Mahari ni biashara ya utumwa. Kwanini dunia ipo kimya?

Mahari ni biashara ya utumwa. Kwanini dunia ipo kimya?

ulieanzisha uzi popote ulipo kunywa soda 5 nakuja kulipa naisi tukipata watu 10 kati ya 100 wenye mawazo km wewe hskika taifa litasonga mbele
Ni huruma wanaume kinawauma kutoa kitu kwa wake zao cjui ndo 50 50, kazi kwelikweli 🥴
 
Brother ulishawahi kusikia kitu kinaitwa PURPOSE au kwa kiswasili tunaita LENGO au DHUMUNI ?

Unajuwa pesa inaweza kuwa sadaka, nauli, ada, rushwa, hongo au mshahara, yaani inategemea tu, imetumika kwa LENGO Gani ?

Swala la mahari huenda wewe ukawa unalielewa tofauti na vile linavyopaswa kueleweka au inawezekana kwenye jamii yenu au ukoo wenu au tamaduni zenu au Imani au Dini yako ikawa inafanya mambo tofauti na wengine ndiyo maana ukawa na unaelewa tofauti.

Ni Iko hivi,katika tamaduni na Imani au Dini nyingi duniani mwanaume ni kiongizi wa familia na huu uongozi unakuja na majukumu ambayo yanamtaka mwanaume kuwa provider na protector wa familia.

Kwenye kumuasses mwanaume kama anauwezo wa kutekeleza hayo majukumu yake kila tamaduni,Imani au Dini Zina taratibu zake yapo makabila ambayo yalitaka muoaji ( mwanaume ) akaue Simba Ili kuonesha uweza na utayati wake kwenye kupenda,kuhudumia na kutunza familia to the point atakuwa tayari kujisacrice for the sake of his family especially his wife mfano wamasai walikuwa wanafanya hivyo.

Kuna jamaa kule juu kakuelezea namna ambavyo wachaga wanahitaji ng'ombe and the list goes on and on.

Sasa hii sio biashara ya kuuziana watu maana wanaotoa pesa na wanaoenda kuua simba, pia wanaopeleka cherehani na vitu kadha wa kadha, Hivi vitu havimaanishi kuwa wanauziana watu(wanawake) ni inategemea tu na malengo Yao ni nini, Sasa huwezi kuapply mtazamo wako kwenye kila tamaduni ilihali hufahamu DHUMUNI la hizo tamaduni kufanya hivyo ni nini.


ZINGATIA; Pesa inaweza kuwa SADAKA, ADA, NAULI,H HONGO, RUSHWA au MSHAHARA inategemea tu imetumika kwa malengo gani na huwezi lazimisha kila mtu anayetoa pesa awe ametoa rushwa ilihali DHUMUNI la kutoa pesa hulijuwi.
Kwenye tamaduni za hapo kale iliaminika kuwa ili mwanamke aweze kutambulika kuwa mke bora ni lazima akeketwe na jamii ikaaminishana hivyo kuwa ukejetaji ni jambo zuri la kimila pasiwo wao kujali kuhusu utu wa yule anaye fanyiwa hicho kitendo utu waje upo wapi ?, hawa kujali kuhusu maafa yampatayo mwanamke wakati wa kushiriki tendo la ndoa au wakati wa kujifungua walicho jali wao ni kutimiza mila zao.

Ila jamii ilipo starabika na kujifunza zaidi kuhusu ubaya wa ukeketaji na ilianza kubadilika na kuachana na hiyo mila potofu inayo shusha utu wa mtendewaji .

Mahari ni kama biashara ya utumwa iliyo shamiri maelfu na maelfu ya miaka na wala haikuanza tu wakati wa ukoloni ili anza miaka mingi sana hata vitabu vya kihistoria na kiimani imeeleza hilo, lakini kadiri jamii ilivyo kuwa ina starabika ilisimama kwa pamoja na Kuipiga vita biashara hiyo

Lakini sasa biashara ya utumwa ina endelezwa kwa mgogo wa mahari ambao jamii huamini kuwa ni shukrani, zawadi, upendo, kujali kila aina ya vilemba vyema Ina vishwa ili kuticha ubaya wake kwa utu wa mwanadamu.
 
Mahari ni kipimo (testing) ya wewe kuweza kumudu huyo unaehitaji kuishi nae km Mahari inakushinda je huyo unaehitaji kuishi nae utamuweza? Wazee walioanzisha mahari hawakua mafala
Ukeketaji ulikuwa ni kipimo Cha mwanamke bora na shupavu,je walioanzisha mila hii hawakuwa na uelewa mpana juu ya wafanyayo ?

