Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,772
- 8,939
Hatujafikia kiwango hcho , Ila itafikiwa endapo Raisi ataanza kupangua Safu iliyopo kiholela holela
Kupangua lazima. Asipofanya hivyo nitamshangaa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatujafikia kiwango hcho , Ila itafikiwa endapo Raisi ataanza kupangua Safu iliyopo kiholela holela
Hizo sequence ulizozitaja haitakaa itokee Tanzania labda akina Lema na Tundu Lisu wakiwa madarakaniSequence of events:
Nyie bisheni.
- Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
- Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
- Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
- Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
- Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
- Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Raisi aliyeko madarakani anapewa umwenyekiti wa chama fasta.Sequence of events:
Nyie bisheni.
- Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
- Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
- Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
- Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
- Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
- Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Uchaguzi mpya unafanyika na upinzani unachukua nchi. Upo hapoHapo no 5. Rais anawawahi anavunja bunge. Mchezo kwisha
Kuna intervention ya JWTZ pale usidhani itakuwa kirahis rahisi tu.Sequence of events:
Nyie bisheni.
- Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
- Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
- Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
- Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
- Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
- Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Nikukosoe kidogo, wabunge wetu wengi ni wachumia tumbo(njaa kali) na hawajaelimika!.Na kwa wabunge ambao 98% ni vilaza na wachumia tumbo hawatataka wafike hapa.
Kabisa. Bunge la wananchi lakini. Ushindi wa kura.Ndipo umuhimu wa katiba mpya unaolipa bunge meno ya kutosha unapoonekana
Wapinzani katika ubora wenu mmeanza tena kutuletea ramli zenu chonganishi!!!Sequence of events:
Nyie bisheni.
- Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
- Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
- Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
- Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
- Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
- Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Huijui Katiba ya JMT nyamaza!!Mpaka awahi! Na katiba inasema akivunja bunge uchaguzi unarudiwa. Kama alivyosema "Bwege" (mbunge mmoja wa awamu iliyopita), "ngoma inaanza upyaaaaa". Wasiyemtaka wanamshughulikia huko huko!
Ndugai akikubali kujadiliwa naibu spika atamzunguka asubuhi Ndugai Mgonjwa huyoo India Naibu spika anaipiga chini hoja yao, Ndugai ndo kwa heri na Tulia ndio spika kwa kishindo. Akina Mama hoyeeee.Ni timing tu. Tulia kaona mwenzi kalamba dume hatotaka kupoteza. Najaribu kuwaza tu.Sequence of events:
Nyie bisheni.
- Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
- Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
- Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
- Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
- Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
- Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
yaani wameshamuweka maza mtu kati eti akishaanza kupangua, means wanamtishiaKwahiyo asithubutu kupangua?
Tanzania bado hatujafikia hizo levelSequence of events:
Nyie bisheni.
- Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
- Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
- Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
- Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
- Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
- Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Kwani we hutaki unachotaka ni nini, speed ipungue hutaki watu kuwajibishwa wanapokosea au unataka nini mtanzaniaUmeshaona wengine huko wanamtishia asipangue safu. Aendelee na walewale, wakafanye yaleyale, mahali palepale kwa mtindo uleule
TUSIPOBADILIKA... TUTAKAPOISHI KWA VISASI AMA UONGO KWA MASLAHI YETU BADALA YA TAIFA...Walipokataa Albadri na Maombi yasifanywe mlidhani wao hawajui madhara yake?
Walichokisahau ni ile kauli ya Mwalimu "...Mchawi akishaonja nyama ya mtu hawezi kuacha...."
Kibaya zaidi hawakujua kwamba mwana falsafa Abu Mazar alipata kuandika "... ukiua watano wa sita wao ni wewe, ukiua saba wa nane wao ni wewe..."
Lakini pia ambacho hawakukikumbuka ni kwamba "What Goes Around, Comes Around!"
Si ajabu uchawi unapoanza kuwarudi wenye nao...
Yetu macho
Kwa utaratibu unaoueleza hapo unaitishwa uchaguzi upya hakuna makamu kuapishwa kuwa Rais isome katiba vizuri ukifukuza Rais ni uchaguzi upya.Sequence of events:
Nyie bisheni.
- Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
- Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
- Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
- Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
- Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
- Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Sequence of events:
Nyie bisheni.
- Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
- Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
- Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
- Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
- Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
- Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Na Mabeyo kashaji - declare, tupo nyuma yako mama.. [emoji16]Ile siku wanakaa kikao, wanapelekewa wajeda ili kulinda usalama wao.
Na wengine wanawekwa ndani kwa tuhuma za uhujumu uchumi
Usicheze na mtu aitwaye Amiri jeshi mkuu