Ni aibu sana kuwa na mifumo ya KIHUNI namna hii, wanadhani Watanzania wote ni CCM?Wadogo zangu Dr.Mahera na Nyahoza mmeniangusha sana. Nia ya kukisaidia chama chetu cha CCM mnayo. Uwezo mnao. Nguvu mnazo. Kwanini hamna maarifa?...
Lissu kawachanganya mpaka wanajiuliza mbona mambo hayaendi??Wadogo zangu Dr.Mahera na Nyahoza mmeniangusha sana. Nia ya kukisaidia chama chetu cha CCM mnayo. Uwezo mnao. Nguvu mnazo. Kwanini hamna maarifa? Dr. Mahera umejitokeza mbele ya watanzania na kuhabarisha kuwa mgombea wa CHADEMA Tundu Lissu amekiuka Kanuni za Maadili ya Uchaguzi. Ukasema kuwa una nguvu na mamlaka ya kushughulika na hilo. Ukatamba kuwa tayari 'umeshamlima' Lissu barua ajitokeze mbele ya Kamati ya Taifa ya Maadili ya Uchaguzi.
Dr. Mahera ukada wa CCM na 'ushushushu' ukakuumbua. Ukakusukuma kusema visivyotakiwa kusemwa na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC inayosimamia uchaguzi husika. Ukamwaga sera za CCM na kuzikosoa waziwazi sera za Lissu. Ukakosoa na kuonesha Lissu anakosea bila ushahidi wowote wa maana zaidi ya kufokafoka. Ukashindwa kujizuia kabisa. Ukashindwa kuficha hisia zako dhidi ya Lissu huku ukimuunga mkono Dkt. Magufuli. Umeshindwa kabla ya kuanza!
Ndugu Nyahoza nawe umeningusha. Baada ya mkurugenzi wa Uchaguzi kutangaza kumwandikia barua Lissu, nawe jana ukapeleka barua kwa bodaboda CHADEMA. Ni barua ile ile ya Mkurugenzi au nawe umepandishia barua juu ya barua ili kumtinga Lissu na barua? Nawaambia ukweli, Dr. Mahera na Nyahoza hamkujipanga na kupangika. Muda huu wa kampeni, mbinu zinapaswa kuwa zilizopangika kimyakimya. Si hila za wazi kama zenu.
Hivi, Dkt. Magufuli wa CCM, tangu kuanza kwa kampeni zake, hakuwahi kuvunja Maadili ya Uchaguzi au yale ya vyama vya siasa? Mnatazamwa, mnafikiriwa. Watanzania si wajinga, nao wanaweza kutafakari na kung'amua. Kwa maneno na matendo yenu: Dr. Mahera na Nyahoza, jambo lolote dhidi ya Lissu ni batili kwakuwa mmeshaamua kabla ya kuitisha hivyo vikao vyenu.
Acheni demokrasia ichukue mkondo wake!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Mbeya, Tanzania).
KweliHii nchi ni ya ajabu sana. Mgombea ndiye aliyeteua wasimamizi na waamuzi na wanaotangaza matokeo ya uchaguzi
Hata mbuzi ambaye hana akili hawezi amini huu mfumo. ni yule tu amepungukiwa na akili na mnafiki ndiye anaamini huu mfumo.
ndo maana wengi hawapigi kura
Wakimwaga mboga tunamwaga ugali. Hakuna ujinga mwaka huuTatizo kubwa tulilonalo kwa sasa Nchi yetu ni MAGUFULI...naye anabebwa na KATIBA fake chini ya dubwana liitwalo CCM...
Mwaka huu, kama mbwai na iwe mbwai!
Mimi nashauri Lisu aachwe aropoke atakavyo maana ni sehemu ya tiba kwa yaliyomkuta. Wote tunajua hata shinda. Hivyo aachwe tutamfundisha sisi wananchi kwenye box la kura. Aachwe aendelee kuropoka kwa ajili ya kujitibu kwa yaliyomsibu.
