Uchaguzi 2020 Mahera (NEC) na Nyahoza (Naibu Msajili wa Vyama), kwanini hamkujipanga kabla ya kuonesha sinema yenu?

Uchaguzi 2020 Mahera (NEC) na Nyahoza (Naibu Msajili wa Vyama), kwanini hamkujipanga kabla ya kuonesha sinema yenu?

Wadogo zangu Dr.Mahera na Nyahoza mmeniangusha sana. Nia ya kukisaidia chama chetu cha CCM mnayo. Uwezo mnao. Nguvu mnazo. Kwanini hamna maarifa?...
Ni aibu sana kuwa na mifumo ya KIHUNI namna hii, wanadhani Watanzania wote ni CCM?
 
Hii nchi ni ya ajabu sana. Mgombea ndiye aliyeteua wasimamizi na waamuzi na wanaotangaza matokeo ya uchaguzi
Hata mbuzi ambaye hana akili hawezi amini huu mfumo. ni yule tu amepungukiwa na akili na mnafiki ndiye anaamini huu mfumo.
ndo maana wengi hawapigi kura
 
Hii nchi ni ya ajabu sana. Mgombea ndiye aliyeteua wasimamizi na waamuzi na wanaotangaza matokeo ya uchaguzi
Hata mbuzi ambaye hana akili hawezi amini huu mfumo. ni yule tu amepungukiwa na akili na mnafiki ndiye anaamini huu mfumo.
ndo maana wengi hawapigi kura
 
Wadogo zangu Dr.Mahera na Nyahoza mmeniangusha sana. Nia ya kukisaidia chama chetu cha CCM mnayo. Uwezo mnao. Nguvu mnazo. Kwanini hamna maarifa? Dr. Mahera umejitokeza mbele ya watanzania na kuhabarisha kuwa mgombea wa CHADEMA Tundu Lissu amekiuka Kanuni za Maadili ya Uchaguzi. Ukasema kuwa una nguvu na mamlaka ya kushughulika na hilo. Ukatamba kuwa tayari 'umeshamlima' Lissu barua ajitokeze mbele ya Kamati ya Taifa ya Maadili ya Uchaguzi.

Dr. Mahera ukada wa CCM na 'ushushushu' ukakuumbua. Ukakusukuma kusema visivyotakiwa kusemwa na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC inayosimamia uchaguzi husika. Ukamwaga sera za CCM na kuzikosoa waziwazi sera za Lissu. Ukakosoa na kuonesha Lissu anakosea bila ushahidi wowote wa maana zaidi ya kufokafoka. Ukashindwa kujizuia kabisa. Ukashindwa kuficha hisia zako dhidi ya Lissu huku ukimuunga mkono Dkt. Magufuli. Umeshindwa kabla ya kuanza!

Ndugu Nyahoza nawe umeningusha. Baada ya mkurugenzi wa Uchaguzi kutangaza kumwandikia barua Lissu, nawe jana ukapeleka barua kwa bodaboda CHADEMA. Ni barua ile ile ya Mkurugenzi au nawe umepandishia barua juu ya barua ili kumtinga Lissu na barua? Nawaambia ukweli, Dr. Mahera na Nyahoza hamkujipanga na kupangika. Muda huu wa kampeni, mbinu zinapaswa kuwa zilizopangika kimyakimya. Si hila za wazi kama zenu.

Hivi, Dkt. Magufuli wa CCM, tangu kuanza kwa kampeni zake, hakuwahi kuvunja Maadili ya Uchaguzi au yale ya vyama vya siasa? Mnatazamwa, mnafikiriwa. Watanzania si wajinga, nao wanaweza kutafakari na kung'amua. Kwa maneno na matendo yenu: Dr. Mahera na Nyahoza, jambo lolote dhidi ya Lissu ni batili kwakuwa mmeshaamua kabla ya kuitisha hivyo vikao vyenu.

Acheni demokrasia ichukue mkondo wake!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Mbeya, Tanzania).
Lissu kawachanganya mpaka wanajiuliza mbona mambo hayaendi??
 
