zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Mkuu nadhani mtoa mada Hana shida na mahari ila Ile "process" inakua kama slave trade!! Kuna familia naijua walikomaa wapewe million 8 wakati familia zote mbili ni maisha duni. Jamaa mpaka analilia wajomba wampunguzie eti ndio heshima??Mahali Ni heshima,
Heshima kwa mkeo,
Heshima kwa wakweo,
Heshima kwa wazazi wako,
Mahali Ni ishara ya uanaume.
Uwezo wa kua Kichwa Cha familia
Huwez kujilipia mahali,kataa ndoa usioe
Kwanini isiwe tu discretion ya anayeoa? Kwamba Ni zawadi tu kama appreciation sio Tena majadiliano ya kushushana bei.
Mimi binafsi naona Ile "process" inadhalilisha sana Binti.