Utamfundisha ww. Ww ni nani nchi hii uwasemee wananchi wa tanzania? Kila mtu kura yake ni siri yake mwenyewe. Usi act kama unajua kura za kila mtu
Tena hii ndio inakera maana hata wasomj pale bungen tunawaona km wajinga sasa tena huyo huyo ndio anateua na mawazir , majaji ,CAG ,Ma DC, Ma RC, Ma DEDHii nchi ni ya ajabu sana. Mgombea ndiye aliyeteua wasimamizi na waamuzi na wanaotangaza matokeo ya uchaguzi
Hata mbuzi ambaye hana akili hawezi amini huu mfumo. ni yule tu amepungukiwa na akili na mnafiki ndiye anaamini huu mfumo.
ndo maana wengi hawapigi kura
Mwaka huu hakuna kumwachia Mungu,Mungu ashafanya kazi yake ya kutupa maarifa.ugali utamwagwa 28/10Wakimwaga mbona tunamwaga ugali. Hakuna ujinga mwaka huu
Lisu ni debe tupu yule nani amuogope?
Subiri oktoba 28 utapata majibu
GREAT POST, UBARIKIWE SANA.Wadogo zangu Dr.Mahera na Nyahoza mmeniangusha sana. Nia ya kukisaidia chama chetu cha CCM mnayo. Uwezo mnao. Nguvu mnazo. Kwanini hamna maarifa? Dr. Mahera umejitokeza mbele ya watanzania na kuhabarisha kuwa mgombea wa CHADEMA Tundu Lissu amekiuka Kanuni za Maadili ya Uchaguzi. Ukasema kuwa una nguvu na mamlaka ya kushughulika na hilo. Ukatamba kuwa tayari 'umeshamlima' Lissu barua ajitokeze mbele ya Kamati ya Taifa ya Maadili ya Uchaguzi.
Dr. Mahera ukada wa CCM na 'ushushushu' ukakuumbua. Ukakusukuma kusema visivyotakiwa kusemwa na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC inayosimamia uchaguzi husika. Ukamwaga sera za CCM na kuzikosoa waziwazi sera za Lissu. Ukakosoa na kuonesha Lissu anakosea bila ushahidi wowote wa maana zaidi ya kufokafoka. Ukashindwa kujizuia kabisa. Ukashindwa kuficha hisia zako dhidi ya Lissu huku ukimuunga mkono Dkt. Magufuli. Umeshindwa kabla ya kuanza!
Ndugu Nyahoza nawe umeningusha. Baada ya mkurugenzi wa Uchaguzi kutangaza kumwandikia barua Lissu, nawe jana ukapeleka barua kwa bodaboda CHADEMA. Ni barua ile ile ya Mkurugenzi au nawe umepandishia barua juu ya barua ili kumtinga Lissu na barua? Nawaambia ukweli, Dr. Mahera na Nyahoza hamkujipanga na kupangika. Muda huu wa kampeni, mbinu zinapaswa kuwa zilizopangika kimyakimya. Si hila za wazi kama zenu.
Hivi, Dkt. Magufuli wa CCM, tangu kuanza kwa kampeni zake, hakuwahi kuvunja Maadili ya Uchaguzi au yale ya vyama vya siasa? Mnatazamwa, mnafikiriwa. Watanzania si wajinga, nao wanaweza kutafakari na kung'amua. Kwa maneno na matendo yenu: Dr. Mahera na Nyahoza, jambo lolote dhidi ya Lissu ni batili kwakuwa mmeshaamua kabla ya kuitisha hivyo vikao vyenu.
Acheni demokrasia ichukue mkondo wake!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Mbeya, Tanzania).