Hii nchi ni ya ajabu sana. Mgombea ndiye aliyeteua wasimamizi na waamuzi na wanaotangaza matokeo ya uchaguzi
Hata mbuzi ambaye hana akili hawezi amini huu mfumo. ni yule tu amepungukiwa na akili na mnafiki ndiye anaamini huu mfumo.
ndo maana wengi hawapigi kura
Kweli
 
Tatizo kubwa tulilonalo kwa sasa Nchi yetu ni MAGUFULI...naye anabebwa na KATIBA fake chini ya dubwana liitwalo CCM...

Mwaka huu, kama mbwai na iwe mbwai!
Wakimwaga mboga tunamwaga ugali. Hakuna ujinga mwaka huu
 
Mimi nashauri Lisu aachwe aropoke atakavyo maana ni sehemu ya tiba kwa yaliyomkuta. Wote tunajua hata shinda. Hivyo aachwe tutamfundisha sisi wananchi kwenye box la kura. Aachwe aendelee kuropoka kwa ajili ya kujitibu kwa yaliyomsibu.
Utamfundisha ww. Ww ni nani nchi hii uwasemee wananchi wa tanzania? Kila mtu kura yake ni siri yake mwenyewe. Usi act kama unajua kura za kila mtu
Hii nchi ni ya ajabu sana. Mgombea ndiye aliyeteua wasimamizi na waamuzi na wanaotangaza matokeo ya uchaguzi
Hata mbuzi ambaye hana akili hawezi amini huu mfumo. ni yule tu amepungukiwa na akili na mnafiki ndiye anaamini huu mfumo.
ndo maana wengi hawapigi kura
Tena hii ndio inakera maana hata wasomj pale bungen tunawaona km wajinga sasa tena huyo huyo ndio anateua na mawazir , majaji ,CAG ,Ma DC, Ma RC, Ma DED

Ngoja niishie hapo nisije nikatukana maana nina hasira
 
Wadogo zangu Dr.Mahera na Nyahoza mmeniangusha sana. Nia ya kukisaidia chama chetu cha CCM mnayo. Uwezo mnao. Nguvu mnazo. Kwanini hamna maarifa? Dr. Mahera umejitokeza mbele ya watanzania na kuhabarisha kuwa mgombea wa CHADEMA Tundu Lissu amekiuka Kanuni za Maadili ya Uchaguzi. Ukasema kuwa una nguvu na mamlaka ya kushughulika na hilo. Ukatamba kuwa tayari 'umeshamlima' Lissu barua ajitokeze mbele ya Kamati ya Taifa ya Maadili ya Uchaguzi.

Dr. Mahera ukada wa CCM na 'ushushushu' ukakuumbua. Ukakusukuma kusema visivyotakiwa kusemwa na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC inayosimamia uchaguzi husika. Ukamwaga sera za CCM na kuzikosoa waziwazi sera za Lissu. Ukakosoa na kuonesha Lissu anakosea bila ushahidi wowote wa maana zaidi ya kufokafoka. Ukashindwa kujizuia kabisa. Ukashindwa kuficha hisia zako dhidi ya Lissu huku ukimuunga mkono Dkt. Magufuli. Umeshindwa kabla ya kuanza!

Ndugu Nyahoza nawe umeningusha. Baada ya mkurugenzi wa Uchaguzi kutangaza kumwandikia barua Lissu, nawe jana ukapeleka barua kwa bodaboda CHADEMA. Ni barua ile ile ya Mkurugenzi au nawe umepandishia barua juu ya barua ili kumtinga Lissu na barua? Nawaambia ukweli, Dr. Mahera na Nyahoza hamkujipanga na kupangika. Muda huu wa kampeni, mbinu zinapaswa kuwa zilizopangika kimyakimya. Si hila za wazi kama zenu.

Hivi, Dkt. Magufuli wa CCM, tangu kuanza kwa kampeni zake, hakuwahi kuvunja Maadili ya Uchaguzi au yale ya vyama vya siasa? Mnatazamwa, mnafikiriwa. Watanzania si wajinga, nao wanaweza kutafakari na kung'amua. Kwa maneno na matendo yenu: Dr. Mahera na Nyahoza, jambo lolote dhidi ya Lissu ni batili kwakuwa mmeshaamua kabla ya kuitisha hivyo vikao vyenu.

Acheni demokrasia ichukue mkondo wake!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Mbeya, Tanzania).
GREAT POST, UBARIKIWE SANA.
 
