Gobole
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 1,806
- 4,670
Ili afanikiwe na chama chake kisirudi ktk zama za kutumia pesa kushinda uchaguzi inabidi apate mtu asie wa makundi.
Mtu anaweka maslahi ya nchi mbele kuliko maslahi yake binafsi au ya kundi lake.
JPM hakuingia na kundi so hakuwa na muda wa kurudisha fadhila kwa mtu yoyote.
Mtu anaweka maslahi ya nchi mbele kuliko maslahi yake binafsi au ya kundi lake.
JPM hakuingia na kundi so hakuwa na muda wa kurudisha fadhila kwa mtu yoyote.