MAHERA ajipime ajiudhuru.Ni kiongozi asitefaa kuwapo pale tume ya uchaguzi.Yeye kama anaipenda CCM basi atumie kura yake binafsi kuipigia CCM na sio kuharibu uchaguzi
Mimi nashauri Lisu aachwe aropoke atakavyo maana ni sehemu ya tiba kwa yaliyomkuta.
Wote tunajua hata shinda. Hivyo aachwe tutamfundisha sisi wananchi kwenye box la kura.
Aachwe aendelee kuropoka kwa ajili ya kujitibu kwa yaliyomsibu.
Mimi kama mtanzaniaUnashauri aachwe wewe nani,
Acha kujimwambafai kijana,
Jikite kwenye hoja siyo hizi porojo zako.
Na hii inadhihirisha jinsi anavyowanyoosha watesi wake.na mwaka huu lazima awaache uchi.we sio wa na nchi bali mwananchi.kura ni moja tu ya kwako amigo.hata mkeo hujui atampigia nani.ila kiukweli TL ni sawa ya MAPUNYEMimi nashauri Lisu aachwe aropoke atakavyo maana ni sehemu ya tiba kwa yaliyomkuta.
Wote tunajua hata shinda. Hivyo aachwe tutamfundisha sisi wananchi kwenye box la kura.
Aachwe aendelee kuropoka kwa ajili ya kujitibu kwa yaliyomsibu.
Mgombea wetu magufuli hakubaliki, lazima tumbebe kwa kila namnaWadogo zangu Dr.Mahera na Nyahoza mmeniangusha sana. Nia ya kukisaidia chama chetu cha CCM mnayo. Uwezo mnao. Nguvu mnazo. Kwanini hamna maarifa? Dr. Mahera umejitokeza mbele ya watanzania na kuhabarisha kuwa mgombea wa CHADEMA Tundu Lissu amekiuka Kanuni za Maadili ya Uchaguzi. Ukasema kuwa una nguvu na mamlaka ya kushughulika na hilo. Ukatamba kuwa tayari 'umeshamlima' Lissu barua ajitokeze mbele ya Kamati ya Taifa ya Maadili ya Uchaguzi.
Dr. Mahera ukada wa CCM na 'ushushushu' ukakuumbua. Ukakusukuma kusema visivyotakiwa kusemwa na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC inayosimamia uchaguzi husika. Ukamwaga sera za CCM na kuzikosoa waziwazi sera za Lissu. Ukakosoa na kuonesha Lissu anakosea bila ushahidi wowote wa maana zaidi ya kufokafoka. Ukashindwa kujizuia kabisa. Ukashindwa kuficha hisia zako dhidi ya Lissu huku ukimuunga mkono Dkt. Magufuli. Umeshindwa kabla ya kuanza!
Ndugu Nyahoza nawe umeningusha. Baada ya mkurugenzi wa Uchaguzi kutangaza kumwandikia barua Lissu, nawe jana ukapeleka barua kwa bodaboda CHADEMA. Ni barua ile ile ya Mkurugenzi au nawe umepandishia barua juu ya barua ili kumtinga Lissu na barua? Nawaambia ukweli, Dr. Mahera na Nyahoza hamkujipanga na kupangika. Muda huu wa kampeni, mbinu zinapaswa kuwa zilizopangika kimyakimya. Si hila za wazi kama zenu.
Hivi, Dkt. Magufuli wa CCM, tangu kuanza kwa kampeni zake, hakuwahi kuvunja Maadili ya Uchaguzi au yale ya vyama vya siasa? Mnatazamwa, mnafikiriwa. Watanzania si wajinga, nao wanaweza kutafakari na kung'amua. Kwa maneno na matendo yenu: Dr. Mahera na Nyahoza, jambo lolote dhidi ya Lissu ni batili kwakuwa mmeshaamua kabla ya kuitisha hivyo vikao vyenu.
Acheni demokrasia ichukue mkondo wake!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Mbeya, Tanzania).
