Hawa tume Ya Uchaguzi na msajiri wameamua kutuanza Mapema kutuzoesha mabomu, hiii nikutokana na tume Ya Uchaguzi na msajiri kuingia uwanjani Kama refa na kuanza kukaba na kupokea pasi za wapinzani wa chadema na kugawa mpira kwa Ccm, tumeimeamua kutuonesha mapema kuwa wao wako upande wa Kijana, hivyo kufanya upande mmoja kuwa na wachezaji 13 uwanjani huku upande mwingne ukiwa na wachezaji 11 uwanjani, tume inatoa kad Ya njano Kwa wachezaji 11 kutokana na rafu inayofanywa na wachezaji wenzake, badala Ya kutoa Kwa waliocheza rafu wao wanatoa Kwa waliochezewa rafu.
Kinachotokea ni mipango Ya MUNGU ili wananchi waizoee tume na wafaham kuwa tume tarehe 28 itatoa ushindi wapi na wananchi wajiandae mapema na kuweka mikakati ya kupinga na kukataa hiii ni nzur kuliko tume ingeficha mikucha yake Halafu inakuja kuikunjua gafla Siku ya Uchaguzi Halafu watu wakashindwa hata kujipanga
Wakuuu tutumie hiii Kama fursa