kulialia
Sahihi

Lofa kama hana hela ya mahari adhibiti nyege zake apambane hadi apate pesa za mahari ndio are

Lofa kidume hatakiwi kuoa ajenge kwanza uwezo wa kipesa
 
Habari za sasa wanachama wa Jamiiforums natumai wote ni wazima wa afya, nilikuwa na jambo lini kereketalo moyoni mwangu lihitwalo “MAHARI”

Nilikuwa na tatizo na huu utamaduni ulio zoeleka hapa dunia mpaka kukomaa wa malipo ya kifedha/mali kwa mwanaume/mwanamke ili kuweza kukidhi vigezo vya kuoa au kuolewa.

Mahari ni kitendo kinacho shusha utu wa watu hapa duniani kwa wake na kwa waume hauna tofauti na biashara ya utumwa iliyo kuwa imemea hapa duniani Karne za 19 kurudi karne nyuma iliyo husisha kununua watu walio thaminishwa kwa viwango mbalimbali vya kifedha na kimali kutokana na maumbile yao na uwezo wao wa kinguvu.

Duniani mpaka sasa kwa asilimia kubwa watoto wa kike wana thaminishwa kama bidhaa sokoni kwa kigezo cha mahari kama utamaduni kitu ambacho kinavunja utu wa mtu kwa kuwa mtu hawezi kuthaminishwa kwa kiwango chochote kile cha fedha au mali.

Sasa wazazi wameshikwa na viburi vya kitamaduni za kitumwa kwa kuwa thaminisha wanao kutokana na tabia nzuri walizo nazo wanao au uzuri wa rangi/ maumbile ya wanao na kutaja viwango mbali mbali vya kifedha au mali mfano [ Mzazi anasema“ hauwezi kuoa mwanangu bila million 5-10 au bila ng'ombe 10-2 ]

Huu utamaduni wa mahari ulio mbaya unao vunja utu wa watu hapa dunia umekaliwa kimya sana na dunia tofauti na tamaduni nyingine kama ukeketaji, ndoa za utotoni, biashara ya utumwa wakati wa ukoloni n.k hizi ni baadhi ya tamaduni zilizo pigiwa kelele na dunia mpaka kukoma nyingine kupungua kwa kasi sana hapa duniani.

Ushauri binafsi: Kwa nini fedha/mali zinazo tumika kukamilisha biashara hii ya utumwa[ mahari ] visiwanye wazazi wa pande zote mbili wakutane kwa pamoja na kukusanya fedha ua mali hizo kwa pande zote mbili na kuwa changia watoto wao fedha za kuanzia maisha yao kitu ambacho kitakuwa msaada kwao na kwa maisha yao.

Maswali:
1. Kwa nini dunia ipo kimya kuhusu komaa kwa biashara hii ya utumwa ya kuuza watu kwa kigezo cha tamaduni ?

2. Licha ya kuwa wanawake ndio waathirika wakuu wa biashara hii ya utumwa iitwayo mahari, kwa nini wame likalia kimya swala hili ?

3. Kwa nini wapiganiaji wakuu wa swala la usawa wa kijinsia na haki za binadamu wame likalia kimya swala hili la biashara ya utumwa linalo vunja utu wa binadamu kwa kigezo cha mahari ?

4. Je ni haki na ni sahihi mtu kuendelea kuthaminishwa kwa viwango vya kifedha au mali ?

5. Kwa nini wanawake walio wengi hawataki kuolewa bila kunuliwa ? Na hutambiana wao kwa wao kwa viwango vya kifedha au mali vilivyo tumika kuwa nunua ?

Karibuni wadau kwa michango yenu, Ila zingatieni zaidi mada husika na maswali tajwa.
Kama wewe ni mwanamume upo kwenye kundi lijulikanalo kama EFFEMINATE. Kifupi wanaume tunasema MAN DOWN!!
 
Habari za sasa wanachama wa Jamiiforums natumai wote ni wazima wa afya, nilikuwa na jambo lini kereketalo moyoni mwangu lihitwalo “MAHARI”

Nilikuwa na tatizo na huu utamaduni ulio zoeleka hapa dunia mpaka kukomaa wa malipo ya kifedha/mali kwa mwanaume/mwanamke ili kuweza kukidhi vigezo vya kuoa au kuolewa.