MAHERA ajipime ajiudhuru.Ni kiongozi asitefaa kuwapo pale tume ya uchaguzi.Yeye kama anaipenda CCM basi atumie kura yake binafsi kuipigia CCM na sio kuharibu uchaguzi

Ukimuondoa tu Rais Mstaafu Mzee Mwinyi 'aliyejiuzuru' Mwenyewe 'in 80's' tuna 'Kiongozi' mwingine aliyeuiga huo 'Utamaduni' wake mzuri labda?
 
Mimi nashauri Lisu aachwe aropoke atakavyo maana ni sehemu ya tiba kwa yaliyomkuta.

Wote tunajua hata shinda. Hivyo aachwe tutamfundisha sisi wananchi kwenye box la kura.

Aachwe aendelee kuropoka kwa ajili ya kujitibu kwa yaliyomsibu.

Unashauri aachwe wewe nani,

Acha kujimwambafai kijana,

Jikite kwenye hoja siyo hizi porojo zako.
 
Mimi nashauri Lisu aachwe aropoke atakavyo maana ni sehemu ya tiba kwa yaliyomkuta.

Wote tunajua hata shinda. Hivyo aachwe tutamfundisha sisi wananchi kwenye box la kura.

Aachwe aendelee kuropoka kwa ajili ya kujitibu kwa yaliyomsibu.
Na hii inadhihirisha jinsi anavyowanyoosha watesi wake.na mwaka huu lazima awaache uchi.we sio wa na nchi bali mwananchi.kura ni moja tu ya kwako amigo.hata mkeo hujui atampigia nani.ila kiukweli TL ni sawa ya MAPUNYE
 
Wadogo zangu Dr.Mahera na Nyahoza mmeniangusha sana. Nia ya kukisaidia chama chetu cha CCM mnayo. Uwezo mnao. Nguvu mnazo. Kwanini hamna maarifa? Dr. Mahera umejitokeza mbele ya watanzania na kuhabarisha kuwa mgombea wa CHADEMA Tundu Lissu amekiuka Kanuni za Maadili ya Uchaguzi. Ukasema kuwa una nguvu na mamlaka ya kushughulika na hilo. Ukatamba kuwa tayari 'umeshamlima' Lissu barua ajitokeze mbele ya Kamati ya Taifa ya Maadili ya Uchaguzi.

Dr. Mahera ukada wa CCM na 'ushushushu' ukakuumbua. Ukakusukuma kusema visivyotakiwa kusemwa na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC inayosimamia uchaguzi husika. Ukamwaga sera za CCM na kuzikosoa waziwazi sera za Lissu. Ukakosoa na kuonesha Lissu anakosea bila ushahidi wowote wa maana zaidi ya kufokafoka. Ukashindwa kujizuia kabisa. Ukashindwa kuficha hisia zako dhidi ya Lissu huku ukimuunga mkono Dkt. Magufuli. Umeshindwa kabla ya kuanza!

Ndugu Nyahoza nawe umeningusha. Baada ya mkurugenzi wa Uchaguzi kutangaza kumwandikia barua Lissu, nawe jana ukapeleka barua kwa bodaboda CHADEMA. Ni barua ile ile ya Mkurugenzi au nawe umepandishia barua juu ya barua ili kumtinga Lissu na barua? Nawaambia ukweli, Dr. Mahera na Nyahoza hamkujipanga na kupangika. Muda huu wa kampeni, mbinu zinapaswa kuwa zilizopangika kimyakimya. Si hila za wazi kama zenu.

Hivi, Dkt. Magufuli wa CCM, tangu kuanza kwa kampeni zake, hakuwahi kuvunja Maadili ya Uchaguzi au yale ya vyama vya siasa? Mnatazamwa, mnafikiriwa. Watanzania si wajinga, nao wanaweza kutafakari na kung'amua. Kwa maneno na matendo yenu: Dr. Mahera na Nyahoza, jambo lolote dhidi ya Lissu ni batili kwakuwa mmeshaamua kabla ya kuitisha hivyo vikao vyenu.

Acheni demokrasia ichukue mkondo wake!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Mbeya, Tanzania).
Mgombea wetu magufuli hakubaliki, lazima tumbebe kwa kila namna
 
Mimi nashauri Lisu aachwe aropoke atakavyo maana ni sehemu ya tiba kwa yaliyomkuta.

