Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii changamoto kubwa sana kwenye jamii, sema ndivyo sasa jamii imevaa kitambaa cheusi juu ya hili swala.Hapo bado hujawaudumia ndugu wa mkeo, lini tutapiga hatua kiuchumi?
Ndoa ni utumwa?Basi tulipaswa pia kuacha mababu na mabibi zetu waendelee kutolewa zawadi kwa mabwana watumwa mpaka nasi pia tunge tolewa hiyo zawadi unayo isema si ndivyo ?
Mambo ya Imani bora mlivyosema myaache maana mijadala yake Huwa ni mirefu especially inapotokea mjadala kati ya mtu mwenye Imani husika aliyefunzwa mambo ya Dini na kugraduate kwenye hizo issue na mtu/msela wa kitaa ambaye hana Imani na hajafunzwa kokote pale ila yeye anasoma maandiko na kutafsiri vile anavyoona sawa na yupo specifically kwaajili ya kumkosoa mwezake mwenye Imani.Unaamini mwanamke mzinifu anapaswa kupigwa mawe mpaka kufa ? Na wanawake hawapaswi kuongea chochote kile ndani ya nyumba zenu za ibada bali wakawaulize wanaume zao majumbani kwao ?
Nisinge penda sana tuanzishe mjadala wowote wa kidini lakini kwa hayo machache wenda yata fungua fahamu zako kidogo.
Sitegemee kuona mwana mama akiunga mkono utoaji wa mahari wa kifedha kitu ambacho ni mfanano na mtu kwenda kununua nyanya sokoni, sifikiri kama binadamu amekosa utu kiasi hiki mpaka kufananishwa na bidhaa za sokoni.
Karibu kwa hoja ndugu
Mahari ni zawadi, jamii nyingine mwanamke ndo anatoa, labda ukipata wewe hutoona shida. Kuulizana kiasi sio shida kwani ni kawaida kumuuliza mtu umnunulie zawadi gani, shida ladba ni kukataa kutoa mke wakati mume hana uwezo na kiasi kilichotajwa ndo inageuka biashara 🥴Ndoa haiwezi kutafisirika utumwa kama haijatumia kiunganishio cha mahari ila kama imefanya kiunganishio cha mahari hio tayari ina kuwa biashara ya utumwa imefanyika hapo.
Brother ulishawahi kusikia kitu kinaitwa PURPOSE au kwa kiswasili tunaita LENGO au DHUMUNI ?Mababu zetu na mabibi zetu walio nunuliwa kipindi Cha utumwa kwa vipande vya fedha/mali wali heshimishwa na wazungu na waarabu si ndivyo mkuu unataka kumaanisha ?
Mantiki ni ile ile Nonotu kajibu vizuri kuhusu dhumuni 🥴Tuzingatie mada husika kwanza hilo la rambi rambi nalo linaweza kupatiwa muda wake wakati mwingine.
[emoji294][emoji294][emoji294][emoji294][emoji294][emoji294]Unaamini mwanamke mzinifu anapaswa kupigwa mawe mpaka kufa ? Na wanawake hawapaswi kuongea chochote kile ndani ya nyumba zenu za ibada bali wakawaulize wanaume zao majumbani kwao ?
Nisinge penda sana tuanzishe mjadala wowote wa kidini lakini kwa hayo machache wenda yata fungua fahamu zako kidogo.
Sitegemee kuona mwana mama akiunga mkono utoaji wa mahari wa kifedha kitu ambacho ni mfanano na mtu kwenda kununua nyanya sokoni, sifikiri kama binadamu amekosa utu kiasi hiki mpaka kufananishwa na bidhaa za sokoni.
Karibu kwa hoja ndugu
Nakubaliana naweweUnaamini mwanamke mzinifu anapaswa kupigwa mawe mpaka kufa ? Na wanawake hawapaswi kuongea chochote kile ndani ya nyumba zenu za ibada bali wakawaulize wanaume zao majumbani kwao ?
Nisinge penda sana tuanzishe mjadala wowote wa kidini lakini kwa hayo machache wenda yata fungua fahamu zako kidogo.
Sitegemee kuona mwana mama akiunga mkono utoaji wa mahari wa kifedha kitu ambacho ni mfanano na mtu kwenda kununua nyanya sokoni, sifikiri kama binadamu amekosa utu kiasi hiki mpaka kufananishwa na bidhaa za sokoni.
Karibu kwa hoja ndugu
Kweli ndugu.Mambo ya Imani bora mlivyosema myaache maana mijadala yake Huwa ni mirefu especially inapotokea mjadala kati ya mtu mwenye Imani husika aliyefunzwa mambo ya Dini na kugraduate kwenye hizo issue na mtu/msela wa kitaa ambaye hana Imani na hajafunzwa kokote pale ila yeye anasoma maandiko na kutafsiri vile anavyoona sawa na yupo specifically kwaajili ya kumkosoa mwezake mwenye Imani.
Hamuwezi fikia muafaka. Unakuta huyu anaamini hivi na yule analazimsha mwezake aamini vile anavyoona yeye Iko sawa. Yaani ni vurugu mechi.
Sio kwamba siungi tumkono mwanamke kutolewa mahari pia hata kwa wanaume wanao tolewa mahari napo siungi mkono.Mahari ni zawadi, jamii nyingine mwanamke ndo anatoa, labda ukipata wewe hutoona shida. Kuulizana kiasi sio shida kwani ni kawaida kumuuliza mtu umnunulie zawadi gani, shida ladba ni kukataa kutoa mke wakati mume hana uwezo na kiasi kilichotajwa ndo inageuka biashara 🥴
We utakuwa na wivu si bure 🥴 wacha mabinti watolewe mahari kuwe na shamra shamra nyumbaniSio kwamba siungi tumkono mwanamke kutolewa mahari pia hata kwa wanaume wanao tolewa mahari napo siungi mkono.
Huu ni udhalilishaji wa utu wa mwanadamu kutafsiriwa kama bidhaa sokoni na wala sio zawadi, utu wa mwanadamu haupaswi kufananishwa na chochote kile.