Upo sahihi ila usibeze Sana maana ukiuliza mtaani mtu mmoja mmoja unakuja ana kinyongo na serikal yake.Mimi nashauri Lisu aachwe aropoke atakavyo maana ni sehemu ya tiba kwa yaliyomkuta.
Wote tunajua hata shinda. Hivyo aachwe tutamfundisha sisi wananchi kwenye box la kura.
Aachwe aendelee kuropoka kwa ajili ya kujitibu kwa yaliyomsibu.
Hakuna mtu anaekubalika na kila mtuUpo sahihi ila usibeze Sana maana ukiuliza mtaani mtu mmoja mmoja unakuja ana kinyongo na serikal yake.
Wengine walimu kabisa nawafahamu wanasema Wana Jambo lao tar 28, wakulima, wafanyakazi serkaln na watu mtaani.
Kikubwa tuombe makusud ya Mungu yapite.
Aibu kubwa kwa Dr. Mahera. Kwa namna ambavyo alikuwa anaongea jana huwezi kumtofautisha na jinsi anavyoongea Polepole!Mkuu, nakubaliana na wewe. Hawa viongozi wanajiendesha vibaya, watanzania tunaona, wajiratibu kwakufuata mipaka yao, wapunguze mihemuko
Wanasahau kuwa kila mageuzi au mapinduzi huanzia mijini na siyo vijijini kama wanavyoamini kuwa wanamtaji wa watu wa vijijini.Wadogo zangu Dr.Mahera na Nyahoza mmeniangusha sana. Nia ya kukisaidia chama chetu cha CCM mnayo. Uwezo mnao. Nguvu mnazo. Kwanini hamna maarifa? Dr. Mahera umejitokeza mbele ya watanzania na kuhabarisha kuwa mgombea wa CHADEMA Tundu Lissu amekiuka Kanuni za Maadili ya Uchaguzi. Ukasema kuwa una nguvu na mamlaka ya kushughulika na hilo. Ukatamba kuwa tayari 'umeshamlima' Lissu barua ajitokeze mbele ya Kamati ya Taifa ya Maadili ya Uchaguzi.
Dr. Mahera ukada wa CCM na 'ushushushu' ukakuumbua. Ukakusukuma kusema visivyotakiwa kusemwa na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC inayosimamia uchaguzi husika. Ukamwaga sera za CCM na kuzikosoa waziwazi sera za Lissu. Ukakosoa na kuonesha Lissu anakosea bila ushahidi wowote wa maana zaidi ya kufokafoka. Ukashindwa kujizuia kabisa. Ukashindwa kuficha hisia zako dhidi ya Lissu huku ukimuunga mkono Dkt. Magufuli. Umeshindwa kabla ya kuanza!
Ndugu Nyahoza nawe umeningusha. Baada ya mkurugenzi wa Uchaguzi kutangaza kumwandikia barua Lissu, nawe jana ukapeleka barua kwa bodaboda CHADEMA. Ni barua ile ile ya Mkurugenzi au nawe umepandishia barua juu ya barua ili kumtinga Lissu na barua? Nawaambia ukweli, Dr. Mahera na Nyahoza hamkujipanga na kupangika. Muda huu wa kampeni, mbinu zinapaswa kuwa zilizopangika kimyakimya. Si hila za wazi kama zenu.
Hivi, Dkt. Magufuli wa CCM, tangu kuanza kwa kampeni zake, hakuwahi kuvunja Maadili ya Uchaguzi au yale ya vyama vya siasa? Mnatazamwa, mnafikiriwa. Watanzania si wajinga, nao wanaweza kutafakari na kung'amua. Kwa maneno na matendo yenu: Dr. Mahera na Nyahoza, jambo lolote dhidi ya Lissu ni batili kwakuwa mmeshaamua kabla ya kuitisha hivyo vikao vyenu.
Acheni demokrasia ichukue mkondo wake!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Mbeya, Tanzania).