Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ungana nami tuanzishe letu,
,hii nifursa changamka
hivi yesu alikua tajiri?
Kama wana Devote their life time.. entire day kuhudumia kanisa kupunguza vibaka,wazinzi na kufundisha watu kumjua Mungu, they Deserve More than that...
Anayeona ni rahisi kukusanya sadaka za waumini aanzishe kanisa lake aone kama atafikisha hata waumini kumi.
Hawa jamaa unafikiri wanaelewa wao wanamjua Yesu ni yule wa kwenye picha ya maigizo tehetehe Yesu Kristo wa Nazarethi hakuhitaji cash maana alikuwa akiita chochote akitakacho kinatokea kwenye njaa akaomba samaki na mikate wakala maelfu mpaka kusaza,hakuhitaji meli maana juu ya maji alitembea,hakuhitaji ndege wala gari ndo maana ilipofika saa ya kwenda Mbinguni alipaa tu.
na ndiyo mwanaume pekee aliyekufa akafufuka na atarudi tena wengine wote udongo umeshawatafuna na hata mimi utanitafuna ila huyu mwanaume udongo wenyewe ulimtapika.
...LOOOH..!! nimeipenda sana hii, hakika Mungu wetu anabariki, hongereni maaskofu kwa kuonyesha kwa vitendo kazi za Mungu aliye hai...
Asante
U made my day mr
Masheikh hawana utajiri kabisa hakuna Sheikh Tajiri katika Uislam ni Dini kutafuta kesho pepo kwa wenzetu wakristo Pepo yao ipo hapa hapa Duniani. Kama alivyosema Bwana YesuKupata mali siyo dhambi maana neno lanena Utafuteni kwanza Ufalme wa Mungu na mengine yote mtazidishiwa.
Na wala umaskini siyo utakatifu.Vipi hebu tupe na data za Mashehe.
Nenda tena kaisome Biblia tena inaonyesha wewe huijuwi kuisoma vizuri Biblia Nabii Ibrahimu hakuwa ni Myahudi wala Nabii Suleyman hakuwa Myahudi wala Mkristo hawa wawili walikuwepo kabla ya kuja Bwana Yesu. Kaisome vizuri Biblia usikurupe kusema maneno huna uhakika nayo.Hapa Yesu Kristo wa Nazarethi Bwana wa Mabwana na Mfalme wa Wafalme alimaanisha ni vigumu sana wenye kutegemea mali kuingia kwenye Ufalme wa Mungu.Mbona Ibrahimua likuwa tajiri wa fedha,dhahabu nk.,Mfalme Suelemani aliyekuwa tajiri na hatatokea tajiri kama huyo yeye hata vyombo vya kulia ilikuwa dhahabu.
Huwa ninapenda kusema ukweli ingawa wewe utachukia lakini ukweli nitasema mpaka siku yangu ya mwisho.Sema wewe Mzizimkuu ulichopost sio ulichotaka una kitu cha ziada kimnakukereketa na kita kuuawa usipokitoa nimeshaangalia post zako inapokuja suala la religion.
Masheikh hawana utajiri kabisa hakuna Sheikh Tajiri katika Uislam ni Dini kutafuta kesho pepo kwa wenzetu wakristo Pepo yao ipo hapa hapa Duniani. Kama alivyosema Bwana Yesu
Matayo 19:23-24
Hatari Za Utajiri
23 Kisha Yesu akawaambia wanafunzi, "Nawaambieni kweli, itakuwa vigumu kwa mtu tajiri kuingia katika Ufalme wa mbinguni.24 Tena nawaambieni, ni rahisi zaidi kwa ngamia kupita katika tundu la sindano kuliko mtu tajiri kuingia katika Ufalme wa mbinguni."
Nenda tena kaisome Biblia tena inaonyesha wewe huijuwi kuisoma vizuri Biblia Nabii Ibrahimu hakuwa ni Myahudi wala Nabii Suleyman hakuwa Myahudi wala Mkristo hawa wawili walikuwepo kabla ya kuja Bwana Yesu. Kaisome vizuri Biblia usikurupe kusema maneno huna uhakika nayo.
Nyie ni wadaku kweli,
mnashangaa hivyo vijumba vidogo vidogo hii inaonyesha kuwa Watanzania
wengi wana fikra za kimaskini na wivu. Mbona hamshangai maghorofa
yaliyojengwa MASAKI, MIKOCHENI, MBEZI BEACH nk, tafuteni pesa nanyi
mkajenge kama hizo au nanyi kaanzishe makanisa mpate sadaka
hizo.
Hata mimi sijasema walikuwepo kabla ya Yesu duniani nilitaka kukuonyesha jinsi Mungu wa Mbingu na Nchi anabariki,nani alikuambia Yesu ni kwa wayahudi hujasoma alikuja kuchukua dhambi za ulimwengu siyo? na neema kuwageukia mataifa hujasoma?
Masheikh hawana utajiri kabisa hakuna Sheikh Tajiri katika Uislam ni Dini kutafuta kesho pepo kwa wenzetu wakristo Pepo yao ipo hapa hapa Duniani. Kama alivyosema Bwana Yesu
Matayo 19:23-24
Hatari Za Utajiri
23 Kisha Yesu akawaambia wanafunzi, Nawaambieni kweli, itakuwa vigumu kwa mtu tajiri kuingia katika Ufalme wa mbinguni.24 Tena nawaambieni, ni rahisi zaidi kwa ngamia kupita katika tundu la sindano kuliko mtu tajiri kuingia katika Ufalme wa mbinguni.
Hapo umechukua mstari 1 na biblia haina mstari mmoja wa ufalme wa mbingu na utajiri wa dunia.Sababu mbinguni hawataingia maskini tuu bwana Mzizimkavu.Utateseka duniani na mbinguni pia huendendi.Ndiyo hivyo hivyo hayo mahekalu ya maaskofu sio kigezo cha kuwa watenda dhambi.Hapo unahukumu.Huwa ninapenda kusema ukweli ingawa wewe utachukia lakini ukweli nitasema mpaka siku yangu ya mwisho.
Matayo 19:23-24
Hatari Za Utajiri
23 Kisha Yesu akawaambia wanafunzi, "Nawaambieni kweli, itakuwa vigumu kwa mtu tajiri kuingia katika Ufalme wa mbinguni.24 Tena nawaambieni, ni rahisi zaidi kwa ngamia kupita katika tundu la sindano kuliko mtu tajiri kuingia katika Ufalme wa mbinguni."