Mahesabu msiyopenda kusikia kuhusu Makamu mpya wa Rais

Mahesabu msiyopenda kusikia kuhusu Makamu mpya wa Rais

Sequence of events:
  1. Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
  2. Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
  3. Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
  4. Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
  5. Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
  6. Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Nyie bisheni.
Hizo sequence ulizozitaja haitakaa itokee Tanzania labda akina Lema na Tundu Lisu wakiwa madarakani
 
Sequence of events:
  1. Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
  2. Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
  3. Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
  4. Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
  5. Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
  6. Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Nyie bisheni.
Raisi aliyeko madarakani anapewa umwenyekiti wa chama fasta.

Huyo mtu atakayejaribu kuibua hiyo hoja tutamshugulikia dakika tatu.

Yaaani yeyote atakayejaribu tunamvua uanachama wa CCM, awe spika au mbunge yeyote.

Usicheze na amiri jeshi mkuu tena pia mwenyekiti wa chama.
 
Sequence of events:
  1. Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
  2. Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
  3. Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
  4. Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
  5. Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
  6. Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Nyie bisheni.
Kuna intervention ya JWTZ pale usidhani itakuwa kirahis rahisi tu.

Jana umemsikia CDF akituma ujumbe kwa watu wenye hako kamtazamo, kuna tetesi zilianza kusikika sasa jana CDF akaweka wazi na anawajua wahuni ndani ya chama wanaoweza kufanya lobbying dhidi ya Mama Samia.
 
Sequence of events:
  1. Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
  2. Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
  3. Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
  4. Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
  5. Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
  6. Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Nyie bisheni.
Wapinzani katika ubora wenu mmeanza tena kutuletea ramli zenu chonganishi!!!

FYI utabiri wako will never come to pass - Serikali ya CHAMA tawala na Wabunge wake hawawezi kuruhusu mpasuko wowote ndani ya Serikali na kwenye CHAMA,wana inbuilt mechanisms za kuhakikisha hilo halitokei hasilani - kama ulisikiliza vizuri rai ya CDF jana kuna kitu alipaswa kujifunza i.e ungefikiri mara mbili kabla hujatuletea bandiko lako hapa. Good day.
 
Mpaka awahi! Na katiba inasema akivunja bunge uchaguzi unarudiwa. Kama alivyosema "Bwege" (mbunge mmoja wa awamu iliyopita), "ngoma inaanza upyaaaaa". Wasiyemtaka wanamshughulikia huko huko!
Huijui Katiba ya JMT nyamaza!!
 
Sequence of events:
  1. Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
  2. Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
  3. Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
  4. Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
  5. Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
  6. Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Nyie bisheni.
Ndugai akikubali kujadiliwa naibu spika atamzunguka asubuhi Ndugai Mgonjwa huyoo India Naibu spika anaipiga chini hoja yao, Ndugai ndo kwa heri na Tulia ndio spika kwa kishindo. Akina Mama hoyeeee.Ni timing tu. Tulia kaona mwenzi kalamba dume hatotaka kupoteza. Najaribu kuwaza tu.
 
Sequence of events:
  1. Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
  2. Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
  3. Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
  4. Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
  5. Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
  6. Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Nyie bisheni.
Tanzania bado hatujafikia hizo level
 
Umeshaona wengine huko wanamtishia asipangue safu. Aendelee na walewale, wakafanye yaleyale, mahali palepale kwa mtindo uleule
Kwani we hutaki unachotaka ni nini, speed ipungue hutaki watu kuwajibishwa wanapokosea au unataka nini mtanzania
 
Hata ambapo kuna democracy hayo mambo kutokea ni nadra sana, sana ndio ije itokee kwa viongozi wanaotokana na wananchi wajinga wa Tanzania??
 
Mambo ni mengi muda ni mchache... Twaweza tarajia visivyotarajiwa lakini maono na ndoto visidharauliwe...
"Nalipata kwandika humu..."
Walipokataa Albadri na Maombi yasifanywe mlidhani wao hawajui madhara yake?
Walichokisahau ni ile kauli ya Mwalimu "...Mchawi akishaonja nyama ya mtu hawezi kuacha...."
Kibaya zaidi hawakujua kwamba mwana falsafa Abu Mazar alipata kuandika "... ukiua watano wa sita wao ni wewe, ukiua saba wa nane wao ni wewe..."
Lakini pia ambacho hawakukikumbuka ni kwamba "What Goes Around, Comes Around!"
Si ajabu uchawi unapoanza kuwarudi wenye nao...
Yetu macho
TUSIPOBADILIKA... TUTAKAPOISHI KWA VISASI AMA UONGO KWA MASLAHI YETU BADALA YA TAIFA...
TUSIPOISIMAMIA KWELI NA KUIISHI...
TUMUOMBE SANA MUUMBA "VIKOMBE" VITUEPUKE
 
Sequence of events:
  1. Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
  2. Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
  3. Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
  4. Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
  5. Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
  6. Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Nyie bisheni.
Kwa utaratibu unaoueleza hapo unaitishwa uchaguzi upya hakuna makamu kuapishwa kuwa Rais isome katiba vizuri ukifukuza Rais ni uchaguzi upya.
 
Sequence of events:
  1. Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
  2. Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
  3. Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
  4. Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
  5. Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
  6. Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Nyie bisheni.

Ama kweli mhimili uliokuwa umejichimbia zaidi kuliko mingine alikuwa ni jiwe mwenyewe wala si serikali kama mhimili.
 
Back
Top Bottom