Wote tunajua hata shinda. Hivyo aachwe tutamfundisha sisi wananchi kwenye box la kura.

Aachwe aendelee kuropoka kwa ajili ya kujitibu kwa yaliyomsibu.
Upo sahihi ila usibeze Sana maana ukiuliza mtaani mtu mmoja mmoja unakuja ana kinyongo na serikal yake.

Wengine walimu kabisa nawafahamu wanasema Wana Jambo lao tar 28, wakulima, wafanyakazi serkaln na watu mtaani.

Kikubwa tuombe makusud ya Mungu yapite.
 
Upo sahihi ila usibeze Sana maana ukiuliza mtaani mtu mmoja mmoja unakuja ana kinyongo na serikal yake.

Wengine walimu kabisa nawafahamu wanasema Wana Jambo lao tar 28, wakulima, wafanyakazi serkaln na watu mtaani.

Kikubwa tuombe makusud ya Mungu yapite.
Hakuna mtu anaekubalika na kila mtu
 
Mkuu, nakubaliana na wewe. Hawa viongozi wanajiendesha vibaya, watanzania tunaona, wajiratibu kwakufuata mipaka yao, wapunguze mihemuko
Aibu kubwa kwa Dr. Mahera. Kwa namna ambavyo alikuwa anaongea jana huwezi kumtofautisha na jinsi anavyoongea Polepole!
 
Wadogo zangu Dr.Mahera na Nyahoza mmeniangusha sana. Nia ya kukisaidia chama chetu cha CCM mnayo. Uwezo mnao. Nguvu mnazo. Kwanini hamna maarifa? Dr. Mahera umejitokeza mbele ya watanzania na kuhabarisha kuwa mgombea wa CHADEMA Tundu Lissu amekiuka Kanuni za Maadili ya Uchaguzi. Ukasema kuwa una nguvu na mamlaka ya kushughulika na hilo. Ukatamba kuwa tayari 'umeshamlima' Lissu barua ajitokeze mbele ya Kamati ya Taifa ya Maadili ya Uchaguzi.

Dr. Mahera ukada wa CCM na 'ushushushu' ukakuumbua. Ukakusukuma kusema visivyotakiwa kusemwa na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC inayosimamia uchaguzi husika. Ukamwaga sera za CCM na kuzikosoa waziwazi sera za Lissu. Ukakosoa na kuonesha Lissu anakosea bila ushahidi wowote wa maana zaidi ya kufokafoka. Ukashindwa kujizuia kabisa. Ukashindwa kuficha hisia zako dhidi ya Lissu huku ukimuunga mkono Dkt. Magufuli. Umeshindwa kabla ya kuanza!

Ndugu Nyahoza nawe umeningusha. Baada ya mkurugenzi wa Uchaguzi kutangaza kumwandikia barua Lissu, nawe jana ukapeleka barua kwa bodaboda CHADEMA. Ni barua ile ile ya Mkurugenzi au nawe umepandishia barua juu ya barua ili kumtinga Lissu na barua? Nawaambia ukweli, Dr. Mahera na Nyahoza hamkujipanga na kupangika. Muda huu wa kampeni, mbinu zinapaswa kuwa zilizopangika kimyakimya. Si hila za wazi kama zenu.

Hivi, Dkt. Magufuli wa CCM, tangu kuanza kwa kampeni zake, hakuwahi kuvunja Maadili ya Uchaguzi au yale ya vyama vya siasa? Mnatazamwa, mnafikiriwa. Watanzania si wajinga, nao wanaweza kutafakari na kung'amua. Kwa maneno na matendo yenu: Dr. Mahera na Nyahoza, jambo lolote dhidi ya Lissu ni batili kwakuwa mmeshaamua kabla ya kuitisha hivyo vikao vyenu.

Acheni demokrasia ichukue mkondo wake!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Mbeya, Tanzania).
Wanasahau kuwa kila mageuzi au mapinduzi huanzia mijini na siyo vijijini kama wanavyoamini kuwa wanamtaji wa watu wa vijijini.
Lissu amesema hana haja ya kulipiza kisasi lakini kwahaya wanayofanya kina polepole na tume yao yanazalisha visasi na uadui mkubwa

Washindwa watfutwe popote walipo
 
Back
Top Bottom