Kwa nini kipimo cha kuweza kumudu kuendesha familia iwe ni ununuzi wa binadamu mwenzako na isiwe kitu kingine ? Na kwa nini iaminike kuwa kuweza kukamilisha zoezi hilo la ulipaji wa mahari tayari utakuwa na uwezo wa kuhudumia familia ?
 
Ukeketaji ulikuwa ni kipimo Cha mwanamke bora na shupavu,je walioanzisha mila hii hawakuwa na uelewa mpana juu ya wafanyayo ?
Malaya wengi hawajakeketwa, kile kiarage kikichezacheza pale mbele mda wote mwanamke anawaza kutombwa tu nothing else, usidharau tamaduni, kwa sasa umalaya umeshika hatamu baada ya FGM kupigwa ban
 
We utakuwa na wivu si bure 🥴 wacha mabinti watolewe mahari kuwe na shamra shamra nyumbani
Wacha watoto kwa pamoja wachangiwe pesa za kuanzia maisha yao na sio pesa za kuendeleza biashara ya utumwa.
 
kila kitu wanasingizia biblia
Tunapaswa kuweka utu mbele na matumizi makubwa akili kwenye mambo mbalimbali na sio kusubiri kutafuniwa kila jambo na sisi kubaki kumeza tu hii sio sahihi kwa ustawi ulio bora wa jamii.
 
Ni huruma wanaume kinawauma kutoa kitu kwa wake zao cjui ndo 50 50, kazi kwelikweli 🥴
Kinacho uma zaidi ni binadamu utu wake kushindwa kuthaminiwa na kufananishwa na fedha, mali, ngo'mbe n.k
 
Malaya wengi hawajakeketwa, kile kiarage kikichezacheza pale mbele mda wote mwanamke anawaza kutombwa tu nothing else, usidharau tamaduni, kwa sasa umalaya umeshika hatamu baada ya FGM kupigwa ban
Kwa hiyo upo tayari kuona ukeketaji ukirudishwa na jamii kuendelea na huo utaratibu wa watoto wetu wa kike kuendelea kufanyiwa hicho kitendo ?

Ndugu umejifunza kweli matokeo hasi ya hicho kitendo kwa watoto wetu wa kike ?
 
Mm kwa upande wang naona mahar ni kama shukran kwa wazazi kwa kukutunzia bint yao kwa upand wang si tatizo ila tatizo ni tamaa za wazazi kwenye mahar wanachukulia kama mtaji utasikia koti la babu kanga ya bibi na ukute ni marehem tayar
 
Mm kwa upande wang naona mahar ni kama shukran kwa wazazi kwa kukutunzia bint yao kwa upand wang si tatizo ila tatizo ni tamaa za wazazi kwenye mahar wanachukulia kama mtaji utasikia koti la babu kanga ya bibi na ukute ni marehem tayar
 
Kwa hiyo imefika hatua binadamu utu wake kufananishwa na ng'ombe si ndivyo ?
Unajua nini mzee, ngoja nilielezee hili from Islamic point of view,,

Uislam unafundisha kwamba,,mahali ni zawadi unayompa mwanamke unayemuoa,, nielewe kwanza hapo ni ZAWADI

Zawadi ya aina gani ni huyo mwanamke ataitaja Kwa kuzingatia upendo wenu na wala sio utajiri wako, Kwa maana mahali ni mali ya mwanamke ambaye kimsingi mkishaona ni Mali yenu wote.

Kwa mfano anaweza akukuambia mahali yake anaitaji tu "Msaafu" just Msaafu kile kitabu.

Kwahiyo yale mambo wajomba na mashangazi kukaa kujadili mahali ya binti hayo mambo tumejitungia Kwa tamaa zetu wenyewe

Familia ilibidi imuache binti mwenyew aamua anataka nini au kiasi gani cha fedha kulingana na ananvyoujua uchumi wa mpenzi wake

Kinyume na hapo ni tamaaa tu, na cha ajabu zaidi familia zinazijiweza kiuchumi ndio huwa zinataka fedha nyingi kama mahali ya binti yao, wanahela ni wasomi lakin wanamfanyia biashara binti yao.

Haya mahaangaiko yote duniani ni mawili,,hatufati maelezo ya mungu au tunafanya tuliyokatazwa na mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm kwa upande wang naona mahar ni kama shukran kwa wazazi kwa kukutunzia bint yao kwa upand wang si tatizo ila tatizo ni tamaa za wazazi kwenye mahar wanachukulia kama mtaji utasikia koti la babu kanga ya bibi na ukute ni marehem tayar
Sawa, Ila inatakiwa kuupa nafasi zaidi utu wa binadamu una dharilishwa kupitia muendelezo wa biashara hii ya utumwa kupitia mahari.
 
