Uchaguzi 2020 Mahera (NEC) na Nyahoza (Naibu Msajili wa Vyama), kwanini hamkujipanga kabla ya kuonesha sinema yenu?

Mahera na nyahoza walishapanga mshindi wao mfukoni shida Ni nyomi la Lisu limewasambaratisha kabisa, watamtangaza vipi mgombea wao? Huku Kuna macho ya watz kule Robert Amsterdam anaangalia kila kitu. Lisu sio Lowasa tendeni haki ili msiende the Hague
 
Umewahi ona wapi duniani dikteta anashughulika na maendeleo ya watu
 
Kisu kimechoma mpaka kwenye mfupa , Hawa watu wawili Mahera na Nyahoza wamedhalilisha sana ofisi za umma , pia wanajidhalilisha Sana wso binafsi .
 
Mahera pamoja na familia yake apigwe ban ya kupewa viza nchi yeyeto duniani, ndie anaekwenda vunja amani yetu.
 
Mahare na nyahoza hata sheria tu za tume awazijui, ndo wataweza mhoji Lisu.
 
Katiba mpya na tume huru ndio itakuwa suluhu ya kudumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…