Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Hapa pointi yako ni nini mwanangu?Kama ulimsikia kiongozi mmoja wakati anatoa salamu za kumuaga JPM akitamka mwaka 2022, ilihali akizungumzia tukio la mwaka 2020 hebu na anyooshe mkono.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa pointi yako ni nini mwanangu?Kama ulimsikia kiongozi mmoja wakati anatoa salamu za kumuaga JPM akitamka mwaka 2022, ilihali akizungumzia tukio la mwaka 2020 hebu na anyooshe mkono.
Sijasema mimi ni mbishi. Labda tungo imekuwia tata. Namaanisha sote (mimi na hao wabishi) tumo humuhumu jamvini.Kumbe najibizana na mbishi! Sorry about that and pole sana.
Kwani nchi si iko mikononi mwao. Shida iko wapi?Sequence of events:
Nyie bisheni.
- Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
- Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
- Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
- Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
- Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
- Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Nchi kaachiwa mama. Hao wengine sijui.Kwani nchi si iko mikononi mwao. Shida iko wapi?
Nilivutiwa na huo mwaka 2022.Hapa pointi yako ni nini mwanangu?
Watajuana acha wakatane mapanga sisi tutazika tu.Nchi kaachiwa mama. Hao wengine sijui.
Marhaba. Isingekuwa hivyo, msingehangaishwa na itakuwaje baada ya Magufuli.Shikamoo mzee. Kwahiyo unamaanisha mhimili wa rais ni mtu mmoja tu mzee.
Unapangua Kwa hekima, sio unafika unafukuza katibu, Kesho Waziri mkuu, Kesho hivi keshokutwa vile duhKwahiyo asithubutu kupangua?
Na kwa wabunge ambao 98% ni vilaza na wachumia tumbo hawatataka wafike hapa.Hapo no 5. Rais anawawahi anavunja bunge. Mchezo kwisha
Wewe ndio unadhani urais ni mtu mmoja maana unataka kutuonyesha kwamba hayo yote yakifanyika Rais kalala tu he knows nothing kinachoendelea kule bungeni.Shikamoo mzee. Kwahiyo unamaanisha mhimili wa rais ni mtu mmoja tu mzee.
Mungu atuepushie. Hatutaziweza hizo gharama za misiba ikiwemo kuzungusha maiti mikoa kadhaa, siku mbili za mapumziko, maombolezo siku 21, magwaride ya kurudiarudia, vyombo vyote vya habari kutumia airtime yote kwenye msiba (sijui wanafidiaje lost revenue), vifo vya waombolezaji wanaokanyagana wakigombea fursa ya kuona maiti nk. Hapana, Mungu awajaalie waishi tu.Watajuana acha wakatane mapanga sisi tutazika tu.
Kile kiti cha amiri jeshi ni dhaifu tu endapo jeshi halikutii. Kinyume na hapo hakuna mbunge wala waziri anayeweza kumtoa Rais madarakani kwa mtindo wowote ule ukiondoa kifo au umaututi. Labda raia tena kwa maandamano makubwa sana yanayoambatana na vifo ndio wenye uwezo huo.Ile siku wanakaa kikao, wanapelekewa wajeda ili kulinda usalama wao.
Na wengine wanawekwa ndani kwa tuhuma za uhujumu uchumi
Usicheze na mtu aitwaye Amiri jeshi mkuu
Sawa tu. Sisi wanyonge hatupungukiwi wala kuongezewa kitu.Mungu atuepushie. Hatutaziweza hizo gharama za misiba ikiwemo kuzungusha maiti mikoa kadhaa, siku mbili za mapumziko, maombolezo siku 21, magwaride ya kurudiarudia, vyombo vyote vya habari kutumia airtime yote kwenye msiba (sijui wanafidiaje lost revenue), vifo vya waombolezaji wanaokanyagana wakigombea fursa ya kuona maiti nk. Hapana, Mungu awajaalie waishi tu.
Lazima mahangaiko yawepo kwa sababu hao wengi wakishagongana kimaslahi ni tabu. Na masnitch yanakuwemo humohumo miongoni mwao.Marhaba. Isingekuwa hivyo, msingehangaishwa na itakuwaje baada ya Magufuli.
Genge la ccm hulijui. Liko backed na wahuni wengine humohumo.kwenye vyombo vinavyoitwa vya dola.Kile kiti cha amiri jeshi ni dhaifu tu endapo jeshi halikutii. Kinyume na hapo hakuna mbunge wala waziri anayeweza kumtoa raisi madarakani kwa mtindo wowote ule ukiondoa kifo au umaututi. Labda raia tena kwa maandamano makubwa sana yanayoambatana na vifo ndo wenye uwezo huo.
Rais wa Wanyonge ndiye huyo keshazikwaSawa tu. Sisi wanyonge hatupungukiwi wala kuongezewa kitu.