Habari za sasa wanachama wa Jamiiforums natumai wote ni wazima wa afya, nilikuwa na jambo lini kereketalo moyoni mwangu lihitwalo “MAHARI”

 
Nilikuwa na tatizo na huu utamaduni ulio zoeleka hapa dunia mpaka kukomaa wa malipo ya kifedha/mali kwa mwanaume/mwanamke ili kuweza kukidhi vigezo vya kuoa au kuolewa.

Mahari ni kitendo kinacho shusha utu wa watu hapa duniani kwa wake na kwa waume hauna tofauti na biashara ya utumwa iliyo kuwa imemea hapa duniani Karne za 19 kurudi karne nyuma iliyo husisha kununua watu walio thaminishwa kwa viwango mbalimbali vya kifedha na kimali kutokana na maumbile yao na uwezo wao wa kinguvu.

Duniani mpaka sasa kwa asilimia kubwa watoto wa kike wana thaminishwa kama bidhaa sokoni kwa kigezo cha mahari kama utamaduni kitu ambacho kinavunja utu wa mtu kwa kuwa mtu hawezi kuthaminishwa kwa kiwango chochote kile cha fedha au mali.

Sasa wazazi wameshikwa na viburi vya kitamaduni za kitumwa kwa kuwa thaminisha wanao kutokana na tabia nzuri walizo nazo wanao au uzuri wa rangi/ maumbile ya wanao na kutaja viwango mbali mbali vya kifedha au mali mfano [ Mzazi anasema“ hauwezi kuoa mwanangu bila million 5-10 au bila ng'ombe 10-2 ]

Huu utamaduni wa mahari ulio mbaya unao vunja utu wa watu hapa dunia umekaliwa kimya sana na dunia tofauti na tamaduni nyingine kama ukeketaji, ndoa za utotoni, biashara ya utumwa wakati wa ukoloni n.k hizi ni baadhi ya tamaduni zilizo pigiwa kelele na dunia mpaka kukoma nyingine kupungua kwa kasi sana hapa duniani.

Ushauri binafsi: Kwa nini fedha/mali zinazo tumika kukamilisha biashara hii ya utumwa[ mahari ] visiwanye wazazi wa pande zote mbili wakutane kwa pamoja na kukusanya fedha ua mali hizo kwa pande zote mbili na kuwa changia watoto wao fedha za kuanzia maisha yao kitu ambacho kitakuwa msaada kwao na kwa maisha yao.

Maswali:
1. Kwa nini dunia ipo kimya kuhusu komaa kwa biashara hii ya utumwa ya kuuza watu kwa kigezo cha tamaduni ?

2. Licha ya kuwa wanawake ndio waathirika wakuu wa biashara hii ya utumwa iitwayo mahari, kwa nini wame likalia kimya swala hili ?

3. Kwa nini wapiganiaji wakuu wa swala la usawa wa kijinsia na haki za binadamu wame likalia kimya swala hili la biashara ya utumwa linalo vunja utu wa binadamu kwa kigezo cha mahari ?

4. Je ni haki na ni sahihi mtu kuendelea kuthaminishwa kwa viwango vya kifedha au mali ?

5. Kwa nini wanawake walio wengi hawataki kuolewa bila kunuliwa ? Na hutambiana wao kwa wao kwa viwango vya kifedha au mali vilivyo tumika kuwa nunua ?

Karibuni wadau kwa michango yenu, Ila zingatieni zaidi mada husika na maswali tajwa.
 
Unajua nini mzee, ngoja nilielezee hili from Islamic point of view,,

Uislam unafundisha kwamba,,mahali ni zawadi unayompa mwanamke unayemuoa,, nielewe kwanza hapo ni ZAWADI

Zawadi ya aina gani ni huyo mwanamke ataitaja Kwa kuzingatia upendo wenu na wala sio utajiri wako, Kwa maana mahali ni mali ya mwanamke ambaye kimsingi mkishaona ni Mali yenu wote.

Kwa mfano anaweza akukuambia mahali yake anaitaji tu "Msaafu" just Msaafu kile kitabu.

Kwahiyo yale mambo wajomba na mashangazi kukaa kujadili mahali ya binti hayo mambo tumejitungia Kwa tamaa zetu wenyewe

Familia ilibidi imuache binti mwenyew aamua anataka nini au kiasi gani cha fedha kulingana na ananvyoujua uchumi wa mpenzi wake

Kinyume na hapo ni tamaaa tu, na cha ajabu zaidi familia zinazijiweza kiuchumi ndio huwa zinataka fedha nyingi kama mahali ya binti yao, wanahela ni wasomi lakin wanamfanyia biashara binti yao.

Haya mahaangaiko yote duniani ni mawili,,hatufati maelezo ya mungu au tunafanya tuliyokatazwa na mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa mchango wako ndugu.
 
Back
Top Bottom