Mahari ni kitendo kinacho shusha utu wa watu hapa duniani kwa wake na kwa waume hauna tofauti na biashara ya utumwa iliyo kuwa imemea hapa duniani Karne za 19 kurudi karne nyuma iliyo husisha kununua watu walio thaminishwa kwa viwango mbalimbali vya kifedha na kimali kutokana na maumbile yao na uwezo wao wa kinguvu.

Duniani mpaka sasa kwa asilimia kubwa watoto wa kike wana thaminishwa kama bidhaa sokoni kwa kigezo cha mahari kama utamaduni kitu ambacho kinavunja utu wa mtu kwa kuwa mtu hawezi kuthaminishwa kwa kiwango chochote kile cha fedha au mali.

Sasa wazazi wameshikwa na viburi vya kitamaduni za kitumwa kwa kuwa thaminisha wanao kutokana na tabia nzuri walizo nazo wanao au uzuri wa rangi/ maumbile ya wanao na kutaja viwango mbali mbali vya kifedha au mali mfano [ Mzazi anasema“ hauwezi kuoa mwanangu bila million 5-10 au bila ng'ombe 10-2 ]

Huu utamaduni wa mahari ulio mbaya unao vunja utu wa watu hapa dunia umekaliwa kimya sana na dunia tofauti na tamaduni nyingine kama ukeketaji, ndoa za utotoni, biashara ya utumwa wakati wa ukoloni n.k hizi ni baadhi ya tamaduni zilizo pigiwa kelele na dunia mpaka kukoma nyingine kupungua kwa kasi sana hapa duniani.

Ushauri binafsi: Kwa nini fedha/mali zinazo tumika kukamilisha biashara hii ya utumwa[ mahari ] visiwanye wazazi wa pande zote mbili wakutane kwa pamoja na kukusanya fedha ua mali hizo kwa pande zote mbili na kuwa changia watoto wao fedha za kuanzia maisha yao kitu ambacho kitakuwa msaada kwao na kwa maisha yao.

Maswali:
1. Kwa nini dunia ipo kimya kuhusu komaa kwa biashara hii ya utumwa ya kuuza watu kwa kigezo cha tamaduni ?

2. Licha ya kuwa wanawake ndio waathirika wakuu wa biashara hii ya utumwa iitwayo mahari, kwa nini wame likalia kimya swala hili ?

3. Kwa nini wapiganiaji wakuu wa swala la usawa wa kijinsia na haki za binadamu wame likalia kimya swala hili la biashara ya utumwa linalo vunja utu wa binadamu kwa kigezo cha mahari ?

4. Je ni haki na ni sahihi mtu kuendelea kuthaminishwa kwa viwango vya kifedha au mali ?

5. Kwa nini wanawake walio wengi hawataki kuolewa bila kunuliwa ? Na hutambiana wao kwa wao kwa viwango vya kifedha au mali vilivyo tumika kuwa nunua ?

Karibuni wadau kwa michango yenu, Ila zingatieni zaidi mada husika na maswali tajwa.
Soma hapo uelimike:

 
Kama wewe ni mwanamume upo kwenye kundi lijulikanalo kama EFFEMINATE. Kifupi wanaume tunasema MAN DOWN!!
Jikite zaidi kwenye mada, karibu tena kwa hoja zako.
 
Lipa mzeiya acha mbambambaaa,kama tu mahari inakushinda utaweza kutunza familia kweli weye?
 
Lipa mzeiya acha mbambambaaa,kama tu mahari inakushinda utaweza kutunza familia kweli weye?
Andiko halizungumzii kushindwa kulipa kwa mahari, tuzingatie andiko.

Karibu kwa maoni yako ndugu.
 
Andiko halizungumzii kushindwa kulipa kwa mahari, tuzingatie andiko.

Karibu kwa maoni yako ndugu.
Ukiwa na akili za kuvukia lami tu huwezi ng'amua tulichoking'amua sisi wazee wa Cuba
 
Back